Jinsi wanaume tunavyotapeliwa katika neno "kuwajibika"

Jinsi wanaume tunavyotapeliwa katika neno "kuwajibika"

1. si mnasemaga mwanamke ni ua sasa Ua si linatakiwa kutunzwa jamani πŸ˜‚πŸ˜‚

2. Nguvu za kike sisi tunahangaika kimyakimya sio kama nyie na sie zetu hazina madhara tukute tunahaha mara karafuu na asali mara okra water sijui kisoga huku nanasi na mtindi mara kikokwa ohoo tena bora nyie πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kokwa la embe kwa mbususu tena jamani 🀣🀣🀣🀣🀣
 
1. si mnasemaga mwanamke ni ua sasa Ua si linatakiwa kutunzwa jamani πŸ˜‚πŸ˜‚

2. Nguvu za kike sisi tunahangaika kimyakimya sio kama nyie na sie zetu hazina madhara tukute tunahaha mara karafuu na asali mara okra water sijui kisoga huku nanasi na mtindi mara kikokwa ohoo tena bora nyie πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Noma sana duuuh
 
1. si mnasemaga mwanamke ni ua sasa Ua si linatakiwa kutunzwa jamani πŸ˜‚πŸ˜‚

2. Nguvu za kike sisi tunahangaika kimyakimya sio kama nyie na sie zetu hazina madhara tukute tunahaha mara karafuu na asali mara okra water sijui kisoga huku nanasi na mtindi mara kikokwa ohoo tena bora nyie πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mwanamke ua na unaenda toilet kushusha kifurushi up gani wewe, unatoa jasho, hewa chafu nk hakuna ua lakijinga namna hii.
 
Mwanamke ua na unaenda toilet kushusha kifurushi up gani wewe, unatoa jasho, hewa chafu nk hakuna ua lakijinga namna hii.
Mwanamke ua, mke ni pambo, mwanamke anahitaji matunzo.. iyo misemo ni ya kimkakati kumjaza upepo mwanaume amwage hela. Understand the game.
 
Iyo no sex kwani huwa tunawabaka au nyie hamtaki?. Mbona nyie wenyewe ndio mnatuwekea mitego mkiamini kupitia sex mnapata fursa ya kuonja onja pesa zetu. Sex ni kitu kingine na ndoa ni kitu kingine, kusex au kutosex sio determinant ya mahusiano kuishia kwenye ndoa. Kama unafikiri unatakiwa kupewa hela kwa sababu ya kufanya sex basi pale pale unapotongozwa sema unajiuza ili tukubaliane bei twende lodge tukamalizane nikulipe hela yako.
yani mtu atoke huko alipotoka akamuekee mtegi mtu asie mjuaπŸ˜‚ we tafuta hela uache kuona kumpa hela mpenzi wako ni kumnunua bhana
 
yani mtu atoke huko alipotoka akamuekee mtegi mtu asie mjuaπŸ˜‚ we tafuta hela uache kuona kumpa hela mpenzi wako ni kumnunua bhana
Kwani wanawake wanavyovaa nusu uchi lengo ni nini kama sio kuvuta attention ya mwanaume? Ushawahi kuona kahaba kavaa nguo za heshima akiwa site?
Hela ninatafuta lakini kwa faida ya mustakabali wa maisha yangu sio kwa ajiri ya kumfurahisha mwanamke.
Kanuni yangu ni ile ile, mwanamke kama unataka mapenzi njoo kama unataka hela kafanye kazi.
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ matajiri wa jf huwa mnanichekesha kweli kweli. Hapo si ajabu iyo laki hauna popote sio benki, tigopesa wala mfukoni
πŸ˜› labda sina kweli,ila nikiombwa siwezi kuja kulalamika humu.....
mwanaume hawezi kukimbia majukumu yake
hawa ndo wanaleta mambo ya haki sawa
hivi ushawahi kusikia wanandoa wanaachana halafu mwanaume anapata gawio kutoka kwenye utajiri wa mke wake???
 
πŸ˜› labda sina kweli,ila nikiombwa siwezi kuja kulalamika humu.....
mwanaume hawezi kukimbia majukumu yake
hawa ndo wanaleta mambo ya haki sawa
hivi ushawahi kusikia wanandoa wanaachana halafu mwanaume anapata gawio kutoka kwenye utajiri wa mke wake???
Hakuna anaelalamika hapa tuna-address mambo yanayotokea kwenye jamii humu tupo watu wa age tofauti mimi nina uhakika kuna wadogo zangu wengi tu humu ndani kwaiyo ni jukumu langu kuwasanua mapema mambo ambayo kaka yao nilichelewa kujifunza..
Hakuna popote tunapopinga mwanaume kubeba majukumu suala ni majukumu gani unayoyabeba.

Majukumu ya kuhudumia kahaba au mdangaji? Majukumu ya kumuhudumia girlfriend mwenye nguvu na akili timamu za kuweza kufanya kazi ajipatie kipato? Majukumu ya kumuhudumia mwanamke mwenye kipato huku ukiishi kwenye nyumba ya kupanga na kuvaa kadeti 3 na pair moja ya viatu mwaka mzima wakati mwenzako kipato chake anajenga nyumba ya wazazi wake na yakwake kwa ajiri ya kupangisha? Majukumu ya kuhudumia demu wakati unashindia miogo na mo energy ukiwa hauna akiba ya hata laki moja wakati mwenzako kila wikiend yupo kitambaa cheupe meza imechafuka chupa nyingi sana za heinkein?. Mpo wanaume wengi sana mnapigwa katika huo mkumbo wa kubeba majukumu au kuwajibika.

Women always wait at finish line to roll up with the winner. Make sure you prioritise your goals and wellbeing in your entire existence in this world and women should never be the focal point of your objectives.. Do you feel me my young bro?
 
Ila hawa wauni wako powerful sana, yani wanaume wanafaiti day en night kufa kupona in return of pussy[emoji1786] daaah...

Wanaume Tuamkeni jamani
Ukiona mwanaume unapambania Pussy basi una safari ndefu , mwanaume unatakiwa kupambania malengo yako , mwanamke mfanye awe incetives anapotokea katikati ya safari na sio pleasure.
 
Anaetunzwa ni mke. Nimemchukua mwanamke rasmi kutoka kwa wazazi wake anaishi kwangu uyo ndie mwanamke nawajibika kumtunza tena awe mama wa nyumbani, akiwa na kipato atawajibika kuleta kitu mezani.

Najua kuna wanawake wanaoangaika na ilo tatizo lakini lengo kubwa ni kuweza kumpagawisha mwanaume atoe huduma zaidi au ndoa kabisa kwaiyo ni kama uwekezaji tu kwenye biashara tofauti na mwanaume ambae anaangaika na viagra, mkongo n.k ili apate tu ile status ya kuwajibika lakini in-return hapati valuable output yoyote kutoka kwa mwanamke husika
Huyo binti unamuomba mchezo kila siku amekuwa mke wako?
Kwa principles zako hapo juu unapaswa kugandana na mke wako tu. Wengine potezea.
 
Huyo binti unamuomba mchezo kila siku amekuwa mke wako?
Kwa principles zako hapo juu unapaswa kugandana na mke wako tu. Wengine potezea.
Kwani yeye anapotaka mchezo mimi ni mume wake? Hivi suala la sex kwanini mmeliweka katika mlengo wa kwamba mnatufanyia favor au nyie hamuhitaji sex. Tukiwa boyfriend na girlfriend sex tutafanya sex kama starehe ya wote. Kama unafikiri unatakiwa kupewa hela kwa kufanya sex basi weka wazi kwamba unajiuza ijulikane ni mahusiano ya kibiashara na tuwe tunakubaliana bei kila tunapokutana. Lakini kwenye mahusiano ya boyfreind and girlfriend wewe kama mtu mzima mwenye nguvu na akili timamu utawajibika kufanya kazi ujihudumie kama hauna kazi basi suala la kukuhudumia ni jukumu la wazazi wako sio boyfreind. Nitakapoona una maadili mema na tabia nzuri kuweza kuwa mke nitakuoa na hapo ndipo nitabeba jukumu la kukuhudumia
 
Back
Top Bottom