Jinsi ya kuishi na mwanamke kwa furaha na amani katika ndoa

Jinsi ya kuishi na mwanamke kwa furaha na amani katika ndoa

Mpeleke kanisani akafanyiwe maombi ya ukombozi. Hicho kiburi cha kurithi hutaweza kukicontrol kwa akili na nguvu zako. Msaada wa kiroho unahitajika kulinda ndoa yenu.
Mnakumbuka maombi ktk shida.piga chini ndio njia sahihi.maombi wakati wewe mwenyewe mchsfu[emoji12]
 
Inategemea ni mke kutoka wapi? Wakwetu ukitaka adumu mwambie siku nikisikia umechepuka nakuchinja,
 
Namba 11.
Is a foolish idea.
Atahonga pesa zote halafu huo mradi utakufa
 
Hi members,
Leo nitajaribu kueleza na kufafanua namna ya kuishi na mwanamke katika ndoa bila mzozo na mikwaruzo.
.
.
.
Hii ni kutoka na experience yangu binafsi katika ndoa pamoja na utafiti wangu kayika jambo husika nikishirikisha watu mbalimbali wa rika tofauti walio katika ndoa
.
.
.
Hii inahusu walio katika ndoa kwa maana ya wanaoishi pamoja kama familia.(sio lazima wawe wamefunga ndoa za kanisani ama misikitini).Maana kwa tafsiri yangu mm kuishi pamoja tayr ni ndoa hayo mengine ni mbwembwe.
.
.
Haya twende kazi.
.
.
1.kua makini na kauli zako ukiwa katika mazungumz😵nyesha kumthamini kwa jinsi alivyo.Mpe umuhimu sana.Usimfananishe kwa namna yoyote na mtu wa chini.Mwambie yeye ni mzuri kila mara hata kama sio kweli.Isifie tabia yake huku ukimkosoa kwa kimwambia kwba akiacha hiki atakua perfect.
.
.
2.Msifie kila anapopika chakula.Kisifie na shukuru kila umalizapo kula.Mwambie amepika chakula kitamu kuliko jana.Kama una mfanyakaz wa ndani, hakikisha ukisifii chakula chake mbele ya mkeo, onyesha kutoridhika kila ukila chakula alichopika mtu mwingine tofauti na yeye.
.
.
3.Akivaa nguo msifie na mwambie imemtoa vizuri hata kama kavaa pajama na ametoka kama mjusi(butuku).Mwambie anajua kuchagua na kupangilia mavazi.Lakini kma kweli unamaanisha ni sawa lakini kama sio sawa basi hakikisha unakwendanae ahopping na kumshauri anunue mavzi unayopenda avae.
.
.
4.Mtoe out mara kwa mara mkiwa na wanenu(kwa walio na watoto).Mkiwa out isifie familia yenu kwamba mmependeza sana kuliko wote waliopo pale.Mwambie unampenda kila mara.Muulize anapenda nini mkiwa out.Siku moja moja mlale huko huko hasa weekends.Mwambie tena kwamba nampenda sana .
.
.
5.Wasifie watoto wenu mbele yake.Mwambie amezaa watoto wazuri kama yeye hata kama sio wazuri.Mwambie ana mbegu nzuri na ungependa akuzalie zaidi.mkumbatie pamoja na watoto.Mpige busu mbele za watu mwbie mmeendana sana.Siku moja moja yoa chozi wakati ukimwangalia machoni.Mwambie yeye ni mzuri sana.
.
.
6.Jitahidi kumuuliza kuhusu ndugu zake na ongea na wazazi wake mara kwa mara.Ongea na mama yake mbele yako cheka kwa sauti mwambie mama yako mkarimu sana na kwba amepata mama bora.Usimlazimishe aongee na mama yako wala ndugu zako.Mwambie ndugu zake waje kusalimia mara kwa mara.
.
.
7.Kila baada ya sex mwambie ye ni mtaalam hata kama hua analala kama jiwe.Mwambie yeye ni mwanamke wa maisha yako.Mwambie anakuridhisha sana na huna haja na mtu mwingine.mwambie anajua kukata mauno na muulize kam alifundwa ama la!, Mwambie kwamba ulipokua mdogo ulitaka kuoa wanawake wawili lakini kwa sababu yake huna mpango tena.Hakikisha kama mwanaume umemridhisha kweli ili kuziba loop holes za yeye kupigwa na men wengine.Mnyonye kila mahala na umfanyie vitu adimu ambavyo unahisi huko shule, chuona popote kabla yako hakufanyiwa.Mpe staili zote ngeni unazojua.Mfanyie rough sex mara kwa mara maana hiyo hua inawapagawisha wengi.
.
.
8.Ukisafiri au ukiwa kazini mpigie simu mara kwa mara kumjulia hali mwbie umemisi sana na unatamani siku iishe.Mwambie unamuwaza sana mpaka kazi haziendi.muulize chakula alichopika na kisifie mwambie you can't wait to be there, hata kama kapika makande.Muachie kiasi chabkutosha na mwambie yeye ndiye baba wa famili kwa wakati huo aiongoze familia.Onesha kumwamini sana kwa kila anachofanya.
.
.
9.Usifanye kosa kuyongoza wadada ama wanake wa mtaani kwako, unesha kuwadharau mbele yake.Usiwasifie wanawake mbele yake.Wasingizie tabia mbaya rafiki zake hata kama si kweli.Onesha kutokupenda mienendo yao.Usisimame na majirani(wanawake) hata mara moja hata kama hayupo.Ukisalimiwa na wadada ama wanawake wa mtaani kwako itikia kizembe (kama vile radio iliyoisha betri) na wakati mwingine usiitikie kabisa.Taarifa zitamfikia kwamba unadharau na maringo.Hapo yeye moyoni atafurahi sana utasikia anakwba 'uwe unaitikia bby jamani'.
.
.
10.Ongea ndoto zako kila mara ukiwa nae na nn umeplani kwake.Mwambie unatak awe mfanya biashara mkubwa tz au EA.Mwambie anaweza kuajiri watu wengi.Mwambie yeye ni boss mtarajiwa.
Hata kama mmepanga mwambie mtamiliki nyumba yenu na mtakua na wapangaji wengi.Usioneshe unyonge mbele yake wa udhaifu kabisa.Usiseme huna hela mbele yake hata kama huna kweli basi kopa please.
.
.
11.Kama mnamiradi mpe aisimamie yeye na awakontrol wafanyakazi yeye.Mwambie unamwamini japo kia makini sana na hilo.Hakikisha faida inapatikana.

NB: Wanawake hawaeleweki, ukiona umefanya hayo yote bado haeleweki usishangae endelea tu kubuni mengine.
.
Mimi pamoja na kufanya hayo yoote lakini kuna wakati hua namnasa vibao wife


.…........Free ideas..........
Hahahahaha mkuu nimecheka sana ila nimejifunza jambo zuri sana, hahaha ila tutawaongopea sana wake zetu kwa sifa na vionjo ilihali maishi yasonge uwiiii teh teh teh teh ndoa ni zaid ya kusomea phd....
 
Nilikuwa bado napenda kuendelea kusoma soma hum jf, duuh! Huu uzi umeninyima raha kabisa ,, ila nahisi mwenye uzi huu atakuwa nimtoto anataka kujaribu kuwashauri wazee, nikitu kigumu sana, haiwezekani mtu mzima kila jambo analolifanya umwambie we unaakili ,mara we mzuri, mara mkalale huko huko mliko kwenda aut, bila misingi yeyote, pia umenifanya nikumbuke neno moja lililo tamkwa na mzee mmoja alisema, MWAZO YAJIRANI YAKO HAYAWEZI KUONGOZA NYUMBA YAKO, naleo nimeamini

Acha kuwa primitive, tunaanguka kwa kukosa maarifa, pia kila jambo la kuambiwa linaweza likawa msaada au lisiwe msaada kutokana na factor nyingi sana ,mpaka jambo liwe jawaba katika matatizo yako ya kifamilia basi utaangalia jambo moja kuu ambalo ni wewe na mweza wako uliyemchagua tabia zenu zikoje anzia hapo kwanza....watu kutoka outing ni sehemu ya kujenga utaratibu wa kuzungumza mambo mbalimbali pia ni to refresh mind na familia yako sasa wewe unashangaa na unauliza kwa misingi gani sasa swali gani hilo ni kwa misingi ya love unatakiwa ubadilika acha mifumo dume tuwapende wake zetu, na kupata mawazo na ushauri kwa watu sio jambo baya na hulazimishwi pia kuchukua ushauri ila nacho juwa mimi binadamu huwezi ukajua kila kitu tunasaidiana kufundishana maana elimu ya kujifunza mambo haina mwish sasa wewe endelea kuwaza negatively, na hujalazimishwa kuingia JF naona unasema mleta uzi amekufanya uichukie kuitembelea Jf...grow up dude
 
Kwa kifupi ukitaka uishi na mwanamke kwa amani uwe MNAFIKI.
You nailed it
Sisi ambao hatupendi unafiki na kufake tunapata tabu sana na hawa viumbe mpaka unajihisi una nuksi
 
Acha kuwa primitive, tunaanguka kwa kukosa maarifa, pia kila jambo la kuambiwa linaweza likawa msaada au lisiwe msaada kutokana na factor nyingi sana ,mpaka jambo liwe jawaba katika matatizo yako ya kifamilia basi utaangalia jambo moja kuu ambalo ni wewe na mweza wako uliyemchagua tabia zenu zikoje anzia hapo kwanza....watu kutoka outing ni sehemu ya kujenga utaratibu wa kuzungumza mambo mbalimbali pia ni to refresh mind na familia yako sasa wewe unashangaa na unauliza kwa misingi gani sasa swali gani hilo ni kwa misingi ya love unatakiwa ubadilika acha mifumo dume tuwapende wake zetu, na kupata mawazo na ushauri kwa watu sio jambo baya na hulazimishwi pia kuchukua ushauri ila nacho juwa mimi binadamu huwezi ukajua kila kitu tunasaidiana kufundishana maana elimu ya kujifunza mambo haina mwish sasa wewe endelea kuwaza negatively, na hujalazimishwa kuingia JF naona unasema mleta uzi amekufanya uichukie kuitembelea Jf...grow up dude
Povuu! Mkuu, Achana nalo linatia stress
 
Afu kinachonichosha yaan nitumie akili nyingi kukimbizana na shilingi kwa ajili ya familia afu anataka nitumie akili hiyo hiyo kwa kuwa mbunifu kwa vitu vya kinafiki ambayo havilipi bili kabisa me ndo nachokaga kabisa
Akili inaenda resi kusolve major problems afu anakuletea ugomvi na mitego ya kifala tena ya kutengeneza ili sijui iweje....
Aaaagh ngachoka mie
 
Hi members,
Leo nitajaribu kueleza na kufafanua namna ya kuishi na mwanamke katika ndoa bila mzozo na mikwaruzo.
.
.
.
Hii ni kutoka na experience yangu binafsi katika ndoa pamoja na utafiti wangu kayika jambo husika nikishirikisha watu mbalimbali wa rika tofauti walio katika ndoa
.
.
.
Hii inahusu walio katika ndoa kwa maana ya wanaoishi pamoja kama familia.(sio lazima wawe wamefunga ndoa za kanisani ama misikitini).Maana kwa tafsiri yangu mm kuishi pamoja tayr ni ndoa hayo mengine ni mbwembwe.
.
.
Haya twende kazi.
.
.
1.kua makini na kauli zako ukiwa katika mazungumz😵nyesha kumthamini kwa jinsi alivyo.Mpe umuhimu sana.Usimfananishe kwa namna yoyote na mtu wa chini.Mwambie yeye ni mzuri kila mara hata kama sio kweli.Isifie tabia yake huku ukimkosoa kwa kimwambia kwba akiacha hiki atakua perfect.
.
.
2.Msifie kila anapopika chakula.Kisifie na shukuru kila umalizapo kula.Mwambie amepika chakula kitamu kuliko jana.Kama una mfanyakaz wa ndani, hakikisha ukisifii chakula chake mbele ya mkeo, onyesha kutoridhika kila ukila chakula alichopika mtu mwingine tofauti na yeye.
.
.
3.Akivaa nguo msifie na mwambie imemtoa vizuri hata kama kavaa pajama na ametoka kama mjusi(butuku).Mwambie anajua kuchagua na kupangilia mavazi.Lakini kma kweli unamaanisha ni sawa lakini kama sio sawa basi hakikisha unakwendanae ahopping na kumshauri anunue mavzi unayopenda avae.
.
.
4.Mtoe out mara kwa mara mkiwa na wanenu(kwa walio na watoto).Mkiwa out isifie familia yenu kwamba mmependeza sana kuliko wote waliopo pale.Mwambie unampenda kila mara.Muulize anapenda nini mkiwa out.Siku moja moja mlale huko huko hasa weekends.Mwambie tena kwamba nampenda sana .
.
.
5.Wasifie watoto wenu mbele yake.Mwambie amezaa watoto wazuri kama yeye hata kama sio wazuri.Mwambie ana mbegu nzuri na ungependa akuzalie zaidi.mkumbatie pamoja na watoto.Mpige busu mbele za watu mwbie mmeendana sana.Siku moja moja yoa chozi wakati ukimwangalia machoni.Mwambie yeye ni mzuri sana.
.
.
6.Jitahidi kumuuliza kuhusu ndugu zake na ongea na wazazi wake mara kwa mara.Ongea na mama yake mbele yako cheka kwa sauti mwambie mama yako mkarimu sana na kwba amepata mama bora.Usimlazimishe aongee na mama yako wala ndugu zako.Mwambie ndugu zake waje kusalimia mara kwa mara.
.
.
7.Kila baada ya sex mwambie ye ni mtaalam hata kama hua analala kama jiwe.Mwambie yeye ni mwanamke wa maisha yako.Mwambie anakuridhisha sana na huna haja na mtu mwingine.mwambie anajua kukata mauno na muulize kam alifundwa ama la!, Mwambie kwamba ulipokua mdogo ulitaka kuoa wanawake wawili lakini kwa sababu yake huna mpango tena.Hakikisha kama mwanaume umemridhisha kweli ili kuziba loop holes za yeye kupigwa na men wengine.Mnyonye kila mahala na umfanyie vitu adimu ambavyo unahisi huko shule, chuona popote kabla yako hakufanyiwa.Mpe staili zote ngeni unazojua.Mfanyie rough sex mara kwa mara maana hiyo hua inawapagawisha wengi.
.
.
8.Ukisafiri au ukiwa kazini mpigie simu mara kwa mara kumjulia hali mwbie umemisi sana na unatamani siku iishe.Mwambie unamuwaza sana mpaka kazi haziendi.muulize chakula alichopika na kisifie mwambie you can't wait to be there, hata kama kapika makande.Muachie kiasi chabkutosha na mwambie yeye ndiye baba wa famili kwa wakati huo aiongoze familia.Onesha kumwamini sana kwa kila anachofanya.
.
.
9.Usifanye kosa kuyongoza wadada ama wanake wa mtaani kwako, unesha kuwadharau mbele yake.Usiwasifie wanawake mbele yake.Wasingizie tabia mbaya rafiki zake hata kama si kweli.Onesha kutokupenda mienendo yao.Usisimame na majirani(wanawake) hata mara moja hata kama hayupo.Ukisalimiwa na wadada ama wanawake wa mtaani kwako itikia kizembe (kama vile radio iliyoisha betri) na wakati mwingine usiitikie kabisa.Taarifa zitamfikia kwamba unadharau na maringo.Hapo yeye moyoni atafurahi sana utasikia anakwba 'uwe unaitikia bby jamani'.
.
.
10.Ongea ndoto zako kila mara ukiwa nae na nn umeplani kwake.Mwambie unatak awe mfanya biashara mkubwa tz au EA.Mwambie anaweza kuajiri watu wengi.Mwambie yeye ni boss mtarajiwa.
Hata kama mmepanga mwambie mtamiliki nyumba yenu na mtakua na wapangaji wengi.Usioneshe unyonge mbele yake wa udhaifu kabisa.Usiseme huna hela mbele yake hata kama huna kweli basi kopa please.
.
.
11.Kama mnamiradi mpe aisimamie yeye na awakontrol wafanyakazi yeye.Mwambie unamwamini japo kia makini sana na hilo.Hakikisha faida inapatikana.

NB: Wanawake hawaeleweki, ukiona umefanya hayo yote bado haeleweki usishangae endelea tu kubuni mengine.
.
Mimi pamoja na kufanya hayo yoote lakini kuna wakati hua namnasa vibao wife


.…........Free ideas..........
Hahahha wamnasa vibao tena? Hawa wake wa skuhizi hawaeleweki. Ukimbahatisha shukuru Mungu..
 
Unaweza ukafanya yote hayo bado ukatoka kapa..hawa wanawake hawaeleweki na kuwaelewa yataka moyo...ni kuishi nao kwa akili tu
Me ndo nashangaa boss
Unajitahid kupiga show your free time unawapa attention yako unalipa bills zote
Still they demanding more aaagh
Sasa viwanda tutavijengaje kwa ajili ya vizazi vyetu kama wanataka innovation yetu tuwape wao
 
Me ndo nashangaa boss
Unajitahid kupiga show your free time unawapa attention yako unalipa bills zote
Still they demanding more aaagh
Sasa viwanda tutavijengaje kwa ajili ya vizazi vyetu kama wanataka innovation yetu tuwape wao
Kweli na vyote unafanya bado wanachepuka mkuu..kwa kweli ni tabu
 
Free ideas mm wangu hata ukisema muende outing (mostly beach hotels) mtaishia kugombana huko huko. Toka Aprili nilikuwa Sweden kikazi nikarudi wk iliyopita ile tumeanza vizuri tu pale nimekuja jion yake tukapiga sex adimu, tukarudia tena alfajiri. Kufika kwenye saa 5 asubuhi (ilikuwa weekend) akaanza kisirani daah ile hamu yote ya kummis ikapotea. Nimeamua kukaa kimya nafocus kwa watoto tu Ndo furaha yangu iliyobaki. Hapa mke nimeoa *boya flan amazing* haeleweki. Natamani mchepuko ingawa nilijaribu baadhi nao ni pasua kichwa
Huyoooo ni chaguo lakooo[emoji443] [emoji443] [emoji445] [emoji445] [emoji444]
 
hizo zote ni mbwembwe kubwa mwanaume kuomba msamaha kwa kila jambo!
 
Povuu! Mkuu, Achana nalo linatia stress
Nimemsaidia mkuu sio povu,nataka ajifunze kuna watu unatakiwa utumie mambo ya ziada ili akuelewe...lengo ni kumtoa huko alipo aende na wakati vitu vimebadilika,akiona mleta uzi anazingua sio lazima akubaliane nayo apige kimya.. Sio ohh mimi JF nilikua naipenda ila baada ya kuona hii post imechangia kutoingia Jf kwendra apite hivi,kuna vijamaa huwa vinapenda kujiona wao ndiyo wana akili mingi kumbe zero kabisa
 
Hivi mkuu unafikiri wanawake huwa hawana akili timamu?

'...hata kama kitandani yupo kama gogo msifie...[emoji50] ' , mwanamke gani atakubali?!

Jambo la msingi wawe na mawasiliano mazuri tu, hapa watayazungumza yafaayo na yasifaa ktk uhusiano.
 
Back
Top Bottom