Jinsi ya kuandika Tangazo lako la biashara mtandaoni

Jinsi ya kuandika Tangazo lako la biashara mtandaoni

Wastani wa mtu kuwa interested na bidhaa anatakiwa aone tangazo si chini ya mara saba. Kwa wale wanaopost sku mbili na kuacha ni tatizo hilo
Asante mkuu. Hii muhimu sana.

Mteja anunui kiurahisi.

Na siyo Rahisi mtu aone tangazo lako Mara ya kwanza halafu aje kununua.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Baadhi ya wafanya biashara huwa wanadhani ukianza kutumia mtandao Kutangaza Biashara yako basi utapata wateja kwa haraka.

Kitu ambacho wengi hawakielewi ni kwamba, jinsi ambavyo maisha ya kawaida mtaani yalivyo, hakuna kinachopatikana kiurahisi.

Kutangaza Biashara au Kipaji Mtandaoni Unahitaji:-

1. Mpango mkakati ulio imara na wa kueleweka.

2. Utayari wa kuwa mwanafunzi. Yaani ukubali kujifunza na kufundishwa.

3. Uvumilivu. Ondoa mategemeo ya kupata wateja kwa haraka.

4. Kujituma na kujitoa kwa hali na mali.

6. Kuwa na mbinu bora za kivita. Muhimu tu usifanye vitu vya ajabu mtandaoni ili kupata attention.

Jifunze techniques zinazoendana na malengo yako.

Ongezea zingine kwenye comment.

View attachment 2545867
Hii ni Tanzania pekee ila kwingine mtu akitangaza anauza papo kwa hapo

Uwezi kunishawishi hizo vitu unazozitaja wakati mtu anatumia muda na gharama kutangaza biashara kwanini asiuze ?

Kwani biashara gani tuanzie hapo labda kama mtu anatangaza uchawi majini Uganga ulozi sawa, lakini kama mtu anauza bidhaa zenye mahitaji kwenye jamii kwanini angoje miaka hizo gharama anazozitumia atazilipa nani kama asipouza?

Kodi atalipaje kutoka kwenye fungu lipi watanzania tubadilike tusialishe ujinga

Au bongo mnatoa ruzuku kwa wafanya biashara?

Ukifanya hivyo usipouza sio Jamba la kawaida Kuna tatizo tena kubwa sana la kujadili kama jamii

Sikubaliani na wewe kabisa
 
Hii ni Tanzania pekee ila kwingine mtu akitangaza anauza papo kwa hapo

Uwezi kunishawishi hizo vitu unazozitaja wakati mtu anatumia muda na gharama kutangaza biashara kwanini asiuze ?

Kwani biashara gani tuanzie hapo labda kama mtu anatangaza uchawi majini Uganga ulozi sawa, lakini kama mtu anauza bidhaa zenye mahitaji kwenye jamii kwanini angoje miaka hizo gharama anazozitumia atazilipa nani kama asipouza?

Kodi atalipaje kutoka kwenye fungu lipi watanzania tubadilike tusialishe ujinga

Au bongo mnatoa ruzuku kwa wafanya biashara?

Ukifanya hivyo usipouza sio Jamba la kawaida Kuna tatizo tena kubwa sana la kujadili kama jamii

Sikubaliani na wewe kabisa
Asante mkuu.

Tuko pamoja.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Hii ni Tanzania pekee ila kwingine mtu akitangaza anauza papo kwa hapo

Uwezi kunishawishi hizo vitu unazozitaja wakati mtu anatumia muda na gharama kutangaza biashara kwanini asiuze ?

Kwani biashara gani tuanzie hapo labda kama mtu anatangaza uchawi majini Uganga ulozi sawa, lakini kama mtu anauza bidhaa zenye mahitaji kwenye jamii kwanini angoje miaka hizo gharama anazozitumia atazilipa nani kama asipouza?

Kodi atalipaje kutoka kwenye fungu lipi watanzania tubadilike tusialishe ujinga

Au bongo mnatoa ruzuku kwa wafanya biashara?

Ukifanya hivyo usipouza sio Jamba la kawaida Kuna tatizo tena kubwa sana la kujadili kama jamii

Sikubaliani na wewe kabisa
Mkuu umenisaidia sana kwenye hili jambo waga linanipa shida sana.

Watanzania walo wengi wanapenda kukariri mambo hili ni tatizo kubwa sanana ndio maana tunabiki nyuma

Watanzania tunatabia yakukubalina na jambo hata kama haliko sawa

Kwanfano ndogo bongo umeme ukisumbua watu badala ya kwenda Tanesco kulalamikia umeme ukikatika wananyoosha nguo za week mzima basi wanajiona wajanja

Maji ya kikatika uwezi kuona watu wakilalamikia idala ya maji watu wanajaza madumu ya maji hadi kitandani mtu anakolala yakikatika week anajiona mjanja

Kwaiyo nimuendelezo wa aya waliyo post hapa.

Bongo watu wanakariri kilakitu mfano moja kuna kampuni moja inauza magari mtandao wale jamaa wanauza magari ya Gread ya chini kwa bei kubwa kwasabu wanunuzi wamekariri makampuni mengine hawataki kabisa kusikia

Wanashindwa kuelewa kwamba kwenye biashara bila ushindani na makampuni mengine uwezi fanya vuzuri

Anglia mashirila yanayofanya biashara bila ushindani

TANESCO
TTCL
ATCL
Bado watu uelewa wao ni duni sana unaruhusu kampuni moja bila kuishindanisha na nyingine unajipandishia mwenyewe bei

Tubadilike wabongo tunajiona wanjanja sana

Nikirudi kwenye Mada jamaa kapost ujinga mtupu ni muendelezo wa kugeuza Tanzania kama sio sehemu ya Dunia

Watu wanajifanyia mambo ya kwao uwezi kuyapata sehemu nyingine zaidi ya Tanzania
 
Sometime tuangalie level ya income yetu watanzania wengi tuko chini angalia bidhaa unayotangaza pia unatangaza bizaa gan kuna mtu hawezi afford baazi ya bizaa Fulani Kwa hyo hata usipo uza nisahihi tuu
 
Wastani wa mtu kuwa interested na bidhaa anatakiwa aone tangazo si chini ya mara saba. Kwa wale wanaopost sku mbili na kuacha ni tatizo hilo
Me natangaza tangazo kwa dollar 50 per day,na kila siku linatembea.

Aisee naona matokea makubwa sanaaaa,yani ningewahi kujua,ingekuwa balaa
 
Me natangaza tangazo kwa dollar 50 per day,na kila siku linatembea.

Aisee naona matokea makubwa sanaaaa,yani ningewahi kujua,ingekuwa balaa
Bajeti yako iko vizuri, lazima ikupe matokeo mazuri.

Ni Tofauti na mtu anayetumia dollar 1 kwa siku.

Ukiweka mpunga mzuri matokeo yanakuwa makubwa zaidi.

Hili ni somo watu hawaelewagi.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Bajeti yako iko vizuri, lazima ikupe matokeo mazuri.

Ni Tofauti na mtu anayetumia dollar 1 kwa siku.

Ukiweka mpunga mzuri matokeo yanakuwa makubwa zaidi.

Hili ni somo watu hawaelewagi.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Kiukweli ni kutokujua tu kabisa,natumia gharama kubwa kwenye matangazo.ila hela inarudi vizuri sana na faida napata sana.

Matangazo ni deal sana sana.
 
Kiukweli ni kutokujua tu kabisa,natumia gharama kubwa kwenye matangazo.ila hela inarudi vizuri sana na faida napata sana.

Matangazo ni deal sana sana.

Me natangaza tangazo kwa dollar 50 per day,na kila siku linatembea.

Aisee naona matokea makubwa sanaaaa,yani ningewahi kujua,ingekuwa balaa
Dola 50 una audience kubwa kiasigani hata Google na FB Twiter wanatoza dolla 5 kwa siku
 
Kiukweli ni kutokujua tu kabisa,natumia gharama kubwa kwenye matangazo.ila hela inarudi vizuri sana na faida napata sana.

Matangazo ni deal sana sana.
Matangazo ni uwekezaji. Ukishalijua hilo huoni tabu kuweka pesa ya maana.

Na faida unapata.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Me natangaza tangazo kwa dollar 50 per day,na kila siku linatembea.

Aisee naona matokea makubwa sanaaaa,yani ningewahi kujua,ingekuwa balaa
N ukwel usiopingika ukiwekeza vizur utavuna vizuri
 
Bado unapata changamoto kuelewa njia gani utumie katika Biashara yako kufikia Watu wengi zaidi?

Kutangaza biashara mtandaoni ni njia bora ya kufikia wateja wengi kwa wakati mmoja.

Hakikisha unatumia njia sahihi ya kufikia hadhira yako na ujumbe unaovutia.

Unajiuliza utawezaje hayo yote?

Madarasa Bado yanaendelea, na unaweza kujiunga wakati wowote popote ulipo.

Wale waliopo Dar Tunaweza kuonana 0752026992
kufikia wateja wengi mtandaoni katika biashara yako.jpg
 
Back
Top Bottom