Mr. Purpose
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 1,468
- 2,767
- Thread starter
- #161
Haya ni matangazo ya kulipia Facebook na Instagram mkuu.Hujanijibu swali langu
[emoji3578]
Siyo sawa na hayo ya Kariakoo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya ni matangazo ya kulipia Facebook na Instagram mkuu.Hujanijibu swali langu
[emoji3578]
Nalipia baada au kabla20,000 hadi 30,000 kutegemeana na aina ya tangazo na uhitaji wako.
Karibu sana 0752026992
Sawa mkuuHaya ni matangazo ya kulipia Facebook na Instagram mkuu.
Siyo sawa na hayo ya Kariakoo.
Kama upo Dar tunaweza kukutana na kufanya kazi bila tatizo mkuu.Nalipia baada au kabla
[emoji120][emoji120]Sawa mkuu
[emoji3578]
Elewa hili "Biashara ni matangazo."
Matangazo ndiyo moyo wa biashara. Kama unafanya biashara mtandaoni na unahitaji wateja wengi ni muhimu kufanya matangazo ya kulipia (Sponsored ads).
Kwanini? Kwa sababu biashara yako inatakiwa kuonwa na kusikiwa na watu wengi zaidi na zaidi.
Faida kuu ya kufanya sponsored ads
Hufikisha tangazo lako kwa watu wengi
Hufanya watu wapya kutembelea account yako kuona unachouza.
Husaidia kupata wateja wapya na kufanya mauzo
Husaidia kupata followers wapya ambao ni wateja watarajiwa
Sponsored ads ndiyo siri wanatumia wafanya biashara wengi kupata wateja hapa mtandaoni.
Je! Umeanza biashara mtandaoni na haujui uanzie wapi kutangaza biashara yako?
Tunaweza kukusaidia hatua kwa hatua hadi ukafanikiwa kunasa wateja wengi.
Call/Whatsap 0752026992
View attachment 2688504
Kunasa wateja kunaanzia na kufanya tangazo.Mnaweza kuwasaidia hatua kwa hatua kuweka tangazo, sio kunasa wateja, maana kama kunasa wateja ni rahisi hivyo mngefanya nyie huko na kusingekuwa na sababu ya kuleta tangazo hapa Jamii forums
Nakuja mkuu.
Kunasa wateja kunaanzia na kufanya tangazo.
Hauwezi kunasa wateja bila kufanya matangazo mkuu.
Karibu sana boss.
Asante sana mkuu. Nimekuelewa vizuri.Ulipaswa kueleza how good you are on that field, jinsi ambavyo unafikiri ni rahisi kunasa wateja jamii forum kwa andiko fupi hivyo, is the same mindset ambayo utakuwa nayo wakati unamwongoza mteja.
Ni sawa na mtu anafanya seo, anaongea bla bla nyingi sana, Mimi nimesoma Digital Marketing San Diego University (short course), unamwambia nipe huduma 10 mnazotoa, anakupa zote.
Unaenda google, una search, hizo huduma zote kumi, website yake ipo page ya 7, 5 na kuendelea, halafu anasema anafanya seo, on site and off site, What? Kwa nini hufanyi kwa website yako?
Hemu leta statistics zako za matumizi ya hizo paid Ad, and tuambia umepata wateja wangapi, kwenye Market niche ipi kwa mda gani? Maana google ana detailed information mpaka na graphs at a click.
Asante sana mkuu. Nimekuelewa vizuri.
Ameen [emoji120]Ubarikiwe
Nakupigia mkuu.Nipigie. 0762766665
Asante na karibu sana boss.Chapisho zuri [emoji1363]
Ipo ya Bila kulipiaa, kaituma juu hukoMimi inani limit maswali 3 kwa siku tu
Mpaka ulipie