Jinsi "wasaliti " wanavyoula CCM, huku wafia chama wakitoswa

Jinsi "wasaliti " wanavyoula CCM, huku wafia chama wakitoswa

Wana JF
Sipati picha, wanachama wa CCM wananuna mtaani balaa, kati ya vitu ambavyo vimewakera ni pamoja na kwenda kinyume na katiba ya chama ambayo inasema kila mwanachama anayejiunga na chama cha mapinduzi lazima awe amekaa kwa kipindi flan ndipo atagombe kwenye nafasi za uongozi. Tunacho shuhudia hapa ni kuona walio kihama chama ndio wanao rudishwa kwenye maeneo yale yale, mpaka sasa wanachama wa ccm wanataka kupasuka maana wapo waliokuwa wanamendea hizo nafasi lakini hawawezi kupata tena, sasa ni dhahiri kuwa uchaguzi wa madiwani, wenyeviti na wabunge ndani ya chama kabla ya kuwasilisha tume ya uchaguzi utakuwa ni wa maamuzi na matakwa ya viongozi kwa kuamua nani atakae pewa au kuhidhinishwa agombee.


Inauma sana, ila inabidi iwe hivyo maana ni maagizo toka juu.
 
Hiyo ndiyo demokrasia, ukichoka chama unahamia chama kingine

Ufipa mbona mnasahau mapema sana mbona Mbowe alivyo mkaribisha fisadi Lowasa hamna mwana ufipa aliye kasirika?
 
Wana JF
Sipati picha, wanachama wa CCM wananuna mtaani balaa, kati ya vitu ambavyo vimewakera ni pamoja na kwenda kinyume na katiba ya chama ambayo inasema kila mwanachama anayejiunga na chama cha mapinduzi lazima awe amekaa kwa kipindi flan ndipo atagombe kwenye nafasi za uongozi. Tunacho shuhudia hapa ni kuona walio kihama chama ndio wanao rudishwa kwenye maeneo yale yale, mpaka sasa wanachama wa ccm wanataka kupasuka maana wapo waliokuwa wanamendea hizo nafasi lakini hawawezi kupata tena, sasa ni dhahiri kuwa uchaguzi wa madiwani, wenyeviti na wabunge ndani ya chama kabla ya kuwasilisha tume ya uchaguzi utakuwa ni wa maamuzi na matakwa ya viongozi kwa kuamua nani atakae pewa au kuhidhinishwa agombee.

Katiba yao inaruhusu fikra za mwenyekiti, zidumu fikra za mwenyekiti na ukipingana na hizi fikra hama chama.
 
Wana JF
Sipati picha, wanachama wa CCM wananuna mtaani balaa, kati ya vitu ambavyo vimewakera ni pamoja na kwenda kinyume na katiba ya chama ambayo inasema kila mwanachama anayejiunga na chama cha mapinduzi lazima awe amekaa kwa kipindi flan ndipo atagombe kwenye nafasi za uongozi. Tunacho shuhudia hapa ni kuona walio kihama chama ndio wanao rudishwa kwenye maeneo yale yale, mpaka sasa wanachama wa ccm wanataka kupasuka maana wapo waliokuwa wanamendea hizo nafasi lakini hawawezi kupata tena, sasa ni dhahiri kuwa uchaguzi wa madiwani, wenyeviti na wabunge ndani ya chama kabla ya kuwasilisha tume ya uchaguzi utakuwa ni wa maamuzi na matakwa ya viongozi kwa kuamua nani atakae pewa au kuhidhinishwa agombee.
Naomba unipe kifungu cha katiba kinacho sema hayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili liwe angalizo kwa vijana wa CCM wanaokesha mitandaoni kutetea wanachokiita chama chao, lakini kumbe chama kina wenyewe.

Sasa ni dhahiri kwamba watu ambao kwa miaka mingi wameiponda CCM hadharani na gizani ndio wanaoteuliwa kushika vyeo ndani ya serikali, huku wanaojiita wafia chama wakipuuzwa na kuonekana vilaza.

Juliana Shonza, Kitilla Mkumbo, Augustino Mrema , Anna Mughwira, Mtella Mwampamba, Humphrey Polepole , Wilbrod Slaa , Ibrahim Lipumba ni baadhi ya majina machache tu ya walioiponda ccm kwa miaka mingi, lakini wakaonekana lulu baada ya kusaliti walikotoka.

Ndugu yangu unayejifanya CCM ni yako kiasi cha kutetea hata maovu, huu ni wakati wa kujitafakari nafasi yako ndani ya CCM , The time is now.

Majuto ni mjukuu.
Mkuu siye wengine ni wana CCM wa kufa na kupona na si wana CCM wa msimu wa mavuno ya pamba.
 
mmmh!
Lakini si hata CDM nako EDO alipata nafasi ya kugombea u presidia matokeo yake Slaa akatoswa?
Au hata hiyo nafasi ya Sumaye Pwani kwani hakuna watu wa CDM waliokitumikia muda mrefu wangefaa?
CCM ni chama kongwe, huwezi linganisha na Chadema ambacho kinahangaikia utanuzi wa uhai wake. Kinachofanywa na CCM Sasa ni dhihirisho la wazi ya madai ya EDO kuwa aliibiwa kura 6milioni. Kwa hakika CCM inatetea uhai wake, maana 2015 kilikaribia kukata roho, kikapona kwa risasi na wizi. Sasa kinatapatapa Kama mke anayejua kwa hakika kuwa mume ameshamtema hivyo kwa kihoro atajigonga hata kwa maadui wa mumewe ilimradi akifikiri mme huyo atamrudia, kumbe hola, wanamnajisi bure kwa hasara yake mwenyewe. Mwisho wa siku ni kufa kifo kisicho na kilio.
 
CCM ni chama kongwe, huwezi linganisha na Chadema ambacho kinahangaikia utanuzi wa uhai wake. Kinachofanywa na CCM Sasa ni dhihirisho la wazi ya madai ya EDO kuwa aliibiwa kura 6milioni. Kwa hakika CCM inatetea uhai wake, maana 2015 kilikaribia kukata roho, kikapona kwa risasi na wizi. Sasa kinatapatapa Kama mke anayejua kwa hakika kuwa mume ameshamtema hivyo kwa kihoro atajigonga hata kwa maadui wa mumewe ilimradi akifikiri mme huyo atamrudia, kumbe hola, wanamnajisi bure kwa hasara yake mwenyewe. Mwisho wa siku ni kufa kifo kisicho na kilio.
maneno kuntu
 
Hili liwe angalizo kwa vijana wa CCM wanaokesha mitandaoni kutetea wanachokiita chama chao, lakini kumbe chama kina wenyewe.

Sasa ni dhahiri kwamba watu ambao kwa miaka mingi wameiponda CCM hadharani na gizani ndio wanaoteuliwa kushika vyeo ndani ya serikali, huku wanaojiita wafia chama wakipuuzwa na kuonekana vilaza.

Juliana Shonza, Kitilla Mkumbo, Augustino Mrema , Anna Mughwira, Mtella Mwampamba, Humphrey Polepole , Wilbrod Slaa , Ibrahim Lipumba ni baadhi ya majina machache tu ya walioiponda ccm kwa miaka mingi, lakini wakaonekana lulu baada ya kusaliti walikotoka.

Ndugu yangu unayejifanya CCM ni yako kiasi cha kutetea hata maovu, huu ni wakati wa kujitafakari nafasi yako ndani ya CCM , The time is now.

Majuto ni mjukuu.
Hizo ni mbinu za Vita ndugu yangu, lazima uijaribu silaha ya adui yako ukiipata, sasa wamerudi ccm Yale waliyokuwa wakilalamika sasa wanapewa rungu, usijaribu kupita mbele yao utaumia si unaona hawana Matamko ya muweke ndani masaa48,pole Sana hiyo ndo siasa..
 
Back
Top Bottom