Jinsi ya kung'oa demu wa mkoani kwa haraka : kwa wewe mgeni kutoka mjini daslamu

Jamaa anaongelea zama za Ngoswe πŸ˜‚ wakati sikuhizi ni mikwara ya noti tu.

Watajuaje sasa kama una hela mkuu? Utakuwa unatembea na mfuko wa hela au bank receipt?

Mikoani wanamjua mtu mwenye hela kwa kuangalia vigezo vingi.

Kwa mfano usukumani huko mwanza Shinyanga Tabora na Simiyu ukiwa mnene tu na kitambi wanajua una hela.

Wengi pia wana angalia mavazi.

Kuvaa mavazi fulani yanayo onyesha kama mavazi ya gharama plus crazy colours unapeleka ujumbe kwamba u love yourself and u have some money to spend.

Crazy colours kwa sababu watu wa mikoani wapo so much obsessed with crazy colours . So be like ur audience to attract ur audience. Mfano wa mavazi hayo ni kama kwenye picha niliyo i attach
 

Attachments

  • Screenshot_20231225-070817.png
    287.7 KB · Views: 3
Jamaa anaongelea zama za Ngoswe πŸ˜‚ wakati sikuhizi ni mikwara ya noti tu.
Nyie endeleeni kusema naongelea zama za ngoswe wakati mwenzenu nakula papuchi zinazo bana kwa kutumia mbinu hizo hizo mnazo ziita za zama za ngoswe
 
Sisi ndio watu wa kwanza kustaarabika ndio maana hakuna mauaji mara fulani kamchoma fulani visu,mara biashara za dhulma huku hazipo ndio maana marehemu kweka alijikuta ni yeye pekeyake mwenye michezo hiyo hapa mjini na watu wakamsusa
sawa mkuu, hata mm tangia mwanzo nimekuambia nyie ndo watu wa kwanza kustaarabika na kuwa wajanja, sijui hapa unakazia nililosema? hata sijui.
 
Nyie endeleeni kusema naongelea zama za ngoswe wakati mwenzenu nakula papuchi zinazo bana kwa kutumia mbinu hizo hizo mnazo ziita za zama za ngoswe
Sawa kabisa mkuu kila mtu na mbinu yake inayofanya kazi
 
Hela huna haja ya kubeba reciept ni jinsi ambavyo upo composed tu na kujiamini. Ukiwa na hela ile attitude ya kubembeleza huwa inakuwa haipo but command lines zenye ujazo ndio huchukua nafasi. Kauli za mamlaka ambapo ukitikiswa kidogo chechi za backup zipo watu wanajua you mean business.
 
Reactions: EEX
Huyo mwanamke utakutana nae wapi?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna mikoa ni wahuni wamejanjaruka sikuhizi, wakishajua we mgeni kutoka mjini utawekewa mtego wa uongo na kweli (mke wa mtu/mwanafunzi) ulengeshwe uingie kingi wakufumanie wakupige pesa. Kuna uzi humu kuhusu hiyo tahadhari.

Bro tuendelee kutoa elimu kwa hawa vijana. Wenyewe wanafanya mambo bila kuwa na tahadhari au hata umakini. Ona sasa wanachofundishana, ni ujinga tu. Watu tumeona wakipata madhara kwa kuparamia wanawake wasio wajua. Isitoshe kwa sasa maambukizi ya ukimwi yako katika viwango vya juu sana. Sababu ni kuwa hawa vijana hawachukui tahadhari, pia wizara iko kimya tu. Hakuna kupiga kampeni dhidi ya ukimwi au matangazo ya namna ya kujikinga. Ni shida sana. Tukiwa na dependent wengi wa dawa ni changamoto. Siku ugavi wa dawa ukisimama. Kutakuwa na madhara makubwa sana. Maana ikumbukwe Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ hakuna viwanda vya ARV. Hata Afrika tuna viwanda visivyozidi vitatu. Na vyote vinazalisha under licence.
 
Mchawi pesa tu....
Hata kama mshamba wa mkoani aje town, MCHAWI PESA TU.
MTU MWENYE PESA KUNAJINSI ANANUKIA
MTU MWENYE PESA ATA AKAVAA MAGAGULA ANAONEKANA TU ANA PESA.

Everyday struggle - Notorious B.I.G ft Frank Sinatra
 
We mwenyewe umezaliwa mwaka 93 mkuu hujui what was going on in the 90s.

But u know what? Baadhi ya maeneo hapa Tanzania bado wapo miaka ya 80 na 90 kiakili na kifikra.
mm babu yako eti ...

-Hapana siyo kwa kizazi hiki siku hizi hadi wamasai tuliozoea kwamba wanaishi na wanyama, wapo huku mjini wakipiga umachinga wa yebo yebo za kichina wanadai i "Ngosi ojino"
 
Wewe huwezi ishi nchi ya magovi kama Ukuryani, Uhayani, Ujaluoni na Unyakyusani maana utaonewa wivu mno kwa kuwa umetaahiriwa na kina mama kukugombania kama lulu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…