Jinsi ya kumlea mtoto wa mme


asante kwa ushauri, hua sipendi ligi, message sent
 
Mtoto alelewe na mama yake mzazi, hakuna kitu bora kwa ukuwaji wa mtoto huyo bali kuwa na uhusiano wa dhati na mama yake. Mumeo, a hakikishe kafanya wajibu wake wa kutekeleza mahitaji ya mtoto huyo, pia ina wezekana mtoto huyo awe anakuja kwa baba yake mara kwa mara [at least when he is over 5yrs, he is too young now].

Nawe, kuwa na imani na ndoa yako.
 

asante
 

asante bidada, wacha aendelea kukua kwa mama yake kwanza hadi atakapoamua kumleta
 
asante bidada, wacha aendelea kukua kwa mama yake kwanza hadi atakapoamua kumleta

Yes ufanye hivyo..cha muhimu ni mumeo kuwa na mawasiliano mazuri na muwazi kuhusu huyo mtoto wake. Kama huna mtoto/watoto na wewe huu ndiyo muda utafute maana utakuwa busy unalea. All the best!!
 
kwenye red hapo ....kwangu mimi siyo sababu ya msingi......
 
sims nawe upo tayari mtoto wako alelewe na mwingine
sipendi mtoto wangu alelewe na mwingine labda tu itokee kuna mazingira ambayo sina jinsi lakini itanipasa mtoto wangu alelewe na mtu mwingine.....lakini pia sina tatizo kumlea mtoto wa mwanamke mwingine....mana ntakavyowalea watoto wangu ndivyo hvyo ntamlea na huyo mtoto wa mtu mwingine......ntakachowafanyia watoto wangu nae ntamfanyia hvyohvyo.......
 

Hili suala umelijua hivi karibuni au kabla ya ndoa?
 

Kwani sasa hivi angali hakai na mwanae kuna kinachomzuia kuongeza wa pili na huyo ex wake akiwa anaenda huko kumsalimia? What makes you think kuwa jamaa akienda huko hakumbushii sarakasi za zamani?
Nime peruzi tu na kudadisi tu Suprise usiogope.
 
Last edited by a moderator:
nisaidie faida za kumlea huyo mtoto ukiihusisha ndoa yangu tafadhali mkuu.pili nilikua nawaza kama nikimchukua tumchukue umri wa kwenda shule labda mwakani na tumtafutie boarding ili akirudi likizo awe anaenda kwa mama yake, unaonaje hili

Who are you kwa huyo mtoto mpaka uanze kuwaza mipango yakumchukua, kumpeleka boarding sijui kumpeleka wapi? Huyo mama yake hana akili timamu? Huyo mama yake hawezi kumlea? Yani unaona kumpeleka mtoto boarding ndio umemsaidia mtoto na ndoa? Unaona kumtenga mtoto na mama yake wakati ambapo umeshamtenga na baba ake ni haki.

Mtoto ulimkuta, ukakubali kuolewa, funga mdomo, lea ndoa uliyoitaka, muache huyo mtoto na mama yake. Hakuhusu hata kidogo labda siku mume wako akuambie namleta mtoto kwa sababu walizokubaliana wao wenyewe n ahuyo mama mzazi wake. Of which kama huyo mama ana AKILI hatakubali kumuacha mtoto wake mdogo hivyo akakulie mazingira magumu ya boarding.

Kwa kifupi ushauri wangu, kama huyo baba anamlea huyo mtoto muache alee damu yake, umemkuta naye, heshimu hilo, we fanya kilichokupeleka huko kwake, subiri Mungu akupe mwanao utamlea au akifika miaka mitatu utampeleka boarding pia. Sawa mama angu.............Usimwazie hivyo huyo mtoto, wala hutakiwi kujipa stress, utakujakumkosea Mungu bureeeeee. Be a mother and a wife.......Karibu tena.
 

Nimekumisije jamani? Ulipotelea wapi shoga angu?
 
.ingekua wa kwangu ningemlea so hiyo isingekua swali kipindi hiki

There is the problem. Mtazamo ungekuwa sawa na wa Nyamayao ungeelewa mtoto wa mwenzio ni wa kwako. (infact in this case ur hubby...)
 
Mwache akalelewe na mama yake kwa sasa, mbona muda wa wewe kumlea utafika tu?
 

Kutuma matumizi si mpaka waonane!!!!!! Nadhani umesahau kuwa mtoto anaweza kuugua, baba anaweza kuwa na hamu ya kumuona mwanawe, so, you cant prevent the man from seeing his son and thus his son's mother.
 

asante, mie jamani binti yangu nampenda sana, yaani tena alivyo na wadogo zake hakuna mtu atahisi sio wangu wa kumzaa, na huwa sisemagi ni mtoto wa mume wangu, yule ni mtoto/binti yangu wa kwanza...
 
bora umchukue mumlee ila uwe na moyo wa kulea mtoto wa mwenzio namna ile ile ambayo unalea wa kwako. kama unahisi utamnyanyasa muache kwa *****. ukimchukua itasaidia kupunguza mawasiliano kidocho
 

aisee mi nina mtoto wa huo umri x wangu kaoa hiv karibun usikute unawaza kumchukua mwanangu coz hata unipigie magot siwez kukubali na hata umlambe huyo mtoto miguu i will not appreciate nitawaza unamtesa tuu mwanangu kila siko zaa wa kwako mamii ee kuzaa nizae mm kulea ulee wewe wap na wap hat umshauri huyo mumeo asimlee mtoto siwez kuwapa bado nishakuachia huyo mwanaume kuwa na aman naomba mungu usiwe ndio mke wa x wangu kwan naona hatutawezana kabisaaa halafu kama huyo mumeo hajakwambia tumekubaliana mtoto ataish kwangu and am a mother hapa so nina kauli ya mwisho kwa mwanangu when am saying no hamna wakunichallenge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…