Jinsi ya kuandika Tangazo lako la biashara mtandaoni

Jinsi ya kuandika Tangazo lako la biashara mtandaoni

Atakae hitaji kuweka Biashara yake kwenye Google map, niko hapa kukuelekeza ndani ya dakika moja ufanye mwenyewe bila malipo.

kama dakika2-5 umemaliza mchezo baada ya hapo nitakuambia jinsi ya kuwa update

Huduma bila malipo
Tunasubiri maelekezo
 
Mwaga codes mzee kwa faida ya atakae tembelea hapa, achana na huyu mpigaji.
Atakae hitaji kuweka Biashara yake kwenye Google map, niko hapa kukuelekeza ndani ya dakika moja ufanye mwenyewe bila malipo.

kama dakika2-5 umemaliza mchezo baada ya hapo nitakuambia jinsi ya kuwa update

Huduma bila malipo
 
Atakae hitaji kuweka Biashara yake kwenye Google map, niko hapa kukuelekeza ndani ya dakika moja ufanye mwenyewe bila malipo.

kama dakika2-5 umemaliza mchezo baada ya hapo nitakuambia jinsi ya kuwa update

Huduma bila malipo
Ukitoa maelekezo uni tag please
 
Mwaga codes mzee kwa faida ya atakae tembelea hapa, achana na huyu mpigaji.
Buhahahaha.
Mtoa ndo ujifunze. J f sio sehemu ya kutangaza kila biashara. Members wajuaj sana halafu hawana hela. Ona SASA umesha haribu biashara y'ako tayari.

Wazo lako ni zuri sana. Nashauri nenda insta na facebook utapata watu
 
TOENI MCHANGANUO HAPAHAPA.

Gharama ni kiasi gani na inachukua muda gani, maswala ya kupiga simu nakutana na malipo mlima si mazuri.

Tujue gharama ili nikikupigia niwe na uhakika
Gharama ni kuanzia 15,000 hadi 30,000 kutegemeana na aina ya biashara yako na sehemu ulipo mkuu.

Karibu kwa ufafanuzi zaidi.
 
Atakae hitaji kuweka Biashara yake kwenye Google map, niko hapa kukuelekeza ndani ya dakika moja ufanye mwenyewe bila malipo.

kama dakika2-5 umemaliza mchezo baada ya hapo nitakuambia jinsi ya kuwa update

Huduma bila malipo
Jambo jema mkuu. Weka maelezo watu wajifunze.
 
Buhahahaha.
Mtoa ndo ujifunze. J f sio sehemu ya kutangaza kila biashara. Members wajuaj sana halafu hawana hela. Ona SASA umesha haribu biashara y'ako tayari.

Wazo lako ni zuri sana. Nashauri nenda insta na facebook utapata watu
Asante mkuu. Hajaharibu biashara mkuu.

Kufanya na kuelezewa ni vitu viwili tofauti na kila platform ina watu wa aina mbalimbali hivyo siyo Instagram na Facebook tu, hata hapa JF mpaka sasa kuna watu nimewafanyia hiyo kazi.

Karibu sana.
 
Ni katika harakati za kuongeza ujuzi na maarifa kwa lengo la kujitofautisha katika kuanzisha na kukuza biashara mtandaoni.

Ni wapi ninaweza kujifunza hatua kwa hatua jinsi ya kutumia majukwaa ya mtandaoni kuanzisha na kutangaza Biashara?

Kujifunza kuhusu digital marketing kunaweza kufanywa kupitia kozi za mtandaoni, vitabu, na vyanzo vingine vya elimu.

Ni muhimu sana kujifunza kwa kina kuhusu mbinu tofauti za digital marketing ili uweze kutumia zana hizi kufikia malengo yako ya biashara kwa ufanisi zaidi.

Kwa wewe ambaye bado haujapata uelewa wa kutosha kuhusu wapi utajifunza zaidi kuhusu Digital marketing na mbinu zake.

Tunafanya madarasa kwa mtu mmoja mmoja, vikundi au kampuni kuhusu vipengele vyote vya digital marketing Tanzania.

Madarasa haya huwa yanafanyika hana kwa hana kwa wakazi wa Dar Es Salaam na kwa mikoa ambayo tunaweza kufika kwa makubaliano.

Pia tunafanya madarasa haya kwa njia ya Zoom hii ni popote ulipo Tanzania na nje ya Tanzania pia.

Jiunge na kozi yetu ya digital marketing na ujifunze jinsi ya kuvutia wateja wapya kupata ujuzi na kukuza biashara yako.


Tunaweza kuwasiliana WhatsApp 0752026992.

Gharama zinatofautiana kutegemeana na uhitaji wako.

Kozi_ya_Digital_Marketing_Tanzania_Musabskilld.jpg
 
Gharama zinatofautiana kulingana na vigezo vipi kwa kila mhitaji!?
Kuna wengine ambao wanahitaji kujifunza vipengele vyote vya Digital Marketing, ila kuna wengine wanahitaji kipengele kimoja au viwili kwa namna tofauti. Gharama zao zinatofautiana.

Kama utahitaji nimeweka namba hapo tuwasiliane.
 
Back
Top Bottom