Jinsi ya kufanya kiuno kigumu kiwe laini

hawakujui hawa.. unlivyo na kiuno laini kama pangaboi na ile style ya kuzungukia pangaboi unavyoiwezea......... kiukweli kwa suala la kiuno kwako wala sijapata shida maana mizungusho yote unaiweza.. kuna ile style unazungusha kama pangaboi mbovu au ile kama shock absorb...
sina hamu jaman na GuDume bas anapenda wanawake kanda ya ziwa
 
Ahsante mpendwa
 
Haunisemi mimi kweli?!
 
hhahahaha !m.a.m.a y.e
 
Haunisemi mimi kweli?!
Hauwezi kuwa wewe.. sidhani kama wewe ni jirani yangu(chaganese).

kama hauwezi kuhudhuria kwenye shughuli jifungie weka video angalia nenda nao taratibu utajua bila kusahau kuchora herufi A-z ila hapa usichore na mwili mzima sasa chora na chura na kiuno basi.


Btw: mauno ya wanawake unayoyaona nje sio ya chumbani wengi wanaweza ya nje ya ndani hoolaa.
 
nimecheka sana !tena sana !ukitaka uenjoy nenda club aisee
 
Njoo nikupe course nachapa hayo matako wakati na kugegeda baada ya miezi sita utakuwa fit.
 
Napambana mdogo mdogo, nikijifanya nna speed break ya kwanza Moi
Na sikuhizi hakuna kwenda India, samahani kwa kukuuliza hili swali, "imekuwaje umepata mahitaji ya kujifunza hili jambo, ni shemela amekuwa harudi nyumbani muda muafaka au umekamata msg za kusifia kiuno? Au umepata kazi nje ya nchi? Nimetanguliza samahani lakini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…