Acha uogaVikishazoeleka heshima hushuka kiufupi usifanye hicho kiumbe kikuzoee
Aisee kweli tupu[emoji3][emoji3][emoji3]Yote haya inategemea umepata mwanamke wa aina gani. Kama ni mwelewa na mwenye exposure ukimtendea haya aisee mtakuwa washikaji sana na wenye ndoa yenye furaha. Vinginevyo utaishia kuitwa boya tu maana wenzetu hawa hawajawahi kueleweka hasa wanataka nini [emoji16]
Haha sawa, fanya uonavyo mwisho utarudi kwenye nilichokiandikaAcha uoga
Kuishi kibachela ndani ya ndoa hakutawaacha salama wanaume watalalamika na wataendelea kuleft mbaka muishe tuanze kujioa.Kabla ya kulalamika kwamba mke wako hakuheshimu, kwanza jiulize mwenyewe kama unaheshimika.
Heshima ipo kwa wanaostahili, si kwa wanaodai. Jiheshimu kwanza na yeye atakuheshimu. Huwezi kulala na kila mwanamke unayekutana naye na utarajie heshima kutoka kwa mkeo.
Huwezi kumfokea mkeo, kumuaibisha na kumwita majina ya hovyo, na utarajie heshima kutoka kwake.
Ukimuita mshamba au jina lolote baya na yeye atakuita mbwa wewe [emoji23]
Ikiwa una afya na unakataa kufanya kazi, sahau kupewa heshima na mkeo.
Siku zote mwanaume anayejiheshimu yuko salama katika ndoa.
Heshima ni njia mbili, ikiwa unataka kuipata, lazima ujiheshimu kwanza na ndipo utaheshimiwa.
Ikiwa unataka mke wako azungumze nawe vizuri, mtendee vizuri pia.
Acha kupoteza maisha yako kwenye baa. Baada ya kazi tumia wakati wako na mkeo nyumbani
Muogeshe naye atakuogesha. Msaidie kazi za nyumbani kama vile kupika, kutosha vyombo na kufuta chupi zenu pamoja.
Mfanyie Suprise kwa vijizawadi vidogo vidogo hata vya chupi, pedi sindiria nk.
Mpe pongezi kila siku. Tembea naye jioni ukiwa umeshikana naye mikono.
Fanya wakati wake wa kulala uwe wa kukumbukwa kwa kumpelekea moto kisawasawa [emoji7][emoji8].
Mtoe out mkacheze muziki mkiwa mmekumbatiana kwa mahaba mazito kila weekend.
Utapata heshima yako kwa kujiheshimu mwenyewe kwanza na kuwajibika ipasavyo kwa mkeo .
Utaheshimika tu kama unavyoheshimu. Tabia, sio jinsia, ndiyo inayokupa heshima.
Wanaume tuliopo katika ndoa tuamke!
Ubarikiwe.
Tatizo la hofu linawasumbua wanaume wengi, tulia mkuu hivi viumbe visiwe tishio kwako na wanaume wote wanaokataa ndoaHaha sawa, fanya uonavyo mwisho utarudi kwenye nilichokiandika
🤣🤣🤣Hukohuko kwenye mziki atapata mwingne.
Ndio maana tunaamshana hapa wanaume 😂Kuishi kibachela ndani ya ndoa hakutawaacha salama wanaume watalalamika na wataendelea kuleft mbaka muishe tuanze kujioa.
Napingana na wewe pesa sio kila kituMkuu sema usemavyo ila mwisho kabsa mchawi pesa.
Jf bwana kuna wakati wanawake wa humu wanaangusha nondo mpaka unakumbuka zile debates za shule na unasema kweli wanawake watu.Mwanaume uwe na hela.sio kila siku sina hela.hata kama utakuwa mzuri kiasi gani amini usiamini kuna heshima hutopata.
Na hata hii si kwa wanaume ndugu yangu.hata Kwa wanawake pia.kama huna kitu mkononi hata mwanaume hakupi heshima anakuona huyu nae atanipiga mizinga tu.umasikini unaumiza,unatenga,hauwezi kusikilizwa,umasikini unatesa vibaya.
Pesa sio kila kitu lakini inaongeza heshima mahali fulani,inakukutanisha na watu fulani na mengineyo.
Kuwa na kitu cha kujiweza wewe mwenyewe kwanza.
Umesikini ulinitesa sana,ulininyong’onyeza,ulinitenga na watu na wengine ni ndugu wa karibu nami,umasikini ni mbaya.
Ila Mungu Kwa kuwa hatokei mkoa wowote hubariki
Unakuwa nae makini muda wotesiwez hayo mambo ya kitoto labda kwenye matukio muhimu kama harusi au kwenda kwenye mbuga sio disco au bar.
point yangu umeielewa lakini? sijazungumzia masuala ya hofu mimi nimesema haya yaliyoandikwa hapo kwenye uzi hayatoshi kufanya uheshimike na mwanamke.... Heshima inaanzia kwa mwanamke mwenyewe alivyo na alivyokuwa na alivyolelewa.Tatizo la hofu linawasumbua wanaume wengi, tulia mkuu hivi viumbe visiwe tishio kwako na wanaume wote wanaokataa ndoa
Aisee....ila mwanawane pesa ndio kila kitu kwenye mapenzi. Na utambue kuwa sio lazima yawe ya kufa na kuzikana au yaishie kwenye ndoa.Napingana na wewe pesa sio kila kitu
Juzi juzi tu hapa tumetoka kushuhudia ndoa za matajili wa wakubwa zimevunjika na wanapesa za kutosha mfano Bill gate na wengine wengi.ukichunguza watu wenye pesa hawana muda na wapenzi wao they so busy kutafuta pesa na siku zote ukae ukijua mapenzi yana nafasi yake katika maisha ndio maana watu wenye pesa hawadumu katika ndoa.
Na heshima yake itadumu ikiwa mwanaume anaye mheshimu naye anajiheshimu.Heshima inaanzia kwa mwanamke mwenyewe alivyo na alivyokuwa na alivyolelewa.
Mwanaume uwe na hela.sio kila siku sina hela.hata kama utakuwa mzuri kiasi gani amini usiamini kuna heshima hutopata.
Na hata hii si kwa wanaume ndugu yangu.hata Kwa wanawake pia.kama huna kitu mkononi hata mwanaume hakupi heshima anakuona huyu nae atanipiga mizinga tu.umasikini unaumiza,unatenga,hauwezi kusikilizwa,umasikini unatesa vibaya.
Pesa sio kila kitu lakini inaongeza heshima mahali fulani,inakukutanisha na watu fulani na mengineyo.
Kuwa na kitu cha kujiweza wewe mwenyewe kwanza.
Umesikini ulinitesa sana,ulininyong’onyeza,ulinitenga na watu na wengine ni ndugu wa karibu nami,umasikini ni mbaya.
Ila Mungu Kwa kuwa hatokei mkoa wowote hubariki
yaani mtu hana heshima umuheshimu?? mkuu unaandika nini ila sawa wapo wanaokuelewa.Na heshima yake itadumu ikiwa mwanaume anaye mheshimu naye anajiheshimu.
Nasisitiza kabisa ikiwa mwanaume hajiheshimu asitegemee kupata heshima ya mwanamke
Mpwa😀Yote haya inategemea umepata mwanamke wa aina gani. Kama ni mwelewa na mwenye exposure ukimtendea haya aisee mtakuwa washikaji sana na wenye ndoa yenye furaha. Vinginevyo utaishia kuitwa boya tu maana wenzetu hawa hawajawahi kueleweka hasa wanataka nini [emoji16]