Jinsi unavyoweza kutengeneza million 20 mwaka huu 2025

Jinsi unavyoweza kutengeneza million 20 mwaka huu 2025

Ingia Alibaba tafuta product inayohitajika na watu wengi Bei isizidi sh 3000x 2000 = 6,000,000. kazia kwenye cosmetics
Weka na gharama za usafirishaji haitazidi 500,000.
Mzigo ukifika sambaza kwa namna unavyojua wewe [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Tumeshafaanya ila makampuni ya usafirishji ni nyoko sana Sina ham nao
 
Tafuta product moja unayoweza kuweka nguvu zako.

Bidhaa hiyo utaiuza kwa sh elfu 10 kwa wateja 2000 kwa mwaka.

Hakikisha ni bidhaa inayohitajika sokoni.

10,000 * 2000=20,000,000.

Mfano zalisha mafuta ya ngozi target wateja 2000. Yabrand kwenye social media na mtaani utapata hiyo pesa.


Au kitabu cha q&a review kwa madarasa ya mitihani mfano la saba, darasa la nne form 4.

Unaweza igeuza hesabu utakavyo e.g. 20,000*1000

Lengo mil 20.

Mwaka wa kufosi jilipue toka kwenye comfort zone.
Ulichosema ni sawa. Pia unaweza kujikuta umetumia 20M kuzalisha 20M.
 
Tafuta product moja unayoweza kuweka nguvu zako.

Bidhaa hiyo utaiuza kwa sh elfu 10 kwa wateja 2000 kwa mwaka.

Hakikisha ni bidhaa inayohitajika sokoni.

10,000 * 2000=20,000,000.

Mfano zalisha mafuta ya ngozi target wateja 2000. Yabrand kwenye social media na mtaani utapata hiyo pesa.


Au kitabu cha q&a review kwa madarasa ya mitihani mfano la saba, darasa la nne form 4.

Unaweza igeuza hesabu utakavyo e.g. 20,000*1000

Lengo mil 20.

Mwaka wa kufosi jilipue toka kwenye comfort zone.
Natamani biashara ingekuwa rahisi hiv 😤😤
 
Ingia Alibaba tafuta product inayohitajika na watu wengi Bei isizidi sh 3000x 2000 = 6,000,000. kazia kwenye cosmetics
Weka na gharama za usafirishaji haitazidi 500,000.
Mzigo ukifika sambaza kwa namna unavyojua wewe 🏃🏃🏃🏃🏃
Dada Midekoo naomba ufungue PM kuna jambo nataka tuzungumze
 
Back
Top Bottom