Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Namshukuru Mungu....pambana mdogo wangu,utu wa mtu hupimwa Kwa kituNipo Dada mkubwa. Utafutaji unanificha. Mishe niaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namshukuru Mungu....pambana mdogo wangu,utu wa mtu hupimwa Kwa kituNipo Dada mkubwa. Utafutaji unanificha. Mishe niaje?
MWEHU in capital letters.....mwenzao kanunua G wagon anawaambia asanteni sanaMtu yeyote tena Mtanzania anayemlipa mtu wa US tena mwanamke ili anpe habari za umbea toka katika nchi ambayo anaishi huyo ni kichaa
Ni kichaa
Mwehu
Inasikitisha sana.MWEHU in capital letters.....mwenzao kanunua G wagon anawaambia asanteni sana
Yaani nikute simu ya baby wangu Ina mange app hiiiiiiiiiiiiajabu sana aisee
Halafu Mange mjanja yupo busy kukataza watu wasiende Kwa nabii wakati hata yeye mpigaji kama anavyowaita hao manabii.......Ila Bora nimpe Sadaka Malisa kuliko huyo psychopathInasikitisha sana.
Huku manabii, kule mitume na mange anawanyonyoa
inakereketa sana...mie naona mange app wawe nayo wanachuo..yaani iishie kwa wanachuo..mwanamke /mwanaume anayejitambua kuwa na mange app mie inanifikirisha saaaaanaaaYaani nikute simu ya baby wangu Ina mange app hiiiiiiiiiiii
KabisaHalafu Mange mjanja yupo busy kukataza watu wasiende Kwa nabii wakati hata yeye mpigaji kama anavyowaita hao manabii.......Ila Bora nimpe Sadaka Malisa kuliko huyo psychopath
Hakika inafikirisha mnoo....eti njoo usikie Zamaradi alivyopata pesa za kufungua TV stesheni,ni mkopo tu wa CRDB Sasa unaniuliza huyu mange ana akili Kweli?anadhani kuaminika kukopesheka M300 ni jambo dogo?basi mtanzania asiyemjua hata mlo wake wa mchana anavyofurahi kusikia hivyo Sasa!inakereketa sana...mie naona mange app wawe nayo wanachuo..yaani iishie kwa wanachuo..mwanamke /mwanaume anayejitambua kuwa na mange app mie inanifikirisha saaaaanaaa
Ni Legendary.Duh member since 2009,si baba sheikh wangu
We lazima unayo kwenye simu yako...acha kuzugaKwani huyo Mange ndio nani?
Na hiyo App inahusu nini?
🤣🤣🤣Nimeona insta anawaita misukule yakeEbu kwanza tuambie aaliyah na zuchu wamefanyaje kabla hatujakushauri namna ya kujitoa huko kwenye app
kwa kuna tatizo si username tuu by the way Pablo ni mume wanguMwanamke unajiitaje Pablo?
Wewe si nilishakukataza kujilengesha kwangu? mbona unakua na kichwa kigumu?We lazima unayo kwenye simu yako...acha kuzuga