Jinsi ya kujibu swali la, "Why should we hire you?" kwenye interview

Jinsi ya kujibu swali la, "Why should we hire you?" kwenye interview

Please do not attach any certificates when submitting online"


Hivi ndugu zangu wanasema hivi wakimanisha ukitwa ndio watahitaji hivi vitu ?
Wanamaanisha katika hatua hiyo ya application, hawahitaji cheti chako chochote. Labda watakuja kuhitaji huko mbele ya safari wakati wa interview (ukiwa shortlisted), au wakati wanakupa offer letter (ukipenya na kupata hiyo nafasi)
 
Wanamaanisha katika hatua hiyo ya application, hawahitaji cheti chako chochote. Labda watakuja kuhitaji huko mbele ya safari wakati wa interview (ukiwa shortlisted), au wakati wanakupa offer letter (ukipenya na kupata hiyo nafasi)
Asante sana Dr. Samahani mimi sio mzoefu sana katika kuapply nafasi za kazi nilikuwa naomba kujua kama unauzoefu kwenye tasisi ambazo hatupewi anuani ya kutuma barua ya maombi je tunafanya maana maombi ni online na hatuoni anuani ya ofisi ambayo tunatuma maombi haya msaada tafadhari.
 
Asante sana Dr. Samahani mimi sio mzoefu sana katika kuapply nafasi za kazi nilikuwa naomba kujua kama unauzoefu kwenye tasisi ambazo hatupewi anuani ya kutuma barua ya maombi je tunafanya maana maombi ni online na hatuoni anuani ya ofisi ambayo tunatuma maombi haya msaada tafadhari.
Kwa organizations ambazo application ni online, mara nyingi huwa hata hawajali kama umeweka anuani au hujaweka kwenye barua yako ya kuapply. In fact, mimi sikumbuki mara ya mwisho nimeandika anuani kwenye barua yangu ya maombi ya kazi (application letter). Vitu kama anuani kiukweli vimepitwa na wakati (kasoro labda kwa organization chache ambazo application zake bado ni manual-za kutuma hard copy, na kwa taasisi za serikali labda-sina uzoefu wa kuapply kwenye taasisi za serikali).
 
Mimi pia natafuta kazi msaada wenu

Naitwa kassim

Naishi dsm mbagala

Yoyote hata kuuza chips na zingine zisizo na elimu



0714945058
 
Safi sana Dr. umeninoa sana kwa uzi wako,, kama hutojali unaweza kuweka majibu hapa ya swali, tell us about youself?
 
Back
Top Bottom