Jinsi ya kumwandaa mwanamke kisaikolojia kwenye harakati za kula "chakula cha usiku"

Jinsi ya kumwandaa mwanamke kisaikolojia kwenye harakati za kula "chakula cha usiku"

Hemedy Jr Junior

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2023
Posts
915
Reaction score
1,082
Acha pupa/Uharaka

• Mtoto wakike wala usimwarakishe. Ukifika chumbani(akafika chumbani) kwanza (kumbatianeni na mbusu pia mnongoneze. Kwa sauti ya mahaba ya chumbani, mwambie nakupenda.

• Mpeleke taaratibu kitandani, akishafika (kama una zawadi unaweza mgeiya yoyte ile iwe zawadi ya chakula au pambo we mpe ni muda wake uku maneno matamu.

• Uwanja ni wenu mkitaka kuvua jezi ni nyie mkiamua kubaki nazo mtavua baadae sawa, aya hapo mtaanza cheza na taaratibu muangalie usoni nadhani achomoki mdomo kwa mdomo, mate kwa mate.

Mkono kwa kiuno uku ukijaribu kupenya kwa kusearch chuchu -we ghairi mshike kichwa chukua. Nae atajiongeza aanze kupapasa kifua chako. Uku akichezea gadeni zako kama uko nazo ak.

Karibu sana kwa swali

Asante
 
Hii mbinu inakuwa applied kwa beginners

Malaya hataki mapenzi yako anataka pesa zako

Bahati mbaya zaidi population kubwa hapa TZ ipo mikononi mwa malaya

So conclusion.....tafuta pesa... hautosumbua kiuno chako sana kum-bakisha mtu
 
Hii mbinu inakuwa applied kwa beginners

Malaya hataki mapenzi yako anataka pesa zako

Bahati mbaya zaidi population kubwa hapa TZ ipo mikononi mwa malaya

So conclusion.....tafuta pesa... hautosumbua kiuno chako sana kum-bakisha mtu
Me pesa sio kipaumbel3 maana siko na muda na malaya ndugu. Nasijawai nunua malaya. Na huwezi nunua mapenzi sema unanunua ngono
 
Me pesa sio kipaumbel3 maana siko na muda na malaya ndugu. Nasijawai nunua malaya. Na huwezi nunua mapenzi sema unanunua ngono
Sikuizi asilimia kubwa ya wanawake Malaysia

Kuna wanaokaa site km bar,casino na barbarians

Halafu kuna hili kundi kubwa ambalo ni free bargaining......wanachuo,wake za watu, masingle mother
 
Andika heading vizuri mkuu, isomeke "jinsi ya kumuandaa mwanamke 6*6"

Me nilifungua uzi nilidhani Ni jinsi ya kumuandaa kuku,maana namnyonyoa manyoya hapa wa kienyeji,Kumbe Ni hadithi za zamani nilizozizoea.

Hao hawanaga formula,akikupenda k inalowana hata kabla hujamshika,na atafika kileleni kwa romance tu.Ila asipokufeel utapaka mpaka mate na bado atakuwa hasikii chochote.

Alafu andika kwa herufi ndogo,hiyo mierufi mukubwa ni Kama unatufokea.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Andika heading vizuri mkuu, isomeke "jinsi ya kumuandaa mwanamke 6*6"

Me nilifungua uzi nilidhani Ni jinsi ya kumuandaa kuku,maana namnyonyoa manyoya hapa wa kienyeji,Kumbe Ni hadithi za zamani nilizozizoea.

Hao hawanaga formula,akikupenda k inalowana hata kabla hujamshika,na atafika kileleni kwa romance tu.Ila asipokufeel utapaka mpaka mate na bado atakuwa hasikii chochote.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Sema fresh pacha😁😁
 
Andika heading vizuri mkuu, isomeke "jinsi ya kumuandaa mwanamke 6*6"

Me nilifungua uzi nilidhani Ni jinsi ya kumuandaa kuku,maana namnyonyoa manyoya hapa wa kienyeji,Kumbe Ni hadithi za zamani nilizozizoea.

Hao hawanaga formula,akikupenda k inalowana hata kabla hujamshika,na atafika kileleni kwa romance tu.Ila asipokufeel utapaka mpaka mate na bado atakuwa hasikii chochote.

Alafu andika kwa herufi ndogo,hiyo mierufi mukubwa ni Kama unatufokea.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Kuna watu hawana miwani bhana
 
Back
Top Bottom