Wonderful
JF-Expert Member
- Apr 8, 2015
- 7,347
- 5,986
Ata mm nilitaka kusema hivyo hivyo tu basi.Mitizamo binafsi inaruhusiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ata mm nilitaka kusema hivyo hivyo tu basi.Mitizamo binafsi inaruhusiwa
Na huu mchezo hausiani na kufanya....Alafu wabongo tunavyopenda "chini" hapa najua watu akili zimehamia kwenye ngono!
Labda useme mazoezi ya kiungoMazoezi ya viungo
Hivi wale watu wanakuaga na viuno laini ni wanakua wamezaliwa hivo walaini au ni mazoezi ?Kama ni mazoezi ni yapi hayo waweza kufanya kiuno kiwe laini....
Napenda hiyo shughuli kucheza, kutwerk ila kiuno kinakua hakina ushirikiano msaada.
BAK ka video ka kutwerk please 😀
Cc Miss Natafuta na MBITIYAZA wataalamu wa hizi kazi
Kiuno, mgongo, miguu (viungo)Labda useme mazoezi ya kiungo
Ha ha ha ha aseee nmecheka duh!!!!Fanya zoezi hili, kila siku usiku kabla ya Kulala, lalia mgongo afu chora kuanzia sifuri mpaka kumi kwa kutumia kiuno huku miguu ukiwa umeikunja mtindo wa leba, kadri unavyoendelea unazoea na kiuno kulainika siku hadi siku mwisho utaweza kuchora mpka hamsini kwa kiuno tu.[emoji85][emoji85]
Kila la kheri!Kiuno, mgongo, miguu (viungo)
Eeeeh huyu kiboko.....Eve unataka uwe unalizungusha uno kama ivyo
AhsanteKila la kheri!
Utaweza tu maana hakuna linaloshindikana if ukiamuaEeeeh huyu kiboko.....
Aseeee hivi kwa mazoezi ntaweza au natafuta kuvunja pingili za mgongo
niPMHivi wale watu wanakuaga na viuno laini ni wanakua wamezaliwa hivo walaini au ni mazoezi ?Kama ni mazoezi ni yapi hayo waweza kufanya kiuno kiwe laini....
Napenda hiyo shughuli kucheza, kutwerk ila kiuno kinakua hakina ushirikiano msaada.
BAK ka video ka kutwerk please 😀
Cc Miss Natafuta na MBITIYAZA wataalamu wa hizi kazi
Naomba uni pm nitakupa maelekezo kamwe hutasahau na utanikumbuka sana sana Eve.Napenda siku nyingi sema tu ndo hakinioneshagi ushirikiano, sasa naona nazidi kupata hamu ya kufanya hivo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kweli tenaHa ha ha ha aseee nmecheka duh!!!!
Dah haya bana nitafanya leo moja hadi kumi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kweli tena
Ha ha ha Monaco hujambo lakiniNaomba uni pm nitakupa maelekezo kamwe hutasahau na utanikumbuka sana sana Eve.
Utajikuta kinakuwa laiiiniii na kinakata chenyewe kwa kuenda na bit ya Mlio
huwa nafundisha ila Ada nakulipia mwenyewe...usione Aibu kujifunza...
Mi mhengakizazi kipya