Mr. Purpose
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 1,468
- 2,767
- Thread starter
- #81
Upo sahihi mkuu.Asante , hizo mambo unatakiwa uwe smart na sharp, Kwa sababu competition ni kubwa Sana maana ni worldwide competition
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo sahihi mkuu.Asante , hizo mambo unatakiwa uwe smart na sharp, Kwa sababu competition ni kubwa Sana maana ni worldwide competition
Tupe njia zako nzuri mkuu.Njia zote hizo ni za kijinga a upuuzi mtupu .... motivation speaker tu mnajua kuandikaa
Ya 1, 2 na ya 4Ww unafanya ipi kati y hz?
Wengi ni motivation speakers kama ulivyosema lakini wapo wanaotengeneza pesa sana tu ilamara nyingi hawaandiki about it.Njia zote hizo ni za kijinga a upuuzi mtupu .... motivation speaker tu mnajua kuandikaa
Ipo vizuri pia, muhimu uwe ni mtu wa kujifunza na kufuatilia mambo.5. Forex
Upo sahihi mkuu.Wengi ni motivation speakers kama ulivyosema lakini wapo wanaotengeneza pesa sana tu ilamara nyingi hawaandiki about it.
Mwenyewe nilijua labda ataleta njia nzuri zinazoeleweka kumbe n yakeyaleNjia zote hizo ni za kijinga a upuuzi mtupu .... motivation speaker tu mnajua kuandikaa
Karibu sana mkuu.Ahsante kwa elimu mkuu
Karibu mkuu, ila hilo tangazo unaonaje ukianzia hapa JF? Wapo wachumba wengi tu.Nataka niweke tangazo la kutafuta mchumba
Nilisha tangaza, hata comments nilizoambulia hazizidi 4Karibu mkuu, ila hilo tangazo unaonaje ukianzia hapa JF? Wapo wachumba wengi tu.
Pole sana mkuu [emoji23], usikate tamaa.Nilisha tangaza, hata comments nilizoambulia hazizidi 4
Inategemeana na setting ya tangazo lako hasa kwenye kipengele cha goal, location na audience.Mkuu, Dola 50 kwa siku 10 inafikia watu wangapi?
Unaweza lipia kupitia M-Pesa master card, airtel mastercard au ukatumia card yako ya benki ambayo ina uwezo wa kufanya malipo kimataifa.Unaweza ongezea nyama hapo... Namna ya kufanya malipo ya haya matangazo (malipo yanafanyika Kwa namna ipi? Kati ya wewe/mimi na hao facebook/instagram?)