Jinsi wanaume tunavyotapeliwa katika neno "kuwajibika"

Jinsi wanaume tunavyotapeliwa katika neno "kuwajibika"

Natafuta Ajira

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2020
Posts
9,016
Reaction score
24,650
Wanaume wengi wamepumbazwa katika ili neno "kuwajibika" kitu ambacho kinapelekea wanaenda extra miles kulazimisha wafanikishe mambo yasiyokuwa na ulazima hata kama wanajiumiza au kujirudisha nyuma kimaendeleo. Tutaangalia baadhi ya mifano.

1. Mahusiano ya kimapenzi. Ukisikia mwanamke anaongelea mwanaume kuwajibika maana yake ni ku-provide monetary expenses. Hii kitu imekua too much na hata wanawake wamezoeshwa sana imefikia hatua wanaona kuongwa au kupewa hela ni haki yao. Dunia ya leo mwanamke kapewa uhuru na access zote za kujitafutia kitendo cha kutaka atimiziwe mahitaji yake na mwanaume kwa sababu tu ana-provide sex hii ni sawa na biashara ya ukahaba.

Wanawake wakiingia kwenye mahusiano wanataka kuhudumiwa wakati wao hawana output yoyote kwa mwanaume. Mwanamke hajawahi kuku-boost kifedha hajawahi kukupa ramani ya mchongo wa kupiga pesa lakini anataka umgharamie kodi, chakula, kupendeza petty cash na bata ndogo ndogo halafu anacho-provide yeye ni sex tu, this is totaly bullshit.

Wanaume wengi wanaona hii ni sawa kwa kudanganyika na ile sifa ya kuwajibika wakati in-return hakuna thamani yoyote anayopata kutoka kwa uyo mwanamke. Mwanaume kama upo katika mahusiano ya aina hii basi jitathmini.

2. Harakati za nguvu za kiume. Ushawahi kusikia matangazo ya kuongeza nguvu za kike? Kama ushawahi kusikia je yanapewa airtime kama yale ya kuongeza nguvu za kiume? Majibu utakayopata jiulize ni kwanini? Ni kwa sababu mwanaume ndie mteja wa status ya kuwajibika.

Mwanaume ndie mwenye ego ya kutaka kuonekana muwajibikaji ndio maana anakua mlengwa mkuu wa hii biashara. Matangazo yapo kimkakati ili uingie mkenge. Ukiwahi kumwaga una upungufu wa nguvu ukichelewa kumwaga una upungufu wa nguvu halafu hauambiwi izo kuwahi au kuchelewa zinazoeongelewa ni interval ya muda gani.

Matangazo mengine yanataja dalili nyingi sana kiasi kwamba hata kama hauna tatizo lazima kuna kipengere kitagusa kwenye orodha ndipo hapo unaingia gharama kujitibu tatizo ambalo hauna ila ni saikolojia yako tu imechezewa kutokana na matangazo unayoyaona mara kwa mara.

Nimtolea mfano hayo machache lakini kuna mambo mengi sana akili zetu wanaume zimechezewa tujue ni wajibu wetu kuyafanya wakati kiuhalisia ni biashara za watu. Tunatumika kama pawn kufanikisha malengo wa wafanyabiashara na wanawake. Mwanaume wajibika kwenye mambo ambayo yana faida katika mustakabali wa maisha yako sana sana kwenye vipengere vya afya yako na uchumi wako.
 
1. si mnasemaga mwanamke ni ua sasa Ua si linatakiwa kutunzwa jamani 😂😂

2. Nguvu za kike sisi tunahangaika kimyakimya sio kama nyie na sie zetu hazina madhara tukute tunahaha mara karafuu na asali mara okra water sijui kisoga huku nanasi na mtindi mara kikokwa ohoo tena bora nyie 😂😂😂😂
 
1. si mnasemaga mwanamke ni ua sasa Ua si linatakiwa kutunzwa jamani 😂😂
Anaetunzwa ni mke. Nimemchukua mwanamke rasmi kutoka kwa wazazi wake anaishi kwangu uyo ndie mwanamke nawajibika kumtunza tena awe mama wa nyumbani, akiwa na kipato atawajibika kuleta kitu mezani.
2. Nguvu za kike sisi tunahangaika kimyakimya sio kama nyie na sie zetu hazina madhara tukute tunahaha mara karafuu na asali mara okra water sijui kisoga huku nanasi na mtindi mara kikokwa ohoo tena bora nyie 😂😂😂😂
Najua kuna wanawake wanaoangaika na ilo tatizo lakini lengo kubwa ni kuweza kumpagawisha mwanaume atoe huduma zaidi au ndoa kabisa kwaiyo ni kama uwekezaji tu kwenye biashara tofauti na mwanaume ambae anaangaika na viagra, mkongo n.k ili apate tu ile status ya kuwajibika lakini in-return hapati valuable output yoyote kutoka kwa mwanamke husika
 
Wanawake wakiingia kwenye mahusiano wanataka kuhudumiwa wakati wao hawana output yoyote kwa mwanaume. Mwanamke hajawahi kuku-boost kifedha hajawahi kukupa ramani ya mchongo wa kupiga pesa lakini anataka umgharamie kodi, chakula, kupendeza petty cash na bata ndogo ndogo halafu anacho-provide yeye ni sex tu, this is totaly bullshit.
Wanaume Mapunda na wapenda chini wanaongozwa kama Kondoo.

Wamebaki kulalamikia Serikali ya Samia eti maisha magumu kumbe ni wao wenyewe.

Dunia ya leo usiposhtuka unajikuta unahudumia Demu yeye pesa zake anajengea nyumba wazazi wake huku wewe hata kiwanja huna.

Nina mifano mingi mademu wamefanya mambo mazuri kwenye familia zao huku washkaji hawana lolote zaidi ya Geghto lenye TV, Sabufa na Kitnda tu na friji.
 
Matangazo mengine yanataja dalili nyingi sana kiasi kwamba hata kama hauna tatizo lazima kuna kipengere kitagusa kwenye orodha ndipo hapo unaingia gharama kujitibu tatizo ambalo hauna ila ni saikolojia yako tu imechezewa kutokana na matangazo unayoyaona mara kwa mara.
We jamaa umewasanua akina Dr Mwaka, Dr Sigwa na Dr Sule...mambo yako hivi hivi.
 
Wanaume wengi wamepumbazwa katika ili neno "kuwajibika" kitu ambacho kinapelekea wanaenda extra miles kulazimisha wafanikishe mambo yasiyokuwa na ulazima hata kama wanajiumiza au kujirudisha nyuma kimaendeleo. Tutaangalia baadhi ya mifano.

1. Mahusiano ya kimapenzi. Ukisikia mwanamke anaongelea mwanaume kuwajibika maana yake ni ku-provide monetary expenses. Hii kitu imekua too much na hata wanawake wamezoeshwa sana imefikia hatua wanaona kuongwa au kupewa hela ni haki yao. Dunia ya leo mwanamke kapewa uhuru na access zote za kujitafutia kitendo cha kutaka atimiziwe mahitaji yake na mwanaume kwa sababu tu ana-provide sex hii ni sawa na biashara ya ukahaba.

Wanawake wakiingia kwenye mahusiano wanataka kuhudumiwa wakati wao hawana output yoyote kwa mwanaume. Mwanamke hajawahi kuku-boost kifedha hajawahi kukupa ramani ya mchongo wa kupiga pesa lakini anataka umgharamie kodi, chakula, kupendeza petty cash na bata ndogo ndogo halafu anacho-provide yeye ni sex tu, this is totaly bullshit.

Wanaume wengi wanaona hii ni sawa kwa kudanganyika na ile sifa ya kuwajibika wakati in-return hakuna thamani yoyote anayopata kutoka kwa uyo mwanamke. Mwanaume kama upo katika mahusiano ya aina hii basi jitathmini.

2. Harakati za nguvu za kiume. Ushawahi kusikia matangazo ya kuongeza nguvu za kike? Kama ushawahi kusikia je yanapewa airtime kama yale ya kuongeza nguvu za kiume? Majibu utakayopata jiulize ni kwanini? Ni kwa sababu mwanaume ndie mteja wa status ya kuwajibika.

Mwanaume ndie mwenye ego ya kutaka kuonekana muwajibikaji ndio maana anakua mlengwa mkuu wa hii biashara. Matangazo yapo kimkakati ili uingie mkenge. Ukiwahi kumwaga una upungufu wa nguvu ukichelewa kumwaga una upungufu wa nguvu halafu hauambiwi izo kuwahi au kuchelewa zinazoeongelewa ni interval ya muda gani.

Matangazo mengine yanataja dalili nyingi sana kiasi kwamba hata kama hauna tatizo lazima kuna kipengere kitagusa kwenye orodha ndipo hapo unaingia gharama kujitibu tatizo ambalo hauna ila ni saikolojia yako tu imechezewa kutokana na matangazo unayoyaona mara kwa mara.

Nimtolea mfano hayo machache lakini kuna mambo mengi sana akili zetu wanaume zimechezewa tujue ni wajibu wetu kuyafanya wakati kiuhalisia ni biashara za watu. Tunatumika kama pawn kufanikisha malengo wa wafanyabiashara na wanawake. Mwanaume wajibika kwenye mambo ambayo yana faida katika mustakabali wa maisha yako sana sana kwenye vipengere vya afya yako na uchumi wako.
"Afya yako na Uchumi wako"

Mwisho wa kunukuu
 
1. si mnasemaga mwanamke ni ua sasa Ua si linatakiwa kutunzwa jamani [emoji23][emoji23]

2. Nguvu za kike sisi tunahangaika kimyakimya sio kama nyie na sie zetu hazina madhara tukute tunahaha mara karafuu na asali mara okra water sijui kisoga huku nanasi na mtindi mara kikokwa ohoo tena bora nyie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareee tupuu.
 
Anaetunzwa ni mke. Nimemchukua mwanamke rasmi kutoka kwa wazazi wake anaishi kwangu uyo ndie mwanamke nawajibika kumtunza tena awe mama wa nyumbani, akiwa na kipato atawajibika kuleta kitu mezani.

Najua kuna wanawake wanaoangaika na ilo tatizo lakini lengo kubwa ni kuweza kumpagawisha mwanaume atoe huduma zaidi au ndoa kabisa kwaiyo ni kama uwekezaji tu kwenye biashara tofauti na mwanaume ambae anaangaika na viagra, mkongo n.k ili apate tu ile status ya kuwajibika lakini in-return hapati valuable output yoyote kutoka kwa mwanamke husika
kama anaetunzwa ni mke then iwe no zex before marriage sio utake kumfaragusa bint wa watu umbidue juu chini ukiwa ushamnywea kvant au konyagi alafu usimtunze weeeeeee dada wa watu kajitunza hakupi UTI wala fangasi sijui alafu useme anaetunzwa ni mke as if kila mahusiano yako yanaishia kwenye ndoa 😂😂😂


huwezi kuhudumia bint wa watu usmuombe Papuchi mpaka umuoe vinginevyo utakula ulipopeleka mboga
 
tutafute hela jamani,kuombwa laki tu umekuja kuanzisha uzi...ukiombwa gari je???
mwanaume yake majukumu
mwanamke lake jiko
 
Wanaume Mapunda na wapenda chini wanaongozwa kama Kondoo.

Wamebaki kulalamikia Serikali ya Samia eti maisha magumu kumbe ni wao wenyewe.

Dunia ya leo usipoahtuka unajikuta unahudumia Demu yeye pesa zake anajengea nyumba wazazi wake huku wewe hata kiwanja huna.

Nina mifano mingi mademu wamefanya mambo mazuri kwenye familia zao huki washkaji hawana lolote zaidi ya Geghto lenye TV, Sabufa na Kitnda tu na friji.
Sure mkuu. Unakuta demu ana namba za wanaume mpaka 20 kwenye simu yake ikifika wikiend anaandika text ya kupiga mzinga wa elfu 10 anaifoward kwa wanaume wote kati ya 20 akipewa na wanaume 10 tu ana laki ya bure kabisa usiku demu yupo kitambaa cheupe kachafua meza na desparado au savana pembeni ana shisha halafu kuna fala lilimtumia demu 10k wakati halijui hata kesho yake litaamka na nini mfukoni
 
Ila hawa wauni wako powerful sana, yani wanaume wanafaiti day en night kufa kupona in return of pussy🤤 daaah...

Wanaume Tuamkeni jamani
Watakuambia tafuta hela. Kuna demu alikua bar maid sasa hivi ana duka kubwa tu la kuuza vitambaa tandika vijana wanamuonga na kumchangia hela za kunywa heinken kila wikiend bado wanashinda kijiweni kucheza kamali ya pool table nankusikilizia dili za deiwaka huku siku nzima wakishindia miogo ya jero na mo energy
 
kama anaetunzwa ni mke then iwe no zex before marriage sio utake kumfaragusa bint wa watu umbidue juu chini ukiwa ushamnywea kvant au konyagi alafu usimtunze weeeeeee dada wa watu kajitunza hakupi UTI wala fangasi sijui alafu useme anaetunzwa ni mke as if kila mahusiano yako yanaishia kwenye ndoa 😂😂😂


huwezi kuhudumia bint wa watu usmuombe Papuchi mpaka umuoe vinginevyo utakula ulipopeleka mboga
Iyo no sex kwani huwa tunawabaka au nyie hamtaki?. Mbona nyie wenyewe ndio mnatuwekea mitego mkiamini kupitia sex mnapata fursa ya kuonja onja pesa zetu. Sex ni kitu kingine na ndoa ni kitu kingine, kusex au kutosex sio determinant ya mahusiano kuishia kwenye ndoa. Kama unafikiri unatakiwa kupewa hela kwa sababu ya kufanya sex basi pale pale unapotongozwa sema unajiuza ili tukubaliane bei twende lodge tukamalizane nikulipe hela yako.
 
Back
Top Bottom