HesabuKali
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 2,791
- 5,687
Hakuna kitu kibaya kwa mwanadamu kama unafiki, unafiki unaleta matatizo makubwa mno.
Ukiwasoma watu hapa unapata wakati mgumu kuamini kuwa hivi kweli tunayaandika haya kwa nia njema ya kuhabarisha au kuna agenda ya siri ambayo ni unafiki?
Kila mtu huru aliyepewa akili na Mungu afanye utafiti wake huru kuhusu hizi taarifa halafu achore mstari mwenyewe.
Nimeshuhudia kwenye taasis kubwa tu yenye wakristo wasiozid hata 5 wakipewa chakula dhidi ya waislam zaid ya 150 bila ubaguzi na story za kufunga sasa ukisikia hizo story unajiuliza ni Zanzibar ipi hiyo wanasema?
Kama unataka kuwafanyia watu dhihaka kwa kuwaringishia kula hadharani kwa kisingizio cha uhuru basi hata kwa asiyefunga au mkristo mwenzako atakubanjua makofi.
Pia kama unataka wamiliki wa migahawa wawe wanauza chakula kwa muda unaotaka wewe basi utakuwa na matatizo ya akili mbona unampangia mtu biashara.
Hizi unazoziona ni hadithi tu ila hayo mambo hayapo kabisa.
Sio waislamu wote wanafunga na uislam umeweka wazi hilo, sasa kichaa mmoja anataka kuwaaminisha watu kuwa ukipika tu utapigwa, jiulize kwa wale wagonjwa nao wanakula daku tu hawapikiwi chakula na ndugu zao au chakula wanapikia mahakamani? Hakuna muislam mwenye akili timamu anayejua uislam nini atakuvamia nyumbani au njian kisa unakula kwa kisingizio yeye umefunga, kijana kanyoa kiduku anakuletea fujo nyumbani kwako kisa unapika unamuacha tu hivi hivi? Mpige ngumi akashtaki kama utapata shida. Tatizo kubwa ni dhihaka, hebu jaribu kuwafanyia mzaha uone kama hata wakristo wenye adabu zao hawajajmkutia vitasa mchana kweupe.
Ukiwasoma watu hapa unapata wakati mgumu kuamini kuwa hivi kweli tunayaandika haya kwa nia njema ya kuhabarisha au kuna agenda ya siri ambayo ni unafiki?
Kila mtu huru aliyepewa akili na Mungu afanye utafiti wake huru kuhusu hizi taarifa halafu achore mstari mwenyewe.
Nimeshuhudia kwenye taasis kubwa tu yenye wakristo wasiozid hata 5 wakipewa chakula dhidi ya waislam zaid ya 150 bila ubaguzi na story za kufunga sasa ukisikia hizo story unajiuliza ni Zanzibar ipi hiyo wanasema?
Kama unataka kuwafanyia watu dhihaka kwa kuwaringishia kula hadharani kwa kisingizio cha uhuru basi hata kwa asiyefunga au mkristo mwenzako atakubanjua makofi.
Pia kama unataka wamiliki wa migahawa wawe wanauza chakula kwa muda unaotaka wewe basi utakuwa na matatizo ya akili mbona unampangia mtu biashara.
Hizi unazoziona ni hadithi tu ila hayo mambo hayapo kabisa.
Sio waislamu wote wanafunga na uislam umeweka wazi hilo, sasa kichaa mmoja anataka kuwaaminisha watu kuwa ukipika tu utapigwa, jiulize kwa wale wagonjwa nao wanakula daku tu hawapikiwi chakula na ndugu zao au chakula wanapikia mahakamani? Hakuna muislam mwenye akili timamu anayejua uislam nini atakuvamia nyumbani au njian kisa unakula kwa kisingizio yeye umefunga, kijana kanyoa kiduku anakuletea fujo nyumbani kwako kisa unapika unamuacha tu hivi hivi? Mpige ngumi akashtaki kama utapata shida. Tatizo kubwa ni dhihaka, hebu jaribu kuwafanyia mzaha uone kama hata wakristo wenye adabu zao hawajajmkutia vitasa mchana kweupe.