shida ni uupinge uzi wake hata haimchukui nusu sekunde kukuita malaya!, inavyoonekana anahasira sana hebu tutoke huku my wangu tusije kuitwa vikaragosi...πNimeona bora tu nicomment malalamiko nimeshindwa kuchangia ipasavyo
Upo sahihi my wangu. Let's gerare here!shida ni uupinge uzi wake hata haimchukui nusu sekunde kukuita malaya!, inavyoonekana anahasira sana hebu tutoke huku my wangu tusije kuitwa vikaragosi...π
Lete mbinu nyingine hizo hazipandiTafuta product moja unayoweza kuweka nguvu zako.
Bidhaa hiyo utaiuza kwa sh elfu 10 kwa wateja 2000 kwa mwaka.
Hakikisha ni bidhaa inayohitajika sokoni.
10,000 * 2000=20,000,000.
Mfano zalisha mafuta ya ngozi target wateja 2000. Yabrand kwenye social media na mtaani utapata hiyo pesa.
Au kitabu cha q&a review kwa madarasa ya mitihani mfano la saba, darasa la nne form 4.
Unaweza igeuza hesabu utakavyo e.g. 20,000*1000
Lengo mil 20.
Mwaka wa kufosi jilipue toka kwenye comfort zone.
Fanya wholesale utaona hesabu inakuwa nyepesi sanaNgoja niuze chupi zenye faida ya tsh 500 kila moja kwa watu 40,000 kwa mwaka.
40,000Γ·365=110
Ina maana kwa siku niuze kwa watu 110,aisee sio kazi ya kitoto,inabidi niroge kabisa
Kwa hiyo unaenda kudangaSawa
HeheheHalafu anatumia mihemko kujibu watu watu tuko kwenye biashara miaka mpaka mtu umeanza kuona hela umetoka jasho
HeheheUlitakaje? Ubembelezwe au uandikiwe business plan?
Mihemko unayo wewe.
HeheheHuu uzi ukicomment unashushuliwa na mwenye uzi wake
Sitaki nataka sasa hivi maana shule naona uchwara tu,leo nimelala mpaka nimekosa kufanya UEJikite kufanya assignment kwa sasa ukimaliza shule haya mambo utayaelewa kwa ukubwa.
Hatak kuambiwa ukwel halaf ni watu wachache sana wanaoelezeaga plan za biashara zao wengin hawasemi Sasa yeye anataka kuforce watuHuu uzi ukicomment unashushuliwa na mwenye uzi wake
Anakuambia ukadange!Huu uzi ukicomment unashushuliwa na mwenye uzi wake
Hata mkitoka mtafuatwa hukohuko kuja kuitwa visokolokwinyoshida ni uupinge uzi wake hata haimchukui nusu sekunde kukuita malaya!, inavyoonekana anahasira sana hebu tutoke huku my wangu tusije kuitwa vikaragosi...π
Ngoja nikaiulize chat gpt maana ya sonophobiaNendeni MMU ili ni jukwaa la wapambanaji.
Au tubet kiongozi π π π10k ni mauzo ambayo yanajumlisha production cost + profit
BTW ni idea nzuri inayofikirisha
Tatizo ana sonofobiaHatak kuambiwa ukwel halaf ni watu wachache sana wanaoelezeaga plan za biashara zao wengin hawasemi Sasa yeye anataka kuforce watu
Sio kweliHalafu anatumia mihemko kujibu watu watu tuko kwenye biashara miaka mpaka mtu umeanza kuona hela umetoka jasho
K uuze kwa 20k kwa watu buku maana yake katika siku 360 awe anaondoka na watu sio chini ya watatu DAILY , non stop from 1 Jan to 31 Dec.Labda uuze K