Jinsi wakili msomi Dickson Matata alivyompeleka puta mtoto wa IGP Mahita

Ni rahisi sana kuzibomoa kesi za kubumba
 
Mbona umeumia sana ndg? Kazi za watu hizo na vile tunda sawa na mti
 
Mkuu, kama hujui mambo kaa kimya
 
Ila hukumu ikitolewa tuwe tunashangilia hivi hivi kwa kujikumbusha zaidi naomba mkasome kitabu cha kesi ya uhaini sehemu ya 1&2 jinsi kesi ilivyoendeshwa mpaka hukumu ilivyotolewa
 
Inafikirisha sana!
 
Inafikurisha sana!
 
Hv sasa ndy vituko vya nchi yenu
Yaani policcm iwakamate makomando wa jwtz kama mateja wa tandale?
Chaajabu zaidi eti hata hawakuwafunga pingu!
 
Wewe ndyo mjinga,njia rahisi ya kugundua kama mtu anatoa ushahidi wa uongo ni kumtoa kwenye topic then unamrudisha tena.Kama ushahidi wake ni wauongo lazima kuna baadhi ya maeneo atasahau!
Haya maswali ya hivyo yalishapigwa chini na mahakama nyingi enzi zile mawakili.wa.zamani.wanauliza umevaa viatu vya rangi gani. Nashangaa vijana wa sasa bado wanauliza maswali hayo ya kijinga na shahidi mwenyewe naye anajibu?
 
Ila hukumu ikitolewa tuwe tunashangilia hivi hivi kwa kujikumbusha zaidi naomba mkasome kitabu cha kesi ya uhaini sehemu ya 1&2 jinsi kesi ilivyoendeshwa mpaka hukumu ilivyotolewa

Watu wanaongelea contents za mwenendo wa kesi. Hukumu itabaki kuwa hukumu, haitazuia contents zilivyotolewa. Ndio maana kwa kesi hiyo hiyo na contents zake watu hukata rufaa na kupata majibu tofauti. Hivyo, hukumu mwachie hakimu/jaji kulingana na level ya mahakama.
 
Ila hukumu ikitolewa tuwe tunashangilia hivi hivi kwa kujikumbusha zaidi naomba mkasome kitabu cha kesi ya uhaini sehemu ya 1&2 jinsi kesi ilivyoendeshwa mpaka hukumu ilivyotolewa
Hivi kwa aina hii ya mashahidi wa design ya Mahita you can predict judgement.... na bahati mbaya mahakamani kila shahidi ana anaweza kuwa na athari kwenye hukumu.... hivi kweli huyu mahita alijua kabisa akuja kufanyiwa cross -examination?

hivi kweli shahidi uliyemuandaa aseme alisahau, sikumbuki, nitakuwa niliandika..... kweli kulikuwa na haja ya kuwa na shahidi kama huyu? yani polisi mzima una sahau kuandika kama uliwafunga pingu watu unao waita magaidi? polisi mzima hujui taratibu za kusachi mtuhumiwa?
Kwanii Dpp asiondoe hii case ya kujidhalilisha? hii ni aibu...kwa aina hii ya mashahidi...
Hii ni case ya kufuta serikali haiwezi shinda kamwe.... ujinga mtupu
 
Watu wanaongelea contents za mwenendo wa kesi. Hukumu itabaki kuwa hukumu, haitazuia contents zilivyotolewa. Ndio maana kwa kesi hiyo hiyo na contents zake watu hukata rufaa na kupata majibu tofauti. Hivyo, hukumu mwachie hakimu.
Ni Jaji, siyo hakimu
 
My classmate,nafurahi kuona akifanya vizuri.
 
Samahani mkuu, mimi sio mtaalam wa sheria, naomba unielimishe.

Hivi mtu anahukumiwa kwa kutenda kosa, au anahukumiwa kwa kua na nia ya kutenda kosa?

Hebu tuassume kweli Mbowe alikua na nia ya kulipua vituo vya mafuta. Je anaweza kutiwa hatiani ingawa hakulipua kituo chochote?
 

Mimi nimezungumzia makomandoo kuwepo kwenye hiyo kesi ya Mbowe na jinsi shutuma hizi zilivyo ripotiwa polisi mpaka kuonekana
ni muhimu kutolewa maagizo ya kufaywa investigation yake. Nilisoma mahali Mbowe alimuomba msaada huyo mwanajeshi aliye ripoti tuhuma hizi polisi. Ni msaada gani kesi inavyoendelea na amini tutaelewa
 
Ok sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…