Jinsi wanaume tunavyotapeliwa katika neno "kuwajibika"

Jinsi wanaume tunavyotapeliwa katika neno "kuwajibika"

1. si mnasemaga mwanamke ni ua sasa Ua si linatakiwa kutunzwa jamani 😂😂

2. Nguvu za kike sisi tunahangaika kimyakimya sio kama nyie na sie zetu hazina madhara tukute tunahaha mara karafuu na asali mara okra water sijui kisoga huku nanasi na mtindi mara kikokwa ohoo tena bora nyie 😂😂😂😂
Nitarudi
 
Hahahah eti mafuta .....siyo nina shida na laki mbili, siyo baba anaumwa kijijijini, siyo nadaiwa mkombozi benki, asa, vikoba, marejesho ya kikundi, niongezee hela nikanunue simu macho matatu, naomba nikopeshe laki tatu kama huna azima kwa rafiki zako, Kodi imeisha na hapa nilipo sina hata Mia, naomba nauli niende kwetu Tanga kwenye arobaini ya msiba wa ndugu yetu........🤣🤣🤣Binafsi nimeamua kufuta michepuko yote 7 nilokuwa nayo baada ya kujikomboa mapema kwa kustuka na kutambua kwamba hakuna reward yoyote katika kuwahudumia wanawake
Umefanya maamuzi sahihi. Kwenye mahusiano kuna kusaidiana tatizo wanawake wamekalili kwamba katika uko kusaidiana wao ni wapokeaji na wanaume ni watoaji.
 
Nafikiri ulikataa ku-sex na hao wanaume kwasababu walikuwa hawana muonekano ambao unakuvutia. kadogo2
Tatizo la wanawake wakishaona mtu anataka mahusiano siriaz ndio wanamuwekea ngumu, unakuta hao wanaume watano ni nice guyz ila kawaweka pending kwanza halafu anakitombesha kwa bad boyz mpaka atakapokua demaged na umri ushaenda ndio awageikie nice guys wampe tulizo la ndoa, sasa kwanini wakaka wa watu wasimpige chini? Mwanamke akatae sex kwa sababu za kiimani au kimaadili na kweli awe anaishi kwa misingi ya imani/maadili. Sio gumegume alitaki sex mpaka ndoa halafu halina bikira na wakati wote linamsubirisha mwanaume kwa ilo sharti la ndoa lenyewe linaendelea kukitombesha kawa kawaida, huo ni uhuni.
 
Wanaume wengi wamepumbazwa katika ili neno "kuwajibika" kitu ambacho kinapelekea wanaenda extra miles kulazimisha wafanikishe mambo yasiyokuwa na ulazima hata kama wanajiumiza au kujirudisha nyuma kimaendeleo. Tutaangalia baadhi ya mifano.

1. Mahusiano ya kimapenzi. Ukisikia mwanamke anaongelea mwanaume kuwajibika maana yake ni ku-provide monetary expenses. Hii kitu imekua too much na hata wanawake wamezoeshwa sana imefikia hatua wanaona kuongwa au kupewa hela ni haki yao. Dunia ya leo mwanamke kapewa uhuru na access zote za kujitafutia kitendo cha kutaka atimiziwe mahitaji yake na mwanaume kwa sababu tu ana-provide sex hii ni sawa na biashara ya ukahaba.

Wanawake wakiingia kwenye mahusiano wanataka kuhudumiwa wakati wao hawana output yoyote kwa mwanaume. Mwanamke hajawahi kuku-boost kifedha hajawahi kukupa ramani ya mchongo wa kupiga pesa lakini anataka umgharamie kodi, chakula, kupendeza petty cash na bata ndogo ndogo halafu anacho-provide yeye ni sex tu, this is totaly bullshit.

Wanaume wengi wanaona hii ni sawa kwa kudanganyika na ile sifa ya kuwajibika wakati in-return hakuna thamani yoyote anayopata kutoka kwa uyo mwanamke. Mwanaume kama upo katika mahusiano ya aina hii basi jitathmini.

2. Harakati za nguvu za kiume. Ushawahi kusikia matangazo ya kuongeza nguvu za kike? Kama ushawahi kusikia je yanapewa airtime kama yale ya kuongeza nguvu za kiume? Majibu utakayopata jiulize ni kwanini? Ni kwa sababu mwanaume ndie mteja wa status ya kuwajibika.

Mwanaume ndie mwenye ego ya kutaka kuonekana muwajibikaji ndio maana anakua mlengwa mkuu wa hii biashara. Matangazo yapo kimkakati ili uingie mkenge. Ukiwahi kumwaga una upungufu wa nguvu ukichelewa kumwaga una upungufu wa nguvu halafu hauambiwi izo kuwahi au kuchelewa zinazoeongelewa ni interval ya muda gani.

Matangazo mengine yanataja dalili nyingi sana kiasi kwamba hata kama hauna tatizo lazima kuna kipengere kitagusa kwenye orodha ndipo hapo unaingia gharama kujitibu tatizo ambalo hauna ila ni saikolojia yako tu imechezewa kutokana na matangazo unayoyaona mara kwa mara.

Nimtolea mfano hayo machache lakini kuna mambo mengi sana akili zetu wanaume zimechezewa tujue ni wajibu wetu kuyafanya wakati kiuhalisia ni biashara za watu. Tunatumika kama pawn kufanikisha malengo wa wafanyabiashara na wanawake. Mwanaume wajibika kwenye mambo ambayo yana faida katika mustakabali wa maisha yako sana sana kwenye vipengere vya afya yako na uchumi wako.
Exactly!!
 
Back
Top Bottom