Jinsi ya kujitoa Mange Kimambi app

Kuna jitu huko juu linaitwa joannah linakata viuno kwenye huu uzi kuwapondea wanaomiliki hio app

badae ametoa komenti inayo ashiria kumbe nayeye anafatilia mambo yakimambi🤣
 
wakati kila siku tunabembelezana mlipie kidogo JF hamtaki ila mkishapigwa huko mnakuja kulalamikia huku....kuna shida
 
Mtu yeyote tena Mtanzania anayemlipa mtu wa US tena mwanamke ili ampe habari za umbea toka katika nchi ambayo anaishi huyo ni kichaa
Ni kichaa
Mwehu
Raw materials zinatoka bongo, zinasafirishwa hadi Ulaya na Marekani. Huko zinakuwa processed na kuwa manufactured then zinarudushwa kwenu bongo kuuzwa kwa bei ya juu kama products.
Imagine, hata umbea wabongo mnau export halafu mnarudishiwa kuuziwa wakati umbea wenyewe unatokana na nyie.
Akina Shigongo walijaribu kwa wakati wao kufungua njia, lakini ninyi mmeshindwa kufaidika nao katika zama hizi!!
 
Basi kila mtu humu anajifanya hana na wala hajawahi kuvutiwa na Mange App😂

Mkuu njoo pm nikuelekeze namna ya kujitoa, ni rahisi tuu..

Njia nzuri ya ku subscribe ni kupitia Google Pay maana unaweza ku cancel subscriptions kupitia hukohuko Google kwenyewe anytime..

Mimi nimesubsrcibe mwaka mzima, wale wapiga spana nipigeni spana mnavyotaka ila sitoki ng'ooo😂

 
Dah! sijaamini kilichotokea hapa. Page 3 za mashambulizi? Nakumbuka nina threads za kutosha za maana ila hazina hata page mbili za uchangiaji. Wanaojiita wa busara ndio hao wanaochafua jukwaa hili kwa kejeli. Wanachojua ni mipasho tu. Hii ni hatari kwa taifa. Ningekuwa chitchat sawa, ila hapa natafuta ufumbuzi wa ishu iliyotokea. Hao hao wanaoponda hapa ukiwachunguza ni hodari kwa habari za udaku. Nimewasamehe.

Mkuu ukisoma uzi utaona maelezo yangu
 
Wanaume wengi ni wanafiki sana. Wengi mnayo app ya mange..mnahishebedua tu hapa.
Tena mijanaume mikubwa kabisa...wanamfatilia mange. Nimeshawaona kama watatu hivi nikashangaa sana.
 
Kadi ya benki
Kuhusu mtandao, aidha ni tigo au wifi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…