Jinsi ya kujitoa Mange Kimambi app

Jinsi ya kujitoa Mange Kimambi app

Kwa style hii Mange lazima avute Chuma Zero Kms nyingine.

Otherwise pole sana mkuu, I think ungeenda kwenye comment section ya post zake mpya halafu Omba msaada hapo, wapo watu kule nadhani wameencounter situation kama ya kwako watakupa msaada.
 
inakereketa sana...mie naona mange app wawe nayo wanachuo..yaani iishie kwa wanachuo..mwanamke /mwanaume anayejitambua kuwa na mange app mie inanifikirisha saaaaanaaa
Hakika inafikirisha mnoo....eti njoo usikie Zamaradi alivyopata pesa za kufungua TV stesheni,ni mkopo tu wa CRDB Sasa unaniuliza huyu mange ana akili Kweli?anadhani kuaminika kukopesheka M300 ni jambo dogo?basi mtanzania asiyemjua hata mlo wake wa mchana anavyofurahi kusikia hivyo Sasa!
 
Back
Top Bottom