Jinsi unavyoweza kutengeneza million 20 mwaka huu 2025

Jinsi unavyoweza kutengeneza million 20 mwaka huu 2025

Ana wazo zuri sana, natamani kujua cosmetics zip kama ni mafuta, serum, creams n.k??
Kama unapenda cosmetics fanya research utajua bidhaa pendwa.

Mfano follow page zote maaarufu zinazouza cosmetics angalia bidhaa ipi ikitanganzwa inapata likes nyingi comments nyingi na shuhuda kuna kitu utaondoka nacho then fanya demo yake upime upepo kabla haujaweka pesa. Huu ni mfano
 
Uzi ulikuwa mzuri shida ni mwenye Uzi mwenyewe amepanic...

Anaamini research yake ndogo ndiyo msingi ambao unapaswa kutumiwa na kila mtu na ni wa lazima 😅

Watu wakitoa opinion zao anawashambulia isipokuwa wale ambao wanamsupport....

Yaani anaamini kwamba business plan yake ndo msingi wa kila mtu...

Anyway niishie hapa ili nami nisije kushambuliwa na huyo mwamba, ana hasira sana.
 
Fanya wholesale utaona hesabu inakuwa nyepesi sana

Uzuri wa chupi faida mara tatu had Tano kwa retail wholesale shilling inazaa
Ni chupi gani hizo ambazo faida ya bei ya jumla ni mara 3 hadi 5. Hizihizi zinazouzwa 2000 kwa jumla kwamba wanazinunua kwa 400 inayojumlisha usafiri na ushuru?
 
Ni chupi gani hizo ambazo faida ya bei ya jumla ni mara 3 hadi 5. Hizihizi zinazouzwa 2000 kwa jumla kwamba wanazinunua kwa 400 inayojumlisha usafiri na ushuru?
Changamoto ya wajasiriamali wanaoanza ni kutamani kufanya biashara na mzalishaji au agent mkuu akiamin atapata unafuu wakati mzalishaji tayari anastructure yake ya kufanya biashara hawez kukuzia wewe mteja mdogo unaenunua PCs chache wakati Kuna mtu ananunua mzigo wako mara 200 au 500 kwa wakati mmoja hvyo atakataa kukuuzia au atakuuzia kwa Bei kubwa kumlinda yule mteja wake mkubwa.


Hii inamana kuwa nenda kwa agent wa Alie karibu nae Jenga mahusiano mazuri utapata mzigo kwa Bei nzur pengine ndani ya muda mfupi utaaminiwa utapewa hata unafuu wa mkopo usijisumbue kujusanya 10m uende shina ukajichoshe wakati Kuna mkinga au mangi amekaa dukan kwako anatoa oda ya 500m au 2b ukiamin umepata nafuu kumbe umeinngia kwenye ushindani na mabwana wakubwa.

Ila mwisho wa siku ukikomaa unatoboa ila mahesabu n muhimu mfano👇👇👇

Kuagiza chupi china n 1000 na kununua dukan jumla n 1250 Sasa ukiusubiri mzigo wa china unakaa Zaid ya 40dys wakati wa dukan chapu unanunua PCs za kiasi Cha uhitaji na unaupata hapohapo na faida unaupata hapo hapo Sasa mfikirie yule aliagiza china mpaka mzigo ufike ndiomana Kuna watu wameamua kuwa madalali au matapeli wanakwambia wanakitafutia mzigo kwa Bei rahisi wenyewe walishaliona Hilo kuwa kutoboa n ngumu hvyo acha wale chajuu chap.


Lete pesa nikuuzie vitu vizuri upambanie kombe boss wangu
 
Changamoto ya wajasiriamali wanaoanza ni kutamani kufanya biashara na mzalishaji au agent mkuu akiamin atapata unafuu wakati mzalishaji tayari anastructure yake ya kufanya biashara hawez kukuzia wewe mteja mdogo unaenunua PCs chache wakati Kuna mtu ananunua mzigo wako mara 200 au 500 kwa wakati mmoja hvyo atakataa kukuuzia au atakuuzia kwa Bei kubwa kumlinda yule mteja wake mkubwa.


Hii inamana kuwa nenda kwa agent wa Alie karibu nae Jenga mahusiano mazuri utapata mzigo kwa Bei nzur pengine ndani ya muda mfupi utaaminiwa utapewa hata unafuu wa mkopo usijisumbue kujusanya 10m uende shina ukajichoshe wakati Kuna mkinga au mangi amekaa dukan kwako anatoa oda ya 500m au 2b ukiamin umepata nafuu kumbe umeinngia kwenye ushindani na mabwana wakubwa.

Ila mwisho wa siku ukikomaa unatoboa ila mahesabu n muhimu mfano👇👇👇

Kuagiza chupi china n 1000 na kununua dukan jumla n 1250 Sasa ukiusubiri mzigo wa china unakaa Zaid ya 40dys wakati wa dukan chapu unanunua PCs za kiasi Cha uhitaji na unaupata hapohapo na faida unaupata hapo hapo Sasa mfikirie yule aliagiza china mpaka mzigo ufike ndiomana Kuna watu wameamua kuwa madalali au matapeli wanakwambia wanakitafutia mzigo kwa Bei rahisi wenyewe walishaliona Hilo kuwa kutoboa n ngumu hvyo acha wale chajuu chap.


Lete pesa nikuuzie vitu vizuri upambanie kombe boss wangu
Swali langu ni je kuna mtu ananunua chupi kwa shilingi 400 kisha anakuja kuiuza Kariakoo kwa jumla kiasi cha shilingi 2000?

Faida mara tano na bei ya jumla sio rejareja?
 
Swali langu ni je kuna mtu ananunua chupi kwa shilingi 400 kisha anakuja kuiuza Kariakoo kwa jumla kiasi cha shilingi 2000?

Faida mara tano na bei ya jumla sio rejareja?
Chupi zinauzwa had 1,800 dzn china bongo 4,000 had 5,000 wewe ushindwe kuuza boss na wholesale zipo dazan 9,000-12,000 kwa dazan.


NOTE: Biashara ya chup niliicha siku nying sana
 
Chupi zinauzwa had 1,800 dzn china bongo 4,000 had 5,000 wewe ushindwe kuuza boss na wholesale zipo dazan 9,000-12,000 kwa dazan.


NOTE: Biashara ya chup niliicha siku nying sana
Sawa mkuu mimi nachojua Kariakoo biashara za jumla ili zitoke sana bei ichezee kwenye 40% to 100% max. Ikizidi hapo kutaka faida mara tatu utalaza mali na utaita ushindani, wenye hela wengi.
 
Mtu mwenye wateja wa moja kwa moja hivyo bila kuangaika kuwatafuta ni TANESCO tu,wewe hutakaa uwapate,na operational costs zitakurudisha kufikiri tena upyaaaaaa
 
Sawa mkuu mimi nachojua Kariakoo biashara za jumla ili zitoke sana bei ichezee kwenye 40% to 100% max. Ikizidi hapo kutaka faida mara tatu utalaza mali na utaita ushindani, wenye hela wengi.
Hata ukiuza kwa hyo 40% na n wholesale mbona mambo Bado sio mabaya

Umenunua 3500 ukauza 4800 ukiuza mara 20 kwa siku item Moja mbona upo sawa vizuri, ukiuza item Tano tayar una faida Zaid 70,000 baada ya Kila kitu
 
Back
Top Bottom