Jinsi ya kufungua codes za SIRI zilizoandikwa katika kitabu kiitwacho Biblia/ Neno la Mungu

Jinsi ya kufungua codes za SIRI zilizoandikwa katika kitabu kiitwacho Biblia/ Neno la Mungu

Mada ya Leo inajibu swali lako vizuri sana.



( Isaya 6:1 - 10) Says:

1: Katika mwaka Ule aliokufa mfalme Uzia nalimwona BWANA ameketi katika KITI CHA ENZI kilicho juu sana na kuinuliwa sana, na pindo za vazi lake zikalijaza HEKALU.

2: Juu yake walisimama maserafi, Kila Mmoja alikuwa na mabawa SITA, Kwa mawili alifunika uso wake, na Kwa mawili alifunika miguu yake, na Kwa mawili aliruka.

3: Wakaitana Kila Mmoja na mwenzake, wakisema Mtakatifu, Mtakatifu, Mtakatifu, ni BWANA wa Majeshi, Dunia yote imejaa utukufu wake.

4: Na misingi ya vizingiti ikatikisika Kwa sababu ya Ile sauti ya aliyelia, nayo nyumba ikajaa Moshi.

5: Ndipo niliposema, Ole wangu Kwa maana nimepotea, Kwa sababu Mimi ni mtu mwenye midomo michafu, nami ninakaa kati ya watu wenye midomo michafu, MACHO YANGU YAMEMWONA MFALME, BWANA WA MAJESHI.

6: Kisha mmoja wa maserafi wale akaruka akanikaribia,naye alikuwa na kaa la moto mikononi mwake, ambalo alikuwa amelitwaa Kwa makoleo Toka juu ya madhabahu.

7: Akanigusa kinywa changu Kwa kaa Hilo akaniambia, tazama, hili nimekugusa midomo Yako na UOVU wako umeondolewa, na DHAMBI Yako imefunikwa.

8: Kisha nikaisikia sauti ya Bwana akisema, NIMTUME NANI, NAYE NI NANI ATAKAYEKWENDA KWA AJILI YETU? Ndipo niliposema Mimi hapa nitumie Mimi.

9: Naye akaniambia, enenda, ukawaambie watu Hawa, FULIZENI KUSIKIA, LAKINI MSIFAHAMU, FULIZENI KUTAZAMA LAKINI MSIONE,

10: UUNONESHE MOYO WA WATU HAWA, UKAYATIE UZITO MASIKIO YAO UKAYAFUMBE MACHO YAO, WASIJE WAKAONA KWA MACHO YAO, NA KUSIKIA KWA MASIKIO YAO, NA KUFAHAMU KWA MIOYO YAO, NA KUREJEA NA KUPONYWA.


Umeelewaje CODES hizo bi faiza foxy?

Unadhani wewe uliyefunga NDOA na Ulimwengu wa Giza unaweza ambulia chochote bila kwanza kukubali kuja nuruni upewe funguo ya kufungua hizo codes?

Mungu yupo Kila Mahali, lakini hapo ameonekana Kwa Mfano wa mtu na ameketi katika KITI Cha enzi.

Na aliyemwona ni mtu, aitwaye Isaya Nabii Kwa macho ya Roho.

Unadhani Yesu utamfahamu kirahisi hivyo?

Mungu akusaidie🙏
Wapi Yesu anasema "Mimi Mungu"?
 
Mada ya Leo inajibu swali lako vizuri sana.



( Isaya 6:1 - 10) Says:

1: Katika mwaka Ule aliokufa mfalme Uzia nalimwona BWANA ameketi katika KITI CHA ENZI kilicho juu sana na kuinuliwa sana, na pindo za vazi lake zikalijaza HEKALU.

2: Juu yake walisimama maserafi, Kila Mmoja alikuwa na mabawa SITA, Kwa mawili alifunika uso wake, na Kwa mawili alifunika miguu yake, na Kwa mawili aliruka.

3: Wakaitana Kila Mmoja na mwenzake, wakisema Mtakatifu, Mtakatifu, Mtakatifu, ni BWANA wa Majeshi, Dunia yote imejaa utukufu wake.

4: Na misingi ya vizingiti ikatikisika Kwa sababu ya Ile sauti ya aliyelia, nayo nyumba ikajaa Moshi.

5: Ndipo niliposema, Ole wangu Kwa maana nimepotea, Kwa sababu Mimi ni mtu mwenye midomo michafu, nami ninakaa kati ya watu wenye midomo michafu, MACHO YANGU YAMEMWONA MFALME, BWANA WA MAJESHI.

6: Kisha mmoja wa maserafi wale akaruka akanikaribia,naye alikuwa na kaa la moto mikononi mwake, ambalo alikuwa amelitwaa Kwa makoleo Toka juu ya madhabahu.

7: Akanigusa kinywa changu Kwa kaa Hilo akaniambia, tazama, hili nimekugusa midomo Yako na UOVU wako umeondolewa, na DHAMBI Yako imefunikwa.

8: Kisha nikaisikia sauti ya Bwana akisema, NIMTUME NANI, NAYE NI NANI ATAKAYEKWENDA KWA AJILI YETU? Ndipo niliposema Mimi hapa nitumie Mimi.

9: Naye akaniambia, enenda, ukawaambie watu Hawa, FULIZENI KUSIKIA, LAKINI MSIFAHAMU, FULIZENI KUTAZAMA LAKINI MSIONE,

10: UUNONESHE MOYO WA WATU HAWA, UKAYATIE UZITO MASIKIO YAO UKAYAFUMBE MACHO YAO, WASIJE WAKAONA KWA MACHO YAO, NA KUSIKIA KWA MASIKIO YAO, NA KUFAHAMU KWA MIOYO YAO, NA KUREJEA NA KUPONYWA.


Umeelewaje CODES hizo bi faiza foxy?

Unadhani wewe uliyefunga NDOA na Ulimwengu wa Giza unaweza ambulia chochote bila kwanza kukubali kuja nuruni upewe funguo ya kufungua hizo codes?

Mungu yupo Kila Mahali, lakini hapo ameonekana Kwa Mfano wa mtu na ameketi katika KITI Cha enzi.

Na aliyemwona ni mtu, aitwaye Isaya Nabii Kwa macho ya Roho.

Unadhani Yesu utamfahamu kirahisi hivyo?

Mungu akusaidie🙏
Na mimi nimepata neno hapa☺️
 
Wapi Yesu anasema "Mimi Mungu"?
Umesoma vizuri mistari niliyokuwekea usome?

Hasa (Isaya 6:9-10)

Kwamba kusoma utasoma lakini hutofahamu, mtatazama, lakini hamtaona.!!

Majini kamwe hawawezi kukuruhusu umjue Yesu, usipoyakana na kuja nuruni kutafuta msaada wa Mungu.
 
Wapi Yesu anasema "Mimi Mungu"?
Yohana 1:1
Hapo mwanzo, kabla ya kuwapo kitu kingine chochote, alikuwapo Neno.
Huyo Neno alikuwa pamoja na Mungu, naye alikuwa Mungu

Yohana 1:14
Neno akawa mwanadamu akaishi kati yetu akiwa amejaa utukufu na kweli. Tuliona utukufu wake, utukufu wa Mwana pekee wa Baba.

Yesu ndiye Mungu kutokana na bible
 
Yohana 1:1
Hapo mwanzo, kabla ya kuwapo kitu kingine chochote, alikuwapo Neno.
Huyo Neno alikuwa pamoja na Mungu, naye alikuwa Mungu

Yohana 1:14
Neno akawa mwanadamu akaishi kati yetu akiwa amejaa utukufu na kweli. Tuliona utukufu wake, utukufu wa Mwana pekee wa Baba.

Yesu ndiye Mungu kutokana na bible
Sijaona kifungu kwenye biblia Yesu akisema "Mimi Mungu".

Naona unaleta mawazo yako tu yaliyotokana na kujazwa ujinga.
 
Sijaona kifu gu kwenye biblia Yesu akisema "Mimi Mungu".

Naona unaleta mawazo yako tu yaliyotokana na kujazwa ujinga.
Hayo ni maandiko ya Biblia
Hata chizi akisoma ataelewa tafsiri ya hayo maneno kua yanatafsiri Yesu ndiye Mungu
Unakwama wapi wewe mwana fasihi?
 
Hayo ni maandiko ya Biblia
Hata chizi akisoma ataelewa tafsiri ya hayo maneno kua yanatafsiri Yesu ndiye Mungu
Unakwama wapi wewe mwana fasihi?
(Mathayo 13:11)

Ni sawa na kusema Yohana mbatizaji ndiye Eliya aliyekuja katika mwili wa Yohana mbatizaji, Siri hiyo Yesu aliwafunulia wanafunzi wake🤔

Zipo Siri za ufalme wa Mungu ambazo Kwa akili ya kibinadamu mtu atabaki kupapasa na asijue chochote!!
 
Wapi Yesu anasema "Mimi Mungu"?
Hii biblia sio sawa na hadithi ulizozoea kusoma bibi Faiza
Ndiyo maana Rabbon kakwambia zimeandikwa kwa codes ili uelewe unahitaji usaidizi wa roho mtakatifu

Ila andiko hilo nililokupa la Yohana, code yake ni nyepesi mno nashangaa umeshindwaje kunyaka maana

Asubuhi mjukuu akiamka hapo nyumbani, mpe akusomee na akutafsirie alivyoelewa.
Utagundua usiku huu unakaza fuvu
 
Kiranga akisoma Bible huwa anaona contradictions tupu.
Bwana Yesu asifiwe Braza Kiranga.
Wewe unaambiwa Mungu ana ujuzi wote, uwezo wote na upendo wote.

Halafu kaumba ulimwengu unaoweza kuwa na mabaya ya kuangamiza viumbe wake anaowapenda.

How? Why?
 
Kusoma atasoma lakini hatofahamu.

BIBLIA kusoma BIBLIA ni sawa tu na kunena Kwa lugha au kuandika Kwa lugha za Mbinguni, wanaokuzunguka lazima waone contradiction au wakuone fyatu,

Bt vice versa is true.

Mungu atusaidie.
Kutofahamu nako ni ushahidi Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Angekuwepo, tusingehitaji hata vitabu, kila mtu angeelewa Mungu yupo bila utata.

Ukiona watu wanajadiliana kuhusu uwepo wa huyu Mungu, mambo yana utata, hayaeleweki vizuri na wote, ujue hilo ni kwa sababu huyo Mungu hayupo.

This is very basic logic.
 
Wapi Yesu anasema "mimi Mungu"?

Wacha porojo, weka maandiko.
Tatizo lenu ni ujuha una wasumbua nyie ndugu zetu,
Ipo hivi Uungu ni Asili na Ubinadamu ni Asili haihitaji elimu ya juu kujua kwamba wewe ni binadamu sababu Asili Yako ndio hiyo inaeleweka,
Sasa Uungu wa Yesu ni Asili yake aliyobeba yaani 'Neno'
Bikira Mariam alibeba Mimba kwa uweza wa Roho Mtakatifu yaani Neno la Mungu likaumba mtoto ndani ya tumbo kwahiyo kitakachozaliwa kinakua na Asili mbili Moja ya Uungu (Utakatifu)na nyingine ni Binadamu (mwili)
Kumbuka inaanza Roho (Soul) then mwili (fresh)
Binadamu ni Soul and fresh sababu katika kanuni za kiroho inaangaliwa Asili ya kiumbe na ndio inayoleta ukamilisho,
Hiyo theology ndogo tu ndugu zetu Waislamu mlipigwa chenga ya mwili! FaizaFoxy
😁😁
 
Tatizo lenu ni ujuha una wasumbua nyie ndugu zetu,
Ipo hivi Uungu ni Asili na Ubinadamu ni Asili haihitaji elimu ya juu kujua kwamba wewe ni binadamu sababu Asili Yako ndio hiyo inaeleweka,
Sasa Uungu wa Yesu ni Asili yake aliyobeba yaani 'Neno'
Bikira Mariam alibeba Mimba kwa uweza wa Roho Mtakatifu yaani Neno la Mungu likaumba mtoto ndani ya tumbo kwahiyo kitakachozaliwa kinakua na Asili mbili Moja ya Uungu (Utakatifu)na nyingine ni Binadamu (mwili)
Kumbuka inaanza Roho (Soul) then mwili (fresh)
Binadamu ni Soul and fresh sababu katika kanuni za kiroho inaangaliwa Asili ya kiumbe na ndio inayoleta ukamilisho,
Hiyo theology ndogo tu ndugu zetu Waislamu mlipigwa chenga ya mwili! FaizaFoxy
😁😁
Kumbe na wewe umejaa upupu kichwani
 
Kumbe na wewe umejaa upupu kichwani
Najua hupendi ukweli na ukweli unauma na navyokujua shekhe Abdalah hapa umepigwa ya chemba na umeona kitu kisicho kufurahisha hivyo Onesha upupu Mwamba,
Acha kutoa maneno makavu kama changudoa anavyotoa chupi,
Twende kwa fact tujue kiwango chako cha ufahamu kwenye maswala Spiritual!
😁
 
Najua hupendi ukweli na ukweli unauma na navyokujua shekhe Abdalah hapa umepigwa ya chemba na umeona kitu kisicho kufurahisha hivyo Onesha upupu Mwamba,
Acha kutoa maneno makavu kama changudoa anavyotoa chupi,
Twende kwa fact tujue kiwango chako cha ufahamu kwenye maswala Spiritual!
😁
Spirituals?????
Hapa ndio unazidi kujipambanua jinsi fuvu lilivyojaa tope na kinyesi
 
Kusoma atasoma lakini hatofahamu.

BIBLIA kusoma BIBLIA ni sawa tu na kunena Kwa lugha au kuandika Kwa lugha za Mbinguni, wanaokuzunguka lazima waone contradiction au wakuone fyatu,

Bt vice versa is true.

Mungu atusaidie.
Kama iliandikwa kwa kila mtu aelewe na afuate hayo yaliyopo huko, kwanini isieleweke kwa kila mmoja? , kujifanya biblia imefichwa ni kukwepa mikanganyiko iliyopo ndani yake
 
Sio kwamba kuna code zimefichwa, ila inahitaji utulivu na umakini ili kuelewa vyema, Hakuna sababu ya Mungu kuficha ujumbe wake kwa watu wake
 
Kama iliandikwa kwa kila mtu aelewe na afuate hayo yaliyopo huko, kwanini isieleweke kwa kila mmoja? , kujifanya biblia imefichwa ni kukwepa mikanganyiko iliyopo ndani yake
Sio biblia tu inayoleta mkanganyiko au isiyoeleweka kwa watu wote

Mahesabu pia yanahitaji mtu mwenye uelewa kuyaelewa na kuwafundisha wengine waelewe na bado sio wote wanaozielewa hesabu

Vitu makini vyote vinawekwa kwa codes ili wajanja wanyanyue maarifa

Soma bible usipoelewa sehemu omba usaidizi wa roho mtakatifu au wa watumishi wa kweli wa bwana
 
Back
Top Bottom