Jinsi ya kumpima mdada kama ana asilimia kubwa za kukubali au za kukukataa, kabla hujamtongoza

Jinsi ya kumpima mdada kama ana asilimia kubwa za kukubali au za kukukataa, kabla hujamtongoza

Hii ni theory yangu nimeiwaza kichwani, sijajua kama ina efficiency ya walau asilimia 98% ya kutoa accurate results:

Mfano umempenda mdada ambaye unaishi naye mtaa mmoja, college moja, darasa moja n.k mchunguze anapenda kinywaji gani especially soda za take away, mfano mdada anapenda Kunywa sprite, siku unaongea naye wewe nunua take away ya sprite, uinywe mbele yake halafu umpe chupa hiyo hiyo naye ainywe, au muulize umnunulie soda gani akisema sprite, nunua sprite moja, ipige tarumbeta hapo mbele yake halafu umpe anywe. Mdada hatojua kuwa unampima

Akikataa kushea chupa ya soda na wewe, kwa gia ya kwamba umnunulie mpya, jua hauna mtu hapo..ukitongoza utakataliwa.
utoto huo kuchambua chambua kila kitu... hakuna formula ya haya mambo mzee
 
Akikuomba vocha ya 5000 mpe ya 10000

Pesa ieshimiwe tu
 
Ukijifanya kuwaelewa wanawake utafeli. Anaweza akainya hyo soda yako na akakukataa kabisa.
 
Hii ni theory yangu nimeiwaza kichwani, sijajua kama ina efficiency ya walau asilimia 98% ya kutoa accurate results:

Mfano umempenda mdada ambaye unaishi naye mtaa mmoja, college moja, darasa moja n.k mchunguze anapenda kinywaji gani especially soda za take away, mfano mdada anapenda Kunywa sprite, siku unaongea naye wewe nunua take away ya sprite, uinywe mbele yake halafu umpe chupa hiyo hiyo naye ainywe, au muulize umnunulie soda gani akisema sprite, nunua sprite moja, ipige tarumbeta hapo mbele yake halafu umpe anywe. Mdada hatojua kuwa unampima

Akikataa kushea chupa ya soda na wewe, kwa gia ya kwamba umnunulie mpya, jua hauna mtu hapo..ukitongoza utakataliwa.
Hygien imekaaje hapo... yaaani ashee tu na wewe.. kama una ugonjwa?
 
Nilifikiri kuna points za maana, uzi wa kipumbavu sana
 
Unakuta kidem kina njaa zake unajifanya kununua unampa anapiga vizur tu na hakuna kitu kitaendelea kama ulivyosema maeneo kama college vina njaa sana nawe wenda uko college 1yr ndo unataka utumie gear hio mkuu theory yenyewe ni mpya ngj tusubr mrejesho 😀 maisha ya utoto raha sana 😀😀
 
Hii ni theory yangu nimeiwaza kichwani, sijajua kama ina efficiency ya walau asilimia 98% ya kutoa accurate results:

Mfano umempenda mdada ambaye unaishi naye mtaa mmoja, college moja, darasa moja n.k mchunguze anapenda kinywaji gani especially soda za take away, mfano mdada anapenda Kunywa sprite, siku unaongea naye wewe nunua take away ya sprite, uinywe mbele yake halafu umpe chupa hiyo hiyo naye ainywe, au muulize umnunulie soda gani akisema sprite, nunua sprite moja, ipige tarumbeta hapo mbele yake halafu umpe anywe. Mdada hatojua kuwa unampima

Akikataa kushea chupa ya soda na wewe, kwa gia ya kwamba umnunulie mpya, jua hauna mtu hapo..ukitongoza utakataliwa.
Kwa fikra hizi wewe utatapeliwa sana na wanawake…
 
Hii ni theory yangu nimeiwaza kichwani, sijajua kama ina efficiency ya walau asilimia 98% ya kutoa accurate results:

Mfano umempenda mdada ambaye unaishi naye mtaa mmoja, college moja, darasa moja n.k mchunguze anapenda kinywaji gani especially soda za take away, mfano mdada anapenda Kunywa sprite, siku unaongea naye wewe nunua take away ya sprite, uinywe mbele yake halafu umpe chupa hiyo hiyo naye ainywe, au muulize umnunulie soda gani akisema sprite, nunua sprite moja, ipige tarumbeta hapo mbele yake halafu umpe anywe. Mdada hatojua kuwa unampima

Akikataa kushea chupa ya soda na wewe, kwa gia ya kwamba umnunulie mpya, jua hauna mtu hapo..ukitongoza utakataliwa.

Kwa mtu mstaarabu na anayejali afya, hatakubali kunywa, hata kama anakupenda, labda ukutane na mlafi ndiye atakubali kunywa.
 
Ukimpenda mwanamke mtongoze achana na maigizo akikubali jengeni penzi lenu akikataa kapende kwingine.
 
Mmejuana tu mtaani, Chuoni, Darasani... Hajui afya yako, je kama unaCorona au magonjwa yanayoambukizwa kwa body fluid alafu unataka uweke Domo lako kwenye chupa kisha naye anywe... Kuna mwingine anaweza kukupenda ila asifanye michezo ya kipuuzi kama hiyo... Acha kubet mapenzi kijana, ni vyema kama una pesa ya ziada nunua kila mtu chake, hapo atakuheshimu kuliko kufosi kushea vinywaji
 
Back
Top Bottom