sina hamu jaman na GuDume bas anapenda wanawake kanda ya ziwa
Shukrani sana.Miguu unaikunja mtindo wa V, halafu unaanza kuzungusha kiuno unachora sifuri, unafata Moja unaendelea mpka kumi, utazoea kadri siku zinavyosogea
easy !mwambie unapenda nn ! nimerekodiwa july hii kwakwweli huwa nataman kukimbia !hahaha afu yuko busy hatar !Nataman ningekuwa na mke kama wewe
Ahsante mpendwaYoutube, download video ya wabrazil wakicheza mziki wao sijui unaitwa salsa.
Au fungua youtube andika brazil dancing workouts kwenye search box. Wanachezesha kila sehemu ya mwili kuanzia nywele, kichwa, shingo, mabega, mikono, kifua, tumbo, kiuno, mapaja, ugoko, mpaka toes.
Zitakufundisha naamin
Haunisemi mimi kweli?!Watu tumekulia mazingira tofauti... kuna binti mmoja hawa majirani zangu nikawa namlazimisha twende twende anaona aibu siku nikamlazimisha.
Daah kufika kwenye kucheza nilichoka anazungusha mwili mzima basi hadi ifike saa 7 anavuja jasho kama yupo kiwandani.
hhahahaha !m.a.m.a y.ehawakujui hawa.. unlivyo na kiuno laini kama pangaboi na ile style ya kuzungukia pangaboi unavyoiwezea......... kiukweli kwa suala la kiuno kwako wala sijapata shida maana mizungusho yote unaiweza.. kuna ile style unazungusha kama pangaboi mbovu au ile kama shock absorb...
Hahahaaa, pambana sasaNatamani niwe kama huyo ticha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Na kweli nyonga zishakaza nawezajikuta natenguka, kiuno kikatundikwe MOI
Potelea mbali acha nijifunze tu
Hauwezi kuwa wewe.. sidhani kama wewe ni jirani yangu(chaganese).Haunisemi mimi kweli?!
nimecheka sana !tena sana !ukitaka uenjoy nenda club aiseeWatu tumekulia mazingira tofauti... kuna binti mmoja hawa majirani zangu nikawa namlazimisha twende twende anaona aibu siku nikamlazimisha.
Daah kufika kwenye kucheza nilichoka anazungusha mwili mzima basi hadi ifike saa 7 anavuja jasho kama yupo kiwandani.
Napambana mdogo mdogo, nikijifanya nna speed break ya kwanza MoiHahahaaa, pambana sasa
Usinivunje moyo kiasi hikiSamaki mkunje angali mbichi
[emoji16][emoji16][emoji16]He!he!he!
Tayari mie "imesimama" hapa,i wish nikiliona hilo zoezi live sidhani kama ningebaki salama kwa kweli.
Nyonga zimeshakomaaUsinivunje moyo kiasi hiki
Barikiwa diaShukrani sana.
Na sikuhizi hakuna kwenda India, samahani kwa kukuuliza hili swali, "imekuwaje umepata mahitaji ya kujifunza hili jambo, ni shemela amekuwa harudi nyumbani muda muafaka au umekamata msg za kusifia kiuno? Au umepata kazi nje ya nchi? Nimetanguliza samahani lakini.Napambana mdogo mdogo, nikijifanya nna speed break ya kwanza Moi
You do!!jamani niwe wa kwanza basi maana khaa!
Usinifanyie hivoNyonga zimeshakomaa