Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fanya ku subscribeHuu uzi sijui naufanyaje usipotee aise, nimeupenda
Nimewapigia Silent na wao $700 mzee khaa
Unaweza ila utazidisha mara hiyo gharama ya cbm 1 ili kupata gharama yake ya mzigokwani huwezi agiza chini ya cbm moja au wanalazimisha mzigo wanapokea kuanzia cbm 1
Asante nishazoea kuagiza kwa aircargo,nataka nijaribu kuagiza nguo za mtumbaUnaweza ila utazidisha mara hiyo gharama ya cbm 1 ili kupata gharama yake ya mzigo
Karibu mkuu ni uvumilivu tuAsante nishazoea kuagiza kwa aircargo,nataka nijaribu kuagiza nguo za mtumba
Kwa mtumba wa Dubai nicheki whatsapp mkuu nitakusafirishia.naomba kujua mtumba wa dubai
Endelea kuusoma mara kwa mara.Huu uzi sijui naufanyaje usipotee aise, nimeupenda
Umeshapata?Kwa Balo za pochi na school bags napataje msaada
BadoUmeshapata?
Karibu Fago Express boss, nitakuletea mizigo yako hii Kwa Gha-rama nafuu, utakachofanya hata km huna PESA kamili utalipia 50% ingine utamalizia mdogomdogo. Karbu whatapp call/text +255765018958Kwa Balo za pochi na school bags napataje msaada
Karibu Fago Express Kwa huduma na customer care ya fasta WhatsApp call/text +255765018958Tunaoanza mdogo mdogo tuelekezane na no za cm wapi tutapata belo hasa za watoto na pochi kwa Dar na Mwanza hata sehemu nyingine
Sent from my Nokia 7.2 using JamiiForums mobile app