Suprise
JF-Expert Member
- Nov 2, 2012
- 2,696
- 1,063
- Thread starter
- #61
ROHO MBAYA HIYO.
Yani wawe unataka kujaribu kumdhiti mumeo na ndoa yako kwa kumlipisha huyo mtoto kukosa malezi ya mama yake na baba pia? Kama humtaki nyumbani kwako unataka kumtoa kwa mama yake wa kazi gani? Wakati mnachumbiana na kuona ulikuwa wapi usijadili hili swala na mumeo au hata kulifikiria tu wewe mwenyewe? ACHA UBINAFSI. Mwache mtoto alelewe na mama yake na kama ni kwenda boarding akiwa na umri mdogo hivyo (kitu ambacho binafsi siafiki) acha uamuzi huo ufanywe na mama yake mzazi na sio wewe. Wewe subiri ukizaa wako ndio umtimulie boarding bila sababu ya msingi akiwa na umri huo.
asante kwa ushauri, hua sipendi ligi, message sent