SawaWewe kama unaona ni ngumu basi kadange ndio ishu very easy kuna watu hii formula imewasaidia na wanapiga zaidi ya hiyo pesa.
Halafu anatumia mihemko kujibu watu watu tuko kwenye biashara miaka mpaka mtu umeanza kuona hela umetoka jashoKuongea na vitendo vikiendana ni rahisi sana!
Kwa faida hizo ndogo inahitaji mtaji mkubwa kwa bidhaa za jumlaNgoja niuze chupi zenye faida ya tsh 500 kila moja kwa watu 40,000 kwa mwaka.
40,000÷365=110
Ina maana kwa siku niuze kwa watu 110,aisee sio kazi ya kitoto,inabidi niroge kabisa
Na umekomenti unayatafuta mwenyewe!..🤣Huu uzi ukicomment unashushuliwa na mwenye uzi wake
njoo nikupe mtaji wa million 10 utengeneze million 30 mwaka huuKwa maandishi verrrrry eeeeasyyy
Biashara sikuhizi zimekua scam
Nimeona bora tu nicomment malalamiko nimeshindwa kuchangia ipasavyoNa umekomenti unayatafuta mwenyewe!..🤣