Jinsi wenye magari wanavyopigwa na mafundi

Jinsi wenye magari wanavyopigwa na mafundi

Labda kwa kuanza nieleze kisa kilichomkuta jamaa yangu.

Jamaa ana Subaru Forester 2006 2.0L

Usiku wa kuamkia 9 january 2023 zilinyesha sana mvua na kuna maeneo mjini yalijaa maji, sasa bahati mbaya wakati anaenda mishemishe kuna mahali alifika maji yakawa mengi.

Katika kupita maji yakawa yameingia mpaka ndani ya gari.

Sasa baadae kuna jamaa akawa amewapelekea ili watoe seat na makapeti ndani ili wayakaushe.

Jioni alipoenda kuchukua gari alipoendesha kidogo ikaanza kuwaka Check engine.

Akarudi wa wale jamaa wanamkaushia vitu vya ndani, wakacheck weeee mwisho wa siku wakasema Control box (ECU) imelowana hivyo inabidi ikakaushwe na bei ya kukaushwa ni Tsh. 150,000/=. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Basi jamaa akanipigia, kuniuliza kuhusu hayo aliyoambiwa na hao jamaa. Nikamuambia ninachokifahamu kuhusu check engine kwamba kuna chances kuna connectors maji yameingia na hivyo kupelekea kuwaka kwa hiyo check engine.

Lakini pia nikamshauri alete gari tuangalie kama kweli control box imeingia maji, me nitaikausha na hot air gun.

basi akaja jioni hiyohiyo, Kufanya diagnosis shida ikatokea P0037 HO2S heater circuit low(B1S2). Hii ni O2 sensor ya nyuma au baada ya masega(CAT converter).
View attachment 2525315


Nikasema labda maji yameingia kwenye connector ya Oxygen Sensor nikacheck connector iko poa, pia nikacheck connector zingine mpaka kwenye ecu wala hakuna maji.

Basi nikamuambia atembelee kama haitazima basi sensor inaweza kuwa imeshaleta shida.

Katembelea almost a week bila check engine kuzima basi akarudi tukatafuta Oxygen sensor tukaona bei mlima (180k sensor used, ndugu zangu wa Subaru poleni sana).

Basi tukafikia hitimisho kwamba tuagize tu nje. Lakini kabla ya kuagiza nikasema nijiridhishe tena na wiring ya ile gari. Hiyo ilikuwa ni jana.

Oxygen sensor ina waya 4, nikaanza na waya mmoja baada ya mwingine. Diagram yake hii hapa chini.

View attachment 2525288


View attachment 2525290

Hapo wire mbili za heater circuit, mmoja signal line na mmoja ni ground.

Signal line na ground niliziconfirm haraka sana kwa kutumia signal generator. Yaani naingiza signal kutoka kwenye wiring ya o2 sensor halafu naangalia kwenye live data inasomaje. Nikaona inavyosoma kwenye signal generator ndio inavyosoma kwenye live data.

Wire za Heater circuit, kuna mmoja unatoka kwenye Main relay na unakuwa na Voltage ya battery. Huu nao ulikuwa poa.

Huu mmoja uliobaki wa heater circuit unaenda straight kwenye ecu, nikaanza kuufatilia kama unafika kwenye ECU, nikajaribu pin zote kwenye connectors za ECU hamna kitu. Basi jana nikaishia hapo sababu muda ulikuwa umeenda.

Kazi ya leo ikawa kufatilia huo waya mmoja umekatika wapi maana signal haifiki kwenye ecu.

Nikaspend muda mwingi sana kuangalia hizo diagrams baada nilivyoenda kule mbele mahali ambapo connector ya oxygen sensor inaingia nikanote vitu viwili.

1. Kulikuwa na tape mpya imefungwa, (mind you, hiyo gari haina hata miezi 6 toka iagizwe nje).

View attachment 2525300
Hapo baada ya kuitoa hiyo tape.

2. Waya niliokuwa naususpect kwamba una shida ulikuwa umetokeza kwa nje.

View attachment 2525301

Basi nikatoa hilo gamba jeusi na hiki ndio nilichokikuta ndani.

View attachment 2525302

Huo waya umekaatika kama hivyo, na siyo kwamba umekatika wenyewe, bali umekatwa.

Nikauunga huo wire na creamper pin.

View attachment 2525303

Nikarudishia gamba lake, nikapiga tape, nikarudisha kila kitu, nikawasha gari kwenda kutest, kila kitu kiko poa.

Jamaa alikuwa smart kwa waya alioukata sababu katika waya zote nne ndio waya mgumu kuufatilia.

Kiukweli kama ambavyo imekuwa ikishauriwa siku zote humu ndani kuhusu suala ya kuachia mtu gari halafu wewe unaenda kwenye mambo yako, Usimuamini mtu.

Trust get you killed.

Fine, umeamua kumpiga mtu basi angalau usimuharibie gari yake.
Fine, umeamua kumpiga mtu basi angalau usimuharibie gari yake.[emoji818][emoji1545]
 
Labda kwa kuanza nieleze kisa kilichomkuta jamaa yangu.

Jamaa ana Subaru Forester 2006 2.0L

Usiku wa kuamkia 9 january 2023 zilinyesha sana mvua na kuna maeneo mjini yalijaa maji, sasa bahati mbaya wakati anaenda mishemishe kuna mahali alifika maji yakawa mengi.

Katika kupita maji yakawa yameingia mpaka ndani ya gari.

Sasa baadae kuna jamaa akawa amewapelekea ili watoe seat na makapeti ndani ili wayakaushe.

Jioni alipoenda kuchukua gari alipoendesha kidogo ikaanza kuwaka Check engine.

Akarudi wa wale jamaa wanamkaushia vitu vya ndani, wakacheck weeee mwisho wa siku wakasema Control box (ECU) imelowana hivyo inabidi ikakaushwe na bei ya kukaushwa ni Tsh. 150,000/=. 😂😂😂😂.

Basi jamaa akanipigia, kuniuliza kuhusu hayo aliyoambiwa na hao jamaa. Nikamuambia ninachokifahamu kuhusu check engine kwamba kuna chances kuna connectors maji yameingia na hivyo kupelekea kuwaka kwa hiyo check engine.

Lakini pia nikamshauri alete gari tuangalie kama kweli control box imeingia maji, me nitaikausha na hot air gun.

basi akaja jioni hiyohiyo, Kufanya diagnosis shida ikatokea P0037 HO2S heater circuit low(B1S2). Hii ni O2 sensor ya nyuma au baada ya masega(CAT converter).
View attachment 2525315


Nikasema labda maji yameingia kwenye connector ya Oxygen Sensor nikacheck connector iko poa, pia nikacheck connector zingine mpaka kwenye ecu wala hakuna maji.

Basi nikamuambia atembelee kama haitazima basi sensor inaweza kuwa imeshaleta shida.

Katembelea almost a week bila check engine kuzima basi akarudi tukatafuta Oxygen sensor tukaona bei mlima (180k sensor used, ndugu zangu wa Subaru poleni sana).

Basi tukafikia hitimisho kwamba tuagize tu nje. Lakini kabla ya kuagiza nikasema nijiridhishe tena na wiring ya ile gari. Hiyo ilikuwa ni jana.

Oxygen sensor ina waya 4, nikaanza na waya mmoja baada ya mwingine. Diagram yake hii hapa chini.

View attachment 2525288


View attachment 2525290

Hapo wire mbili za heater circuit, mmoja signal line na mmoja ni ground.

Signal line na ground niliziconfirm haraka sana kwa kutumia signal generator. Yaani naingiza signal kutoka kwenye wiring ya o2 sensor halafu naangalia kwenye live data inasomaje. Nikaona inavyosoma kwenye signal generator ndio inavyosoma kwenye live data.

Wire za Heater circuit, kuna mmoja unatoka kwenye Main relay na unakuwa na Voltage ya battery. Huu nao ulikuwa poa.

Huu mmoja uliobaki wa heater circuit unaenda straight kwenye ecu, nikaanza kuufatilia kama unafika kwenye ECU, nikajaribu pin zote kwenye connectors za ECU hamna kitu. Basi jana nikaishia hapo sababu muda ulikuwa umeenda.

Kazi ya leo ikawa kufatilia huo waya mmoja umekatika wapi maana signal haifiki kwenye ecu.

Nikaspend muda mwingi sana kuangalia hizo diagrams baada nilivyoenda kule mbele mahali ambapo connector ya oxygen sensor inaingia nikanote vitu viwili.

1. Kulikuwa na tape mpya imefungwa, (mind you, hiyo gari haina hata miezi 6 toka iagizwe nje).

View attachment 2525300
Hapo baada ya kuitoa hiyo tape.

2. Waya niliokuwa naususpect kwamba una shida ulikuwa umetokeza kwa nje.

View attachment 2525301

Basi nikatoa hilo gamba jeusi na hiki ndio nilichokikuta ndani.

View attachment 2525302

Huo waya umekaatika kama hivyo, na siyo kwamba umekatika wenyewe, bali umekatwa.

Nikauunga huo wire na creamper pin.

View attachment 2525303

Nikarudishia gamba lake, nikapiga tape, nikarudisha kila kitu, nikawasha gari kwenda kutest, kila kitu kiko poa.

Jamaa alikuwa smart kwa waya alioukata sababu katika waya zote nne ndio waya mgumu kuufatilia.

Kiukweli kama ambavyo imekuwa ikishauriwa siku zote humu ndani kuhusu suala ya kuachia mtu gari halafu wewe unaenda kwenye mambo yako, Usimuamini mtu.

Trust get you killed.

Fine, umeamua kumpiga mtu basi angalau usimuharibie gari yake.
Ikifika gari imepata ajali na inatakiwa kukaa garage, huwa hakuna ujanja, lakini inategemea na ajalai yenyewe. Uzuri wa bima ukiwa na kubwa pia huwa wanawabana watu wa garage.

Huyo fundi anatakiwa afikishwe polisi hata kama ushahidi hautoshi.
 
Mimi sijaelewa sababu kuu ilikua apate faida gani mkuu.

Umeniogopesha gari yangu nimepeleka garage nimeambiwa siku tatu ndo nikafate, niligonga guta ikaharibika taa na bampa limekatika .. Ni subaru pia na haina pia hata miezi 5

Anakata wire ili baadae ukija kunotice tatizo si utarudi kwake?

Hapo ndio atakupiga hela,

Na asikudanganye mtu, hakuna matatizo magumu kufix kama matatizo ambayo mtu alikaa akalitengeneza, yanasumbua mno....
 
Ila kama ningekuwa mimi- baada ya kuona taa ya CHECK ENGINE inawaka na wakati naipeleka kwao kukaushwa aikuwa inawaka ningewaachia gari warekebishe nisingeichukuwa kwani hilo la kuwaka taa alikuwepo- na kama alivyosema mdau mmoja humu ndani- andaa Technical report Peleka hao nyau Police mbali na kuwa funzo kwa wengine walipe fidia ya usumbufu.

Shida ni kwamba gari iliingia maji, Hivyo wangekuwa na excuse.

Halafu tena gari ya kijapani(Haziko sensitive tatizo linatokea saiv check engine inawaka baadae!!!).

Hata jamaa aliendesha kidogo ndio ikawaka Check engine.

At least gari za mzungu..... The moment unawasha gari utaexperience kitu tofauti.

BMW kakate wire wa Oxygen sensor yoyote, gari kuwaka tu itawaka na misfire. Hapo unaweza kumuwashia mtu moto.
 
Ikifika gari imepata ajali na inatakiwa kukaa garage, huwa hakuna ujanja, lakini inategemea na ajalai yenyewe. Uzuri wa bima ukiwa na kubwa pia huwa wanawabana watu wa garage.

Huyo fundi anatakiwa afikishwe polisi hata kama ushahidi hautoshi.

wapo watu ni waaminifu.

Kiukweli, me mwenyewe kukaa na gari ya mtu siyo kitu napendelea,

Lete gari yako, kaa hapo nikurekebishie, ondoka nayo.

Sifanyi kazi za kushusha engine kwamba itanilazimu gari yako ilale.
 
Ni simple logic tu mkuu. Kama jamaa angekubali kulipa hiyo laki na nusu, jamaa wangeingia tu wakaunganisha huo waya chap then wakala hiyo hela.

In short, wamelitengeneza wao hilo tatizo then wakamuongopea mmiliki wa gari kua tatizo ni kitu kingine kikubwa. Tatizo lilikua waya walioukata makusudi, sio oxygen sensor aliyoambiwa mwenye gari.
Sawasawa..
 
Mimi sijaelewa sababu kuu ilikua apate faida gani mkuu.

Umeniogopesha gari yangu nimepeleka garage nimeambiwa siku tatu ndo nikafate, niligonga guta ikaharibika taa na bampa limekatika .. Ni subaru pia na haina pia hata miezi 5
Mie waliwahi kunibadilishia cylinder head ya Nissan Caravan, nilipeleka gari body ikakaa kama wiki 3 hivi.
Siku gari imeenda kufatwa inachemsha njia nzima na wakati haikuwa na huo ugonjwa.

Nikahisi kitu kimefanyika katika kufatilia ndio nikagundua kuna Caravan ilikuwa imeua head na ilikuwa pale kwenye ile garage.

Yani tulirudi pale kama ninja nipo na jamaa zangu wawili. Moja kwa moja hadi kwa mwenye garage tukamkuta anapata lunch.
Bila hata salamu kamata jamaa piga makofi inua kwenye kiti piga mitama na mateke mbona alinyoosha maelezo mwenyewe. [emoji23][emoji23][emoji23]

Kumbe alipewa laki 7 akaamua auze ile head, na alinilipa palepale million 1.2 tokea hapo jamaa ananiogopa sana mpaka leo hii.
 
Labda kwa kuanza nieleze kisa kilichomkuta jamaa yangu.

Jamaa ana Subaru Forester 2006 2.0L

Usiku wa kuamkia 9 january 2023 zilinyesha sana mvua na kuna maeneo mjini yalijaa maji, sasa bahati mbaya wakati anaenda mishemishe kuna mahali alifika maji yakawa mengi.

Katika kupita maji yakawa yameingia mpaka ndani ya gari.

Sasa baadae kuna jamaa akawa amewapelekea ili watoe seat na makapeti ndani ili wayakaushe.

Jioni alipoenda kuchukua gari alipoendesha kidogo ikaanza kuwaka Check engine.

Akarudi wa wale jamaa wanamkaushia vitu vya ndani, wakacheck weeee mwisho wa siku wakasema Control box (ECU) imelowana hivyo inabidi ikakaushwe na bei ya kukaushwa ni Tsh. 150,000/=. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Basi jamaa akanipigia, kuniuliza kuhusu hayo aliyoambiwa na hao jamaa. Nikamuambia ninachokifahamu kuhusu check engine kwamba kuna chances kuna connectors maji yameingia na hivyo kupelekea kuwaka kwa hiyo check engine.

Lakini pia nikamshauri alete gari tuangalie kama kweli control box imeingia maji, me nitaikausha na hot air gun.

basi akaja jioni hiyohiyo, Kufanya diagnosis shida ikatokea P0037 HO2S heater circuit low(B1S2). Hii ni O2 sensor ya nyuma au baada ya masega(CAT converter).
View attachment 2525315


Nikasema labda maji yameingia kwenye connector ya Oxygen Sensor nikacheck connector iko poa, pia nikacheck connector zingine mpaka kwenye ecu wala hakuna maji.

Basi nikamuambia atembelee kama haitazima basi sensor inaweza kuwa imeshaleta shida.

Katembelea almost a week bila check engine kuzima basi akarudi tukatafuta Oxygen sensor tukaona bei mlima (180k sensor used, ndugu zangu wa Subaru poleni sana).

Basi tukafikia hitimisho kwamba tuagize tu nje. Lakini kabla ya kuagiza nikasema nijiridhishe tena na wiring ya ile gari. Hiyo ilikuwa ni jana.

Oxygen sensor ina waya 4, nikaanza na waya mmoja baada ya mwingine. Diagram yake hii hapa chini.

View attachment 2525288


View attachment 2525290

Hapo wire mbili za heater circuit, mmoja signal line na mmoja ni ground.

Signal line na ground niliziconfirm haraka sana kwa kutumia signal generator. Yaani naingiza signal kutoka kwenye wiring ya o2 sensor halafu naangalia kwenye live data inasomaje. Nikaona inavyosoma kwenye signal generator ndio inavyosoma kwenye live data.

Wire za Heater circuit, kuna mmoja unatoka kwenye Main relay na unakuwa na Voltage ya battery. Huu nao ulikuwa poa.

Huu mmoja uliobaki wa heater circuit unaenda straight kwenye ecu, nikaanza kuufatilia kama unafika kwenye ECU, nikajaribu pin zote kwenye connectors za ECU hamna kitu. Basi jana nikaishia hapo sababu muda ulikuwa umeenda.

Kazi ya leo ikawa kufatilia huo waya mmoja umekatika wapi maana signal haifiki kwenye ecu.

Nikaspend muda mwingi sana kuangalia hizo diagrams baada nilivyoenda kule mbele mahali ambapo connector ya oxygen sensor inaingia nikanote vitu viwili.

1. Kulikuwa na tape mpya imefungwa, (mind you, hiyo gari haina hata miezi 6 toka iagizwe nje).

View attachment 2525300
Hapo baada ya kuitoa hiyo tape.

2. Waya niliokuwa naususpect kwamba una shida ulikuwa umetokeza kwa nje.

View attachment 2525301

Basi nikatoa hilo gamba jeusi na hiki ndio nilichokikuta ndani.

View attachment 2525302

Huo waya umekaatika kama hivyo, na siyo kwamba umekatika wenyewe, bali umekatwa.

Nikauunga huo wire na creamper pin.

View attachment 2525303

Nikarudishia gamba lake, nikapiga tape, nikarudisha kila kitu, nikawasha gari kwenda kutest, kila kitu kiko poa.

Jamaa alikuwa smart kwa waya alioukata sababu katika waya zote nne ndio waya mgumu kuufatilia.

Kiukweli kama ambavyo imekuwa ikishauriwa siku zote humu ndani kuhusu suala ya kuachia mtu gari halafu wewe unaenda kwenye mambo yako, Usimuamini mtu.

Trust get you killed.

Fine, umeamua kumpiga mtu basi angalau usimuharibie gari yake.
Thanks
 
Ata kama ungeshinda hapo garage 24hrs usingeweza kujua kama fundi amekata au amechomoa waya..it's impossible. Cha msingi tumia fundi unayemuamini

Kuna watu anapeleka gari kupiga rangi bampa halafu linarudi linamisi halafu anarelax tu....
 
Back
Top Bottom