ROHO MBAYA HIYO.
Yani wawe unataka kujaribu kumdhiti mumeo na ndoa yako kwa kumlipisha huyo mtoto kukosa malezi ya mama yake na baba pia? Kama humtaki nyumbani kwako unataka kumtoa kwa mama yake wa kazi gani? Wakati mnachumbiana na kuona ulikuwa wapi usijadili hili swala na mumeo au hata kulifikiria tu wewe mwenyewe? ACHA UBINAFSI. Mwache mtoto alelewe na mama yake na kama ni kwenda boarding akiwa na umri mdogo hivyo (kitu ambacho binafsi siafiki) acha uamuzi huo ufanywe na mama yake mzazi na sio wewe. Wewe subiri ukizaa wako ndio umtimulie boarding bila sababu ya msingi akiwa na umri huo.
Kwa kuongezea tu. . .
Ulifanya makosa makubwa sana kuolewa na mtu ambae tayari ana mtoto na mwanamke mwingine wakati hujiamini na una wivu ambao unaweza kuzaa manyanyaso kwa huyo mtoto uliyemkuta. Hauko tayari kumlea huyo mtoto, wala hauko tayari alelewe na mama yake. Ulitakiwa utafute ambae hana mtoto ili wivu wako uishie kwa watu ambao hauna uwezo wa kuwafikishia hasira zako kwa kuadhibu viumbe visivyohusika na matatizo yako siku ukitamani kufanya hivyo.
Acha huyo mtoto akae kwa mama yake, kama unataka mchunge mumeo kama mbuzi ili asije akala nyasi za jirani.
Wasiwasi wako ni nini bibie? kuwa watakumbushia zamani au? Ujue chochote utakachopanga kufanya inategemea na akili ya huyo mzazi mwenzie mumeo. Usikute wala hawazii unayoyawaza wewe anataka malezi bora tu ya mtoto wao.
Usijitwishe mzigo wa kumlea mtoto wa mwenzio tena mtoto mdogo kiasi hicho ilhali ana mama yake mzazi aliye hai.Utaanza kuambiwa unamtesa mtoto wa watu nk. Kuwa na amani, kuwasiliana kwao hakuepukiki hata mtoto aende boarding au akae na nyie. Sema wewe na mumeo mngeweka misingi imara kuhusu suala hili..sanasana ukiliweka mawazoni litazidi kukuchanganya. Na please usimchukie huyo mtoto, hana hatia kabisa!!
asante bidada, wacha aendelea kukua kwa mama yake kwanza hadi atakapoamua kumleta
kwenye red hapo ....kwangu mimi siyo sababu ya msingi......miaka 3!!?mwache alelewe na mama yake!kuzaa aze mwingine ulee ww kisa?tulia
..acha atume matumizi
...ww hujawa mama bado subiri wako!
....Km wana mpango wa kuendelea na hayo mawasilino,hata ukimchukua wataendelea tu,tena ndo utakua umewapa nafasi! Ww unafikiri huyo mwenzio anafurahi kuachwa?tena wanaweza kuongeza mwingine hawana akili hawa!
..acha awe busy kulea baba kazi yake ni kutuma matumizi mpaka mama atakapoolewa ndo aje kwako,kutuma matumizi sio lzm waonane unless kuna kitu kinaendelea
sipendi mtoto wangu alelewe na mwingine labda tu itokee kuna mazingira ambayo sina jinsi lakini itanipasa mtoto wangu alelewe na mtu mwingine.....lakini pia sina tatizo kumlea mtoto wa mwanamke mwingine....mana ntakavyowalea watoto wangu ndivyo hvyo ntamlea na huyo mtoto wa mtu mwingine......ntakachowafanyia watoto wangu nae ntamfanyia hvyohvyo.......sims nawe upo tayari mtoto wako alelewe na mwingine
Morning.Naombeni ushauri jamani,mme wangu ana baby boy umri yapata miaka 3 kutoka kwa X wake .naomba ushauri kwani nawaza mtoto aendelee kukaa kwa mama yake huku akiomba matunzo ya baba hapa naogopa mawasiliano ya moja kwa moja na mume wangu au tumchukue tuje kuishi nae nikiwa mama mlezi Naombeni ipi itakua njia nzuri ambayo nitaimudu na angalau itakua na tija kwenye ndoa yangu.
Weeeeeeeeeeeeee! Ishia hapo hapo! Muache huko huko kwa mama yake!
Yaani ukilogwa kujitia una mamy spirit na kumleta jianadae na yafatayo
1. Badala ya mumeo kwenda kwa maza mtoto, mzazi mwenzie atakuwa anakuja humo kwenye jumba lako kumuona mwanae, and you will be supposed to be happy! Cause you asked for it! Na ndugu wa huyo mama mtoto nao wanakuja humo kwenye kasri lako kumuona mtoto! Mbona kazi utakuwa nayo!
2. Mfarakano na mumeo usioisha! No matter how sweet, devoted, dedicated you will be kwa yule mtoto mumeo ataona unamtesa, ama hufanyii the best he is expecting. Basi majangaa hayatoisha! Mwnaume atakununia hadi ukome.
3. Ukimchukua huyo, Watazaa mwengine! Coz matumizi hatoi hayamuumi tena, wanakumbushia, ama anaenda small house mpya anajisahau mnarudi square 1. Ila mzazi mwenzie akiwa nambuguzi na watu wa ustawi, vikao na wazazi, simu za kudai matumizi, hamu yoyote ya kutoka nje inamuisha akikumbuka tabu hio dudu yake inasinyaa yenyewe! Muache abebe msalaba wake.
nisaidie faida za kumlea huyo mtoto ukiihusisha ndoa yangu tafadhali mkuu.pili nilikua nawaza kama nikimchukua tumchukue umri wa kwenda shule labda mwakani na tumtafutie boarding ili akirudi likizo awe anaenda kwa mama yake, unaonaje hili
Kwa kuongezea tu. . .
Ulifanya makosa makubwa sana kuolewa na mtu ambae tayari ana mtoto na mwanamke mwingine wakati hujiamini na una wivu ambao unaweza kuzaa manyanyaso kwa huyo mtoto uliyemkuta. Hauko tayari kumlea huyo mtoto, wala hauko tayari alelewe na mama yake. Ulitakiwa utafute ambae hana mtoto ili wivu wako uishie kwa watu ambao hauna uwezo wa kuwafikishia hasira zako kwa kuadhibu viumbe visivyohusika na matatizo yako siku ukitamani kufanya hivyo.
Acha huyo mtoto akae kwa mama yake, kama unataka mchunge mumeo kama mbuzi ili asije akala nyasi za jirani.
.ingekua wa kwangu ningemlea so hiyo isingekua swali kipindi hiki
miaka 3!!?mwache alelewe na mama yake!kuzaa aze mwingine ulee ww kisa?tulia
..acha atume matumizi
...ww hujawa mama bado subiri wako!
....Km wana mpango wa kuendelea na hayo mawasilino,hata ukimchukua wataendelea tu,tena ndo utakua umewapa nafasi! Ww unafikiri huyo mwenzio anafurahi kuachwa?tena wanaweza kuongeza mwingine hawana akili hawa!
..acha awe busy kulea baba kazi yake ni kutuma matumizi mpaka mama atakapoolewa ndo aje kwako,kutuma matumizi sio lzm waonane unless kuna kitu kinaendelea
sipendi mtoto wangu alelewe na mwingine labda tu itokee kuna mazingira ambayo sina jinsi lakini itanipasa mtoto wangu alelewe na mtu mwingine.....lakini pia sina tatizo kumlea mtoto wa mwanamke mwingine....mana ntakavyowalea watoto wangu ndivyo hvyo ntamlea na huyo mtoto wa mtu mwingine......ntakachowafanyia watoto wangu nae ntamfanyia hvyohvyo.......
Nimekumisije jamani? Ulipotelea wapi shoga angu?
Morning.Naombeni ushauri jamani,mme wangu ana baby boy umri yapata miaka 3 kutoka kwa X wake .naomba ushauri kwani nawaza mtoto aendelee kukaa kwa mama yake huku akiomba matunzo ya baba hapa naogopa mawasiliano ya moja kwa moja na mume wangu au tumchukue tuje kuishi nae nikiwa mama mlezi Naombeni ipi itakua njia nzuri ambayo nitaimudu na angalau itakua na tija kwenye ndoa yangu.