Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mungu wako ni kilema wote mpo sawa tu kama mungu wako hawezi kufanya usiyoweza wewe huyo utamwita Mungu?
Bora umwambie huyo anadhan everything is done under Natural forces. ......I was bounded by a certain habit for 7 years nilijitahid kuacha Lakin wapi!!! But nilipoomba aaah Everything was done
halafu eti kwa miaka 8 visigara 6 tu anajiita mvutaji mzuri!....dahUlikua unaanza kuvuta sio mvutaji sigara 5 hadi 6 kwa siku ni uongo kwa mvutaji wa sigara mm ya 20 hadi nakujibu time hii
hili neno!Kuna kuacha na kupumzika kwa muda..
Ulikua unaanza kuvuta sio mvutaji sigara 5 hadi 6 kwa siku ni uongo kwa mvutaji wa sigara mm ya 20 hadi nakujibu time hii
Daa mi nashindwa kuacha sijuibhata nifanyeje...
mimi pombe ndio sijui nitaachaje!
nimekuwa mvutaji mzuri wa sigara kwa muda wa miaka 8,nilikuwa navuta 5 mpaka 6 kwa siku. nilianza kama utani baada ya kuathiriwa na moshi wa wavutaji nami nikasema ngoja nijaribu, baadaye nikafanya kweli na kuwa mvutaji mzuri kuliko hata walionifundisha. sasa nina wilki 3 sijavuta na wala sitaki kunusa hata moshi wake.
nimekwenda hospitali kuangalia afya nimekuta nina afya nzuri pia nimeshauliwa niwe nakunywa maji ya uvugu vugu zaidi ya lita nne kwa siku.
na wewe kama ni mvutaji nakushauri kuanzia sasa acha.
vinavyokatazwa ndivyo vinavyopendwa.
uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya yako kama unavuta alafu huli chakula kinachoeleweka.
We acha ila mimi siachi kuvuta ganja mpaka naingia kabulini na nilishawambia machizi wa kitaa changu nikifa wakati wakutupia udongo kwe kabuli langu wao watupie mbegu za bangi.Mi na bangi hadi kifo
chezeiya sifa za kijinga.
Well, inasadikiwa bhangi ni dawa lakini. kwa hiyo anaweza kuwa sawa aisee