Julymeme
JF-Expert Member
- Oct 23, 2017
- 439
- 800
Mwanzo mgumu ila utazoea tuDah haya bana nitafanya leo moja hadi kumi
Sijui ndo ntalala hoi masikini!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanzo mgumu ila utazoea tuDah haya bana nitafanya leo moja hadi kumi
Sijui ndo ntalala hoi masikini!!!
Kikilainika unishtue.Kiuno, mgongo, miguu (viungo)
Mazoezi tuKuna mtu unataka umteke kwa mauno nn?
NikushtuejeKikilainika unishtue.
Ulimchagua wewe na malofa wenziojaman hivi kwann tulinchagua magufuli mbona hvi lakini
Duh sijui nitafute wale wacheza vigodoro nianze darasaHahahaaaaa!! Nimejaribu kiuno kimegoma kunipa ushirikiano kabisaaaaa!!!
AhsanteMwanzo mgumu ila utazoea tu
Unitonye kwa namna ifaayo ili process za uhakiki zipangwe maana cheti chenye ithibati natoa mimi pekee.Nikushtueje
Kikilainika nitarudi kushukuru, ukiona kimya ujue "byayangana"Unitonye kwa namna ifaayo ili process za uhakiki zipangwe maana cheti chenye ithibati natoa mimi pekee.
Poleee.Hahahaaaaa!! Nimejaribu kiuno kimegoma kunipa ushirikiano kabisaaaaa!!!
Mmh hebu ifafanue tena, kuchora kuanzia sifuri,Fanya zoezi hili, kila siku usiku kabla ya Kulala, lalia mgongo afu chora kuanzia sifuri mpaka kumi kwa kutumia kiuno huku miguu ukiwa umeikunja mtindo wa leba, kadri unavyoendelea unazoea na kiuno kulainika siku hadi siku mwisho utaweza kuchora mpka hamsini kwa kiuno tu.[emoji85][emoji85]
Haha haha wale wasije wakakutegua kiuno buree [emoji23]Duh sijui nitafute wale wacheza vigodoro nianze darasa
Huko siriazi kumbe!Kikilainika nitarudi kushukuru, ukiona kimya ujue "byayangana"
Umecheka ila kakuambia zoezi la kweli.Ha ha ha ha aseee nmecheka duh!!!!
Hahahaaaa!!Poleee.
Nitakupeleka training ili ukajifunze mauno dondola.
Hahaaaaaa!!! Hebu nenda utanipa feedback.Duh sijui nitafute wale wacheza vigodoro nianze darasa