Jinsi tunavyoishi wakristo hapa Zanzibar kipindi hiki cha mfungo

Jinsi tunavyoishi wakristo hapa Zanzibar kipindi hiki cha mfungo

Sio kweli huyu mtoa mada wako kuna kitu anakitafuta, lakini kuhusu swala la kupika nje sio kweli na wala hukamatwi wala kufanywa lolote iwapo upo kwako umekaa au unapika kistaha, tatizo lipo kwa wale ambao wanazurura na kula ovyo hali ya kuwa inajulikana ni kipindi gani kinachoendelea. Yaani inamaanishwa wale wanaodharau tamaduni, mila, desturi, silka na ustaarabu wa wenzao.
Ngoja nikupe mfano:
Moshi wanakataza kutupa taka ovyo. Je wewe ukienda Moshi utatupa taka ovyo? Si utafuata utaratibu wa wenyeji wako hata kama hupendi, kwa maana unajua ukikamatwa utapigwa faini.
Noted[emoji120][emoji120][emoji120]
 
Halafu unakuta hata iftar wanalia vyumbani, hata jioni na usiku migahawa inafungwa, ukibahatika kupata sehemu ya kula unajificha kama vile unavuta bangi, ukweli ni kuwa Wazanzibari ni wabinafsi sana.
 
Kuruhusu ngozi nyeupe kula na kukataza nyeusi kula ni jambo moja na kukataza mtu ambaye hajafunga kula ni jambo jingine, na hii ndo sehemu uislamu unakofeli sana kama dini
Wazungu wanavalishwa kanga sehemu zisizokuwa za Watalii, hapa Unguja,..

Kuhusu kula Wazungu wako tafauti wao moja kwa moja wanakuwa wanaheshimu itikadi, mila na tamaduni wa sehemu wanazokwenda kutalii..
 
pika mwenyewe home ule au nenda maeneo yaliyotengwa kwa watu kama nyie kula usilazimishe watu wauze chakula wakati wapo ktk swaumu. pia hamna wateja ndio maana mama lishe hawauzi
 
Nimeshindwa kwenda honeymoon Zanzibar kwa sababu hii...
 
Mazingira ya maisha hapa zanzibar kipindi hiki cha mfungo wa ramadan kwa wakristo ni magumu sana hasa kuhusu suala la chakula,kwa sisi ambao tuko kikazi huku na familia zetu ziko bara ni shida, mfano kupata chakula inabidi uende kwenye lile kanisa ambapo zamani kulikua na soko la watumwa,ukiwa mwanakwerekwe napo inabidi uende pale kanisani,ukiwa maeneo ya mbweni itabidi uende kanisani ndio kuna kimgahawa hapo utapata chakula,ila kwa siku ya leo kuna kitu kimenikera sana baada ya kukosa chakula kanisani ikabidi nipelekwe sehemu ya mafichoni kunapouzwa chakula,nimefika na chakula nimepata ila mazingira ya kukaa pamoja ulaji sio mzuri kwa sababu unakula kwa hofu kwamba muda wowote mnaweza kamatwa.na kama unafamilia yako huku basi kama mkeo anataka kupika ni marufuku kupikia nje inatakiwa kila kitu amalize humo humo ndani na ukikamatwa unapelekwa jela mpaka mwezi uishe ndio unaachiwa,lakini hivi vitu vinafanyika kwa ngozi nyeusi kwa nyeusi,ngozi nyeupe aiguswi na hii zihaka mzungu wanakula na kunywa muda wowote na hotel/ mabaa yao yako wazi muda wote,ombi langu kwa waislamu ni kwamba waache tabia za unafiki wa kubagua maana kwa mtindo huu hata thwawabu sidhani kama mtapata.
muwe mnachukua likizo ili msikwazike wala kuwakwaza wenzenu...
NENDENI MAKWENU MKALIME EBOO!!!
 
Mkuu wafanyie kama lilivyo jina lako "mtima nyongo" kula kama kawaida tu, sasa wafunge wao halafu mpate shida nyie, mbona mnawaendekeza sana hao watu nyie......... huku bara wakianza huo ujinga aisee watachakaa
Cha ajabu hapa Oman tunajilia tu popote na hakuna akuulizae
 
Hakuna kitu kibaya kwa mwanadamu kama unafiki, unafiki unaleta matatizo makubwa mno.
Ukiwasoma watu hapa unapata wakati mgumu kuamini kuwa hivi kweli tunayaandika haya kwa nia njema ya kuhabarisha au kuna agenda ya siri ambayo ni unafiki?
Kila mtu huru aliyepewa akili na Mungu afanye utafiti wake huru kuhusu hizi taarifa halafu achore mstari mwenyewe.
Nimeshuhudia kwenye taasis kubwa tu yenye wakristo wasiozid hata 5 wakipewa chakula dhidi ya waislam zaid ya 150 bila ubaguzi na story za kufunga sasa ukisikia hizo story unajiuliza ni Zanzibar ipi hiyo wanasema?
Kama unataka kuwafanyia watu dhihaka kwa kuwaringishia kula hadharani kwa kisingizio cha uhuru basi hata kwa asiyefunga au mkristo mwenzako atakubanjua makofi.
Pia kama unataka wamiliki wa migahawa wawe wanauza chakula kwa muda unaotaka wewe basi utakuwa na matatizo ya akili mbona unampangia mtu biashara.
Hizi unazoziona ni hadithi tu ila hayo mambo hayapo kabisa.
Sio waislamu wote wanafunga na uislam umeweka wazi hilo, sasa kichaa mmoja anataka kuwaaminisha watu kuwa ukipika tu utapigwa, jiulize kwa wale wagonjwa nao wanakula daku tu hawapikiwi chakula na ndugu zao au chakula wanapikia mahakamani? Hakuna muislam mwenye akili timamu anayejua uislam nini atakuvamia nyumbani au njian kisa unakula kwa kisingizio yeye umefunga, kijana kanyoa kiduku anakuletea fujo nyumbani kwako kisa unapika unamuacha tu hivi hivi? Mpige ngumi akashtaki kama utapata shida. Tatizo kubwa ni dhihaka, hebu jaribu kuwafanyia mzaha uone kama hata wakristo wenye adabu zao hawajajmkutia vitasa mchana kweupe.
Acha kuropoka vitu usivyovifahamu, mapema kabla ya mfungo kuanza mkuu wa mkoa wa mjini magharibi aliamuru bar, mahotel na mama ntilie wote kusitisha kutoa huduma kipindi chote cha ramadhani isipokuwa kwa hoteli za kitalii tu. Tena alisema ni MARUFUKU
 
Sawa ila hiyo dini unayoita ya kihuni ninamuongozo wa watu waishi vipi kati ya waislamu kwa waislamu na waislamu na watu wa kitabu na waislamu na washirikina waabudu masanamu na mizimu. Sasa wewe dini yako isiyo ya kihuni haikufundishi hata utaishi vipi na mkeo na kwa muingiliano upi uishi vipi na watoto wako na jamii yako ila watu wachache ndio wanawaletea sheria muishi vipi na wakati wao wenyewe hawatambui waishi vipi, sheria ya kiislamu ilibaki vilevile toka Taurati ya musa Zaburi ya Daudi Injili ya issa ikiwa ni sheria ya kutoka kwa mungu na wala sio story za mtu alikuwa akifanya nini hadi hii Qur'an ya muhamadi sheria ni ileile ya Mungu Yule Yule ila ilikuwa inakolezwa kutokana na kaumu husika ila Qur'an imekuja kupambanua upotovu uliofanywa na watu kwa kuchafua misingi ya Mungu kwa kuweka maneno yao kwenye vitabu vyake ili wapate kuwatawala wenziwao
Duh.
 
Mazingira ya maisha hapa zanzibar kipindi hiki cha mfungo wa ramadan kwa wakristo ni magumu sana hasa kuhusu suala la chakula,kwa sisi ambao tuko kikazi huku na familia zetu ziko bara ni shida, mfano kupata chakula inabidi uende kwenye lile kanisa ambapo zamani kulikua na soko la watumwa,ukiwa mwanakwerekwe napo inabidi uende pale kanisani,ukiwa maeneo ya mbweni itabidi uende kanisani ndio kuna kimgahawa hapo utapata chakula,ila kwa siku ya leo kuna kitu kimenikera sana baada ya kukosa chakula kanisani ikabidi nipelekwe sehemu ya mafichoni kunapouzwa chakula,nimefika na chakula nimepata ila mazingira ya kukaa pamoja ulaji sio mzuri kwa sababu unakula kwa hofu kwamba muda wowote mnaweza kamatwa.na kama unafamilia yako huku basi kama mkeo anataka kupika ni marufuku kupikia nje inatakiwa kila kitu amalize humo humo ndani na ukikamatwa unapelekwa jela mpaka mwezi uishe ndio unaachiwa,lakini hivi vitu vinafanyika kwa ngozi nyeusi kwa nyeusi,ngozi nyeupe aiguswi na hii zihaka mzungu wanakula na kunywa muda wowote na hotel/ mabaa yao yako wazi muda wote,ombi langu kwa waislamu ni kwamba waache tabia za unafiki wa kubagua maana kwa mtindo huu hata thwawabu sidhani kama mtapata.
Vumilieni tuu hakuna namna.Kazi ndio inayokupa mateso hayo.Huku bara mbona shida hizo hazipo?Kwani kufunga ni lazima au ni hiari?Na kwa nini funga ya mwingine impe shida mtu mwingine?
 
pika mwenyewe home ule au nenda maeneo yaliyotengwa kwa watu kama nyie kula usilazimishe watu wauze chakula wakati wapo ktk swaumu. pia hamna wateja ndio maana mama lishe hawauzi
Ni kweli kabisa hamna wateja, wauza kitimoto nao wanalalamika biashara mbaya, wanatamani wafungue hata kesho ili biashara ya kitimoto irudi kwenye peak
 
Ni kweli kabisa hamna wateja, wauza kitimoto nao wanalalamika biashara mbaya, wanatamani wafungue hata kesho ili biashara ya kitimoto irudi kwenye peak
huo mtazamo wako nenda Zenji kauze kitimoto chako mwanaharam mkubwa wewe hamtafaulu kunasibisha uislam na kitimoto ni wakristo tu ndio wanakula najisi hiyo ingawa bible inakataza
 
Ni kweli kabisa hamna wateja, wauza kitimoto nao wanalalamika biashara mbaya, wanatamani wafungue hata kesho ili biashara ya kitimoto irudi kwenye peak
Kwanini wakristo huwa mnasema waislamu hula kitimoto?

Kwa taarifa yako muislamu hata kama haswali swala tano au hafungi Ramadhan kamwe huwa hafanyi mambo yafuatayo:-
1.Kula nyamafu(hapa anaweza hata kukutoa uhai ukimlazimisha)
2.Kula nguruwe.
Muislamu yupo tayari kuacha kila kitu katika Uislamu ila hivyo vitu viwili kamwe huwa hawaviachi.

Propaganda ya wakristo kuhusu hili suala huwa inachekesha sana eti wanakwambia 'mwezi mtukufu biashara ya kitimoto haiendi kabisa'

Hata walaji wa kitimoto wenyewe ukifika mwezi mtukufu huwa hawaendi bar kula kitimoto!

Na maeneo wanayoishi waislamu wengi hata kumuona nguruwe tu ni nadra.
Binafsi nimekuja kumuona nguruwe 'live' nikiwa na miaka kama 15 au 16 hivi.Nilikuwa sijawahi hata kumuona.
 
Kwanini wakristo huwa mnasema waislamu hula kitimoto?
Kwa taarifa yako muislamu hata kama haswali swala tano au hafungi Ramadhan kamwe huwa hafanyi mambo yafuatayo:-
1.Kula nyamafu(hapa anaweza hata kukutoa uhai ukimlazimisha)
2.Kula nguruwe.
Muislamu yupo tayari kuacha kila kitu katika Uislamu ila hivyo vitu viwili kamwe huwa hawaviachi.
Propaganda ya wakristo kuhusu hili suala huwa inachekesha sana eti wanakwambia 'mwezi mtukufu biashara ya kitimoto haiendi kabisa'
Hata walaji wa kitimoto wenyewe ukifika mwezi mtukufu huwa hawaendi bar kula kitimoto!
Na maeneo wanayoishi waislamu wengi hata kumuona nguruwe tu ni nadra.
Binafsi nimekuja kumuona nguruwe 'live' nikiwa na miaka kama 15 au 16 hivi.Nilikuwa sijawahi hata kumuona.
Tafadhali usiusemee moyo wa mtu, ninawafahamu waislam kadhaa wanaokula hiyo kitu, tuulize sisi tunaokula tunakutana nao wapi. Wewe km hutumii uwezi kujua kwasababu hauendi sehemu inakopatikana.
BTW kwenye watu kumi mliokubaliana kufanya au kutokufanya jambo fulani lazima atatokea mmoja au zaidi atakayeenda kinyume na makubaliano. Hata kwa wakristo, kuna watu wanaeshimika sana makanisani lkn unakuja kusikia alikuwa anafanya mambo ya kihuni sana hadi unashindwa kuamini ni yeye au anasingiziwa
 
Back
Top Bottom