Jinsi ya kuishi na mwanamke kwa furaha na amani katika ndoa

Jinsi ya kuishi na mwanamke kwa furaha na amani katika ndoa

Wakati fulani anakiri kuwa huwa anapata hasira na hajui sababu. Nimechunguza kwao mama yao ni kisirani mpaka kuna Wakati baba mkwe alitaka waachane but watu wa kanisani Moravian-Mabibo wakaingilia kati. Dada mtu nae mtata kwa mume kiasi kwamba (mume mwenzangu=tuliooa nyumba 1 anakuja kwangu kutaka ushauri, akidhani kwangu ni shwari kumbe nakufa na donge langu shingoni kimya kimya) Navuta muda nikishindwa nabwaga manyanga asb na mapema. Watoto nitawahudumia kwa kila kitu
Pole mkuu kwa kuingia chaka..wadada wa kinyakyusa watata sana, na wengine wanajisifu...
Mimi mnyakyusa ila nimeapa siwezi oa hawa dada zetu, maana wao jeuri wanaona sifa!
 
Hi members,
Leo nitajaribu kueleza na kufafanua namna ya kuishi na mwanamke katika ndoa bila mzozo na mikwaruzo.
.
.
.
Hii ni kutoka na experience yangu binafsi katika ndoa pamoja na utafiti wangu kayika jambo husika nikishirikisha watu mbalimbali wa rika tofauti walio katika ndoa
.
.
.
Hii inahusu walio katika ndoa kwa maana ya wanaoishi pamoja kama familia.(sio lazima wawe wamefunga ndoa za kanisani ama misikitini).Maana kwa tafsiri yangu mm kuishi pamoja tayr ni ndoa hayo mengine ni mbwembwe.
.
.
Haya twende kazi.
.
.
1.kua makini na kauli zako ukiwa katika mazungumz😵nyesha kumthamini kwa jinsi alivyo.Mpe umuhimu sana.Usimfananishe kwa namna yoyote na mtu wa chini.Mwambie yeye ni mzuri kila mara hata kama sio kweli.Isifie tabia yake huku ukimkosoa kwa kimwambia kwba akiacha hiki atakua perfect.
.
.
2.Msifie kila anapopika chakula.Kisifie na shukuru kila umalizapo kula.Mwambie amepika chakula kitamu kuliko jana.Kama una mfanyakaz wa ndani, hakikisha ukisifii chakula chake mbele ya mkeo, onyesha kutoridhika kila ukila chakula alichopika mtu mwingine tofauti na yeye.
.
.
3.Akivaa nguo msifie na mwambie imemtoa vizuri hata kama kavaa pajama na ametoka kama mjusi(butuku).Mwambie anajua kuchagua na kupangilia mavazi.Lakini kma kweli unamaanisha ni sawa lakini kama sio sawa basi hakikisha unakwendanae ahopping na kumshauri anunue mavzi unayopenda avae.
.
.
4.Mtoe out mara kwa mara mkiwa na wanenu(kwa walio na watoto).Mkiwa out isifie familia yenu kwamba mmependeza sana kuliko wote waliopo pale.Mwambie unampenda kila mara.Muulize anapenda nini mkiwa out.Siku moja moja mlale huko huko hasa weekends.Mwambie tena kwamba nampenda sana .
.
.
5.Wasifie watoto wenu mbele yake.Mwambie amezaa watoto wazuri kama yeye hata kama sio wazuri.Mwambie ana mbegu nzuri na ungependa akuzalie zaidi.mkumbatie pamoja na watoto.Mpige busu mbele za watu mwbie mmeendana sana.Siku moja moja yoa chozi wakati ukimwangalia machoni.Mwambie yeye ni mzuri sana.
.
.
6.Jitahidi kumuuliza kuhusu ndugu zake na ongea na wazazi wake mara kwa mara.Ongea na mama yake mbele yako cheka kwa sauti mwambie mama yako mkarimu sana na kwba amepata mama bora.Usimlazimishe aongee na mama yako wala ndugu zako.Mwambie ndugu zake waje kusalimia mara kwa mara.
.
.
7.Kila baada ya sex mwambie ye ni mtaalam hata kama hua analala kama jiwe.Mwambie yeye ni mwanamke wa maisha yako.Mwambie anakuridhisha sana na huna haja na mtu mwingine.mwambie anajua kukata mauno na muulize kam alifundwa ama la!, Mwambie kwamba ulipokua mdogo ulitaka kuoa wanawake wawili lakini kwa sababu yake huna mpango tena.Hakikisha kama mwanaume umemridhisha kweli ili kuziba loop holes za yeye kupigwa na men wengine.Mnyonye kila mahala na umfanyie vitu adimu ambavyo unahisi huko shule, chuona popote kabla yako hakufanyiwa.Mpe staili zote ngeni unazojua.Mfanyie rough sex mara kwa mara maana hiyo hua inawapagawisha wengi.
.
.
8.Ukisafiri au ukiwa kazini mpigie simu mara kwa mara kumjulia hali mwbie umemisi sana na unatamani siku iishe.Mwambie unamuwaza sana mpaka kazi haziendi.muulize chakula alichopika na kisifie mwambie you can't wait to be there, hata kama kapika makande.Muachie kiasi chabkutosha na mwambie yeye ndiye baba wa famili kwa wakati huo aiongoze familia.Onesha kumwamini sana kwa kila anachofanya.
.
.
9.Usifanye kosa kuyongoza wadada ama wanake wa mtaani kwako, unesha kuwadharau mbele yake.Usiwasifie wanawake mbele yake.Wasingizie tabia mbaya rafiki zake hata kama si kweli.Onesha kutokupenda mienendo yao.Usisimame na majirani(wanawake) hata mara moja hata kama hayupo.Ukisalimiwa na wadada ama wanawake wa mtaani kwako itikia kizembe (kama vile radio iliyoisha betri) na wakati mwingine usiitikie kabisa.Taarifa zitamfikia kwamba unadharau na maringo.Hapo yeye moyoni atafurahi sana utasikia anakwba 'uwe unaitikia bby jamani'.
.
.
10.Ongea ndoto zako kila mara ukiwa nae na nn umeplani kwake.Mwambie unatak awe mfanya biashara mkubwa tz au EA.Mwambie anaweza kuajiri watu wengi.Mwambie yeye ni boss mtarajiwa.
Hata kama mmepanga mwambie mtamiliki nyumba yenu na mtakua na wapangaji wengi.Usioneshe unyonge mbele yake wa udhaifu kabisa.Usiseme huna hela mbele yake hata kama huna kweli basi kopa please.
.
.
11.Kama mnamiradi mpe aisimamie yeye na awakontrol wafanyakazi yeye.Mwambie unamwamini japo kia makini sana na hilo.Hakikisha faida inapatikana.

NB: Wanawake hawaeleweki, ukiona umefanya hayo yote bado haeleweki usishangae endelea tu kubuni mengine.
.
Mimi pamoja na kufanya hayo yoote lakini kuna wakati hua namnasa vibao wife


.…........Free ideas..........
wengine ukiwafanyia hivyo ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa.Haelewi kitu.Kinachoeeleweka zaidi kuwa na pesa tu
 
Kuna ukweli na ka lugha ka kinafiki.

Kuwa mkweli, akikosea mkosoe kwa upendo na mrekebishe uwezapo. Akifanya vzr, mpongeze sana!!

Ukweli utawapeni uhuru-Maneno matamu ya Yesu!
 
Wanawake wengine hata uwafanyie haya yote uliyosema gubu ndo asili yao yani ni kazi bureeeee
 
Free ideas mm wangu hata ukisema muende outing (mostly beach hotels) mtaishia kugombana huko huko. Toka Aprili nilikuwa Sweden kikazi nikarudi wk iliyopita ile tumeanza vizuri tu pale nimekuja jion yake tukapiga sex adimu, tukarudia tena alfajiri. Kufika kwenye saa 5 asubuhi (ilikuwa weekend) akaanza kisirani daah ile hamu yote ya kummis ikapotea. Nimeamua kukaa kimya nafocus kwa watoto tu Ndo furaha yangu iliyobaki. Hapa mke nimeoa *boya flan amazing* haeleweki. Natamani mchepuko ingawa nilijaribu baadhi nao ni pasua kichwa
Tulia na mkeo na watoto michepuko sku zote huwa ni pasua kichwa tu mzeee
 
Mi wangu ni wakutafuta trouble atashika Simu atachunguza akikosa ataenda kukagua gari akikosa mabag yangu maana mi mtu wa safari akikosa kote ataanzisha na watu tunaoishi nao humu ndani na mkigombana atataka kila mtu ajue au watu wajue tunachogombana
MI WANGU ANAANZA KWA KULALA MZUNGU WA NNE,NA MIMI NAUCHUNA HATA WIKI MBILI .
 
Ndoa ili iwe ndoa inabidi Mshabihiane, Maana yake kosa litazamwe ni kosa kwa muktadha wake halikadhalika jambo zuri litazamwe kwa uzuri wake, sasa ikitokea Mume anasema Mke wangu hapa umekosea then Mke anasema hili sio kosa hapo ndo shughuli inapoanzia coz inabidi mkubaliane kutokukubaliana mwishoe kila Mtu atakuwa anapuyanga kivyake!
Panapohitaji sifa basi Mume mwaga sifa sana na panapohitaji kukosolewa basi mkosoane ingawaje hapa ndo busara huwa inahitajika sana Maana unaweza kuambulia kichambo kitakatifu hadi ukaishia kumnasa Makofi.., hili la kurekebishana mnapokoseana litatoa vifundo na chuki Moyoni hatimae kuishi kwa amani..,
Haiwezekani Mkeo anatoka amevaa Mapazia eti umsifie kuwa ametoka Chicha huu utakuwa unafiki wa kiwango cha lami, na utaishia kutamani Wanawake wa nje waliopendeza vema coz unataka Mkeo awe hivyo ila ndo hivyo unashindwa kumwambia unabaki kusifia hata akivaa Magunia. Aidha ni ngumu kuishi kisanii ndani ya ndoa maisha yako yote labda muwe hamuishi pamoja!!!
 
Free ideas mm wangu hata ukisema muende outing (mostly beach hotels) mtaishia kugombana huko huko. Toka Aprili nilikuwa Sweden kikazi nikarudi wk iliyopita ile tumeanza vizuri tu pale nimekuja jion yake tukapiga sex adimu, tukarudia tena alfajiri. Kufika kwenye saa 5 asubuhi (ilikuwa weekend) akaanza kisirani daah ile hamu yote ya kummis ikapotea. Nimeamua kukaa kimya nafocus kwa watoto tu Ndo furaha yangu iliyobaki. Hapa mke nimeoa *boya flan amazing* haeleweki. Natamani mchepuko ingawa nilijaribu baadhi nao ni pasua kichwa
Ungesema tu ulikuwa safar mbona tungekuelewa eti Sweden majigambo ya kishamba sana
 
Back
Top Bottom