Jinsi ya kumfurahisha Mwanamke wako

Kipya kwako NI kipi?
Wewe ndîo sina jipya Kutoka kwako ila Wanawake wenzako Wana vipya vingi àmbavyo lazima vitolewe ufafanuzi.

MTU upo Mwaka 2024 lakini unaishi kama upo Mwaka 600 utakuwa na kipya gàni?
Umeshaanza kumfunidisha hivyo vipya mamako?
 
Kuna mtu alishawahi kufanya hayo yote na bado akaachwa. Wanawake hawajawahi kujua wanataka nini, wewe ndio uje utuambie vitu wanavyovitaka/kupenda kweli?
 
Mwanamke sio kiumbe cha kukifurahisha
kumbuka ilo
 
Mtoa mada kwani unamatatizo gani wewe??
 
Unatuangusha Mwamba, kwahiyo wewe hupigi mechi za nje?
Mkuu nina zaid ya mwaka tokanniache haya mambo.
Na kiukwel toka niamue kutulia ndio naona hiz kero zake zinanisumbua, mwanzon hata nilikua sijali akinikera ila sasa nimeamua kutulia yeye anataka kunirudisha nje tena
 
Hayo kayaaply kwa mama yako mzazi,mkeo atafurahishwa na hawara wake.
 
Wewe ni muajiriwa? Kama ni baba wa nyumbani halafu mwenzako anafanya kazi analeta chakula, kwanini usipike na kufanya kazi zote za nyumbani?
Ahahahah Dahhh!!... braza umenikosea ujue.
Mimi ni mjasiriamali niliacahana na ajira rasmi 2020 June, na kwa nature ya biashara yangu naweza nikakaa home hata mwezi mzima na pesa ikawa inaingia bila tatizo, most of the time i preffer to work from home ofisin mengine yanaendelea labda nilazimike kusafiri au niingie market kupanua wigo zaidi.
 
Ok kazi nzuri.
 
Kama hauna pesa hata ukiwa kama Mr Bean tutakugongea Kwa chips yai tu
 
Kama hauna pesa hata ukiwa msanii kama Mr Bean au umkojeze vp tutakugongea Kwa chips yai tu
 
Hapo uache kazi ufanye kazi, Naturally Binadamu hatupo hivo yaani hivyo vyote awenavyo Mwanaume mmoja.

Ni either uwe na robo na hivyo vengine u pretend ambavyo mwisho wa siku utachoka tu mwenyewe.

Just be you.
 
Hapo uache kazi ufanye kazi, Naturally Binadamu hatupo hivo yaani hivyo vyote awenavyo Mwanaume mmoja.

Ni either uwe na robo na hivyo vengine u pretend ambavyo mwisho wa siku utachoka tu mwenyewe.

Just be you.

😃
 
umezungumza kifupi sana, vizuri sana na nimeamini kila ulilosema, kiasi kikubwa ni hivyo, mara nyingine anaweza kukuchagulia nguo akakopa kwa niaba yako, kwake ni nzuri lakini wewe ukamhurumia kwa nini amechagua hii mbona ni ya kawaida tu, yeye ameipenda pengine amekununulia.
 
Mwanamke atapokea kicheko , bashasha na tabasamu la mwanaume ampendae pale tumbo lake litakapokuwa limeshiba.
 
Hivi kuna watu bado mna akili kama hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…