Jinsi ya kuishi na mwanamke kwa furaha na amani katika ndoa

Jinsi ya kuishi na mwanamke kwa furaha na amani katika ndoa

Kaka usiharibu maisha ya huyo huose girl tafadhali. Ikitokea akapata mimba bahati mbaya hapo sijui atakuwa mgeni wa nani maana wewe na mkeo mtamfukuza matokeo yake atarudi kijiji kwao kwenda kuongeza umasikini. Utampa maisha ya shida sana. Bora utafute mwanamke yoyote huko kwenye mishe zako kuliko kuharibu maisha ya huyo dada. Huyo mkeo alivo kisirani anaweza hata mkata kichwa. Tafadhali usiahatarishe maisha yake.
Tunafanya kwa siri kubwa sana. ATUGANILE akiwa kazini mi huwa narudi home mida ya saa 3 asubuhi Tunafanya yetu mpaka saa 6 hv narudi job. Dada anakata mauno sijapata kuona. Kiukweli nilikuwa kwenye giza la mapenzi. Sasa natafuna kitu cha motoooo, taitiiii maziwa madogooo. Kiukweli nimepata suluhisho la kudumu. Tena kwa bei cheee.
 
Tunafanya kwa siri kubwa sana. Tunasubiri ATUGANILE akiwa kaenda kazini Tunafanya yetu. Dada anakata mauno sijapata kuona. Kiukweli nilikuwa kwenye giza la mapenzi. Sasa natafuna kitu cha motoooo, taitiiii maziwa madogooo. Kiukweli nimepata suluhisho la kudumu. Tena kwa bei cheee.
Sawa ila umeshawaza endapo ikitokea akapata mimba itakuwaje? Wewe na huyo tukunyema wako mtaendelea kuwepo tena mtaombana msamaha maisha yaendelee. Kwa upande wa huyo dada ataishi vipi? Mi namuonea huruma yeye. Sasaiv anaweza kuwa anaona sawa tu anachofanya ila ikitokea la kutokea hakuna rangi ataacha ona.
 
sijui nani siri sirini hakuna atakayeshtukia
Kama unachokisema ni kweli basi huyo mwanamke umemchoka sana ni bora umuache tu aende kwa taraka maana ipo siku utajikuta kwenye matatizo makubwa ukiendelea kumkumbatia wakati humpendi
 
Kiukweli hata nikiuliza tukiwa tumetulia tatizo lilikuwa n nn yeye huishia kulia tu (nabaki kubembeleza) but nimechoka hasa na kisiran yaan kuna wakati hausigel, watoto na mm tunanuniwa wote. Ghafla anaanza kugomba nyumba nzima. Mm siku hz akianza ndo tiket ya kuondoka home. Ntarudi saa 7 usiku nikute wote wamelala
..Duuh unaumia sana Mkuu,..
 
Back
Top Bottom