Mr. Purpose
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 1,468
- 2,767
- Thread starter
- #101
Nimeelezea hapo juuKufanya ads fb na instagram kinachosumbua watu ni jinsi ya kufanya malipo basi,
Hayo ulioeleza ni mengineyo tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeelezea hapo juuKufanya ads fb na instagram kinachosumbua watu ni jinsi ya kufanya malipo basi,
Hayo ulioeleza ni mengineyo tu
Ni ujinga na upuzi mtupu ambao motivation speaker Huwa wanaandika,lakini Amini usiamini,Kuna watu wanainuliwa sana na hizi makala za hawa watu,unachotakiwa kufanya ni kufuata utaratibu ulioelekezwa siyo kubishabisha,utaishia kuishi kwenye nyumba za nyasi sababu ya ubishi.Njia zote hizo ni za kijinga a upuuzi mtupu .... motivation speaker tu mnajua kuandikaa
Jifunze kuna platforms kibao za kufanyia alichoandika sio kila mahala. Mfano Upwork kufanya English to Swahili translation unaweza charge mpaka 0.08 USD Per word ama 80usd per maneno 1000.Mwenyewe nilijua labda ataleta njia nzuri zinazoeleweka kumbe n yakeyale
Inarahisisha sana kazi mkuu.Imekaa vizuri
Asante, ulimwengu unabadilika sana vitu vinazidi kurahisishwa.Hongera
Asante na karibu sana.Safi
Hujui ulisemaloGoogle maps Mara nyingi ni ujinga
Kwanini mkuu?Google maps Mara nyingi ni ujinga