Mada ya Leo inajibu swali lako vizuri sana.
( Isaya 6:1 - 10) Says:
1: Katika mwaka Ule aliokufa mfalme Uzia nalimwona BWANA ameketi katika KITI CHA ENZI kilicho juu sana na kuinuliwa sana, na pindo za vazi lake zikalijaza HEKALU.
2: Juu yake walisimama maserafi, Kila Mmoja alikuwa na mabawa SITA, Kwa mawili alifunika uso wake, na Kwa mawili alifunika miguu yake, na Kwa mawili aliruka.
3: Wakaitana Kila Mmoja na mwenzake, wakisema Mtakatifu, Mtakatifu, Mtakatifu, ni BWANA wa Majeshi, Dunia yote imejaa utukufu wake.
4: Na misingi ya vizingiti ikatikisika Kwa sababu ya Ile sauti ya aliyelia, nayo nyumba ikajaa Moshi.
5: Ndipo niliposema, Ole wangu Kwa maana nimepotea, Kwa sababu Mimi ni mtu mwenye midomo michafu, nami ninakaa kati ya watu wenye midomo michafu, MACHO YANGU YAMEMWONA MFALME, BWANA WA MAJESHI.
6: Kisha mmoja wa maserafi wale akaruka akanikaribia,naye alikuwa na kaa la moto mikononi mwake, ambalo alikuwa amelitwaa Kwa makoleo Toka juu ya madhabahu.
7: Akanigusa kinywa changu Kwa kaa Hilo akaniambia, tazama, hili nimekugusa midomo Yako na UOVU wako umeondolewa, na DHAMBI Yako imefunikwa.
8: Kisha nikaisikia sauti ya Bwana akisema, NIMTUME NANI, NAYE NI NANI ATAKAYEKWENDA KWA AJILI YETU? Ndipo niliposema Mimi hapa nitumie Mimi.
9: Naye akaniambia, enenda, ukawaambie watu Hawa, FULIZENI KUSIKIA, LAKINI MSIFAHAMU, FULIZENI KUTAZAMA LAKINI MSIONE,
10: UUNONESHE MOYO WA WATU HAWA, UKAYATIE UZITO MASIKIO YAO UKAYAFUMBE MACHO YAO, WASIJE WAKAONA KWA MACHO YAO, NA KUSIKIA KWA MASIKIO YAO, NA KUFAHAMU KWA MIOYO YAO, NA KUREJEA NA KUPONYWA.
Umeelewaje CODES hizo bi
faiza foxy?
Unadhani wewe uliyefunga NDOA na Ulimwengu wa Giza unaweza ambulia chochote bila kwanza kukubali kuja nuruni upewe funguo ya kufungua hizo codes?
Mungu yupo Kila Mahali, lakini hapo ameonekana Kwa Mfano wa mtu na ameketi katika KITI Cha enzi.
Na aliyemwona ni mtu, aitwaye Isaya Nabii Kwa macho ya Roho.
Unadhani Yesu utamfahamu kirahisi hivyo?
Mungu akusaidie🙏