Jinsi ya kununua ardhi kwenye Metaverse (Decentraland)

mkuu viwanja vipo usa au vya kufikirika? nikitaka kuendeleza na sio kuuza ina kuwaje? kuna huduma ya kwenda kuona viwanja kabla ya kununua? ktk viwanja kuna umeme na maji? km ngapi kutoka lami? au viwanja fikirishi?
 
mkuu viwanja vipo usa au vya kufikirika? nikitaka kuendeleza na sio kuuza ina kuwaje? kuna huduma ya kwenda kuona viwanja kabla ya kununua? ktk viwanja kuna umeme na maji? km ngapi kutoka lami? au viwanja fikirishi?
Hio picha kwny ID yako imejieleza vzr.
 
Hio picha kwny ID yako imejieleza vzr.
IMANI YA CHAMA
Binadamu wote ni sawa; Kila mtu ana stahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake; Ujamaa na kujitegemea ndiyo njia pekee ya kujenga jamii ya watu walio sawa na huru
 
Hahaaaaaa Man this world is insane. Unanunua ardhi ambayo haipo duuuh
 
Labda kwa kuwaelimisha wale wenye akili ya shit hole countries...

Ni hivi hizo virtual land zinaweza kutumika kutengeneza mandhari ya kidigitali yenye muonekano unaoweza kutumika kwenye games hizi mnazocheza kila siku , na hata hamjui zimetengenezwaje...

EuroTruck, Grand Theft Auto au Fortnite......hayo mandhari ya majumba, barabara, na ma korobwezo yote...

Wale Game developer wa kibongo labda watatueleza zaidi................!!!
 
Jibu hoja mkuu
Huu ni ukichaa kama ukichaa mwingine eti mtu anatoa milions of dollars kununua ardhi kwenye metaverse karibu na snoop.
Nft bubble ipo siku itapasuka wajanja watakuwa washaondoka na utajiri
 
Huu ni ukichaa kama ukichaa mwingine eti mtu anatoa milions of dollars kununua ardhi kwenye metaverse karibu na snoop.
Nft bubble ipo siku itapasuka wajanja watakuwa washaondoka na utajiri
Hahahaaa! Mkuu huna imani kabisa na NFT?
 
Hahahaaa! Mkuu huna imani kabisa na NFT?
Unajua mkuu now tunapoingia web 3 watu wanatafta njia ya kutengeneza pesa. Katika hozo harakati kuna zitakazofanikiwa na kuna sitakazofail.
Hii ilitokea pia mwanzo wa internet watu waliona kuna potential lakini how to monetize it. Kulikuwa na idea funny sana na ziliwork kwa mida mfupi zikafa. Kila mtu alikuwa anajaribu anachoona. Kuna makampuni mengi yalivuma kwa muda mfupi yakafa.
Kuna mambo mengi kwenye NFT na metaverse hayamake sense. Bila shaka ni race ya kumonetize web 3 kama ilivyokiwa mwanzoni mwa web 2
 
Kipindi insane bitcoin luna wenzako waliandika kama ulichoandika. Hakuna kikomo Kenya kuyatafuta maarifa.
Bit coins na forex and alike huko hapana ain't my things nyie endeleeni na fantasy zenu
 
Naona hii project imefail japo meta wameweka mpunga mrefu sana. Takwimu zinaonyesha watu wengi wakiingia hawarudi na maeneo mengi hayajatembelewa na inatabiriwa kuwa biashara nyingi za huko zitakuwa zimefungwa by 2025.
Huenda ni wazo zuri lakini approach haikuwa sahihi same thing kilichotokea mwanzo wa internet watu walikuwa wanajaribu kila kitu.
 
Ikigunduliwa VR gear set iliyokamilika ambayo haina usumbufu katika viewing angles, viewing quality na the problem with locomotion...Hii itapaa tena.
Na wale walionunua saiv kwa dola 3 watauza kwa millions of dollars
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…