Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio gogo ni chumaKumbe we ni gogo kitandani?
Nikajua ananitania, nitaanza rasmi leoUmecheka ila kakuambia zoezi la kweli.
Miguu unaikunja mtindo wa V, halafu unaanza kuzungusha kiuno unachora sifuri, unafata Moja unaendelea mpka kumi, utazoea kadri siku zinavyosogeaMmh hebu ifafanue tena, kuchora kuanzia sifuri,
miguu ikunjwe mtindo wa leba?? plz ufafanuzi.
Na kikitenguka na huu uhenga hakiungiHaha haha wale wasije wakakutegua kiuno buree [emoji23]
Kufanya?kufanya nini kipenzi?ebu funguka kidogo...Na huu mchezo hausiani na kufanya....
Natamani niwe kama huyo tichaCheki hao wanafunzi
He!he!he!Miguu unaikunja mtindo wa V, halafu unaanza kuzungusha kiuno unachora sifuri, unafata Moja unaendelea mpka kumi, utazoea kadri siku zinavyosogea
Fanya kwa mwezi mzima halafu utaona.Nikajua ananitania, nitaanza rasmi leo
yaani changu ni kigumu kuliko mawe......................Hivi wale watu wanakuaga na viuno laini ni wanakua wamezaliwa hivo walaini au ni mazoezi ?Kama ni mazoezi ni yapi hayo waweza kufanya kiuno kiwe laini....
Napenda hiyo shughuli kucheza, kutwerk ila kiuno kinakua hakina ushirikiano msaada.
BAK ka video ka kutwerk please 😀
Cc Miss Natafuta na MBITIYAZA wataalamu wa hizi kazi
He!he!he!
Tayari mie "imesimama" hapa,i wish nikiliona hilo zoezi live sidhani kama ningebaki salama kwa kweli.
Yuwiiii[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nenda Gym wanajua namna ya kufanyaSio gogo ni chuma
1201pmDaaah kweli kazi ipo...ngoja nicheki sa ivi ni saa ngapi...
ha ha ha ha hayaani changu ni kigumu kuliko mawe......................
ila papu uchi yangu naiaminia................tamuje hahahaha nafwaaaaaa
Ahsante ngoja nianze mdogo mdogo nyumbani, viungo vikinyooka ntaenda gymYuwiiii[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nenda Gym wanajua namna ya kufanya
hahaha nimekoment huku nacheka saaanaha ha ha ha ha
Jamani!!!
Natamani nipate tenda ya kukufundisha sema upo mbaliAhsante ngoja nianze mdogo mdogo nyumbani, viungo vikinyooka ntaenda gym
WAT??????aloohhhh!!