Kichwa cha panz
Senior Member
- Dec 22, 2010
- 132
- 29
unapenda dawa za kichina eeeh? hongera! najua ukifanikiwa utaanza kuulizia na dawa ya kuongeza makalio umpelekee mkeo au uitumie mwenyewe!!
Hamna majani ..
Sex is perfect exercise ..
Changanya mdalasini kijiko kimoja, pilipili manga nusu kijiko, iliki unga nusu kiijiko, tangawizi unga nusu kijiko, ukwaju fumba, Chai i Kilimanjaro kijiko kimoja, mwarubaini maji nusu kikombe na pilipili kichaa nusu kikombe. Weka maji vikombe viwili chemsha na kunywa kijiko kikubwa kutwa mara mbili.:deadhorse:
Achana na mavitu ya kichina utajapata cancer ya utumbo bure we CHUKUA MDALASINI VIJIKO 2 CHANGANYA NA ASALI MBICHI VIJIKO 2 KULA MCHANGANYIKO HUO ASUBUH KABLA HUJAPIGA MSWAKI NA JIONI KABLA HUJALA TUMBO LITAPUNGUA HARAKA NA HUTAPATA MADHARA YYT ZAID YA KUIMARISHA KINGA YA MWILI. kila la kheri
Acha ubishi,mie mwenyewe nilishatafuta hayo majani ila kabla ya kutumia nikam consult Dr kwanza akasema hayo majani sio ya kujinywea tu lazima ujue ingredients zilizotumika na blood group lako km vnaendana na mambo mengi tu ambayo siyakumbuki so acha ubishi ndugu na hyo mijani ya kichinaMie nimeomba nielekezwe wapi naweza pata hizo majani ya chai.hayo ya jogging,maji ya moto sio ninachokitaka.
basi mjomba,inatosha!hahahaaAcha upuzi wako wakati unaona hujapelekwa beg party?? Anyway cha msingi subiri mkeo apate serengeti boys ukimfumania tuu kitambii automatic kitaisha , pia wewe unaonekana mrafi sana punguza kula kula ovyo kwa mfano juz tumetoka dom njian jamaa mmoja ni afisa wa serikali alitoka dom amekunywa mchemsho wa kuku na chapati tatu ,soda na maji ya uhai lita 1 ,gairo kala chips na mishikaki 5 + soda+maji , msamvu kala juice ya 1 lta ya azam na biscut ya choclate, mizani ya mikese kanunua korosho za buku 3 ,chalinze kanununua mahind ya kuchoma na pepsi baridi wakati tunafika maili moja huyu mheshimiwa kanununua mayai 2 na maji hiv wana jf kweli vitambi vitapungua??
Mimi nilianza kutembea 7miles kama miezi mitatu iliyopita. Nilikuwa sijui hii shule na wala sijawahi kusoma ni jinsi gani zoezi la kutembea lianafanya kazi.. ILA NIMEFANIKIWA KUKATA 12POUNDS KWA MIEZI MITATU.. NA GRAPH INAENDELEA KATIKA MWENDO CHANYA.. NIA NI KUKATA 25POUNDS
Kaka angalie usije kuwa soko!!!Tumia Forever Living products kama Aloe Vera Gel ya kunywa na kuna vidonge maalum tunavyo.
Approved by World Scientific Laboratory, no side effects.
Mimi mwenyewe nimetumia
Mimi ni Approved Distibuter.
Na wewe pia unaweza kuwa distributor kama unapenda
Visit traveltipsam.blogspot.com
or NI PM
Acha upuzi wako wakati unaona hujapelekwa beg party?? Anyway cha msingi subiri mkeo apate serengeti boys ukimfumania tuu kitambii automatic kitaisha , pia wewe unaonekana mrafi sana punguza kula kula ovyo kwa mfano juz tumetoka dom njian jamaa mmoja ni afisa wa serikali alitoka dom amekunywa mchemsho wa kuku na chapati tatu ,soda na maji ya uhai lita 1 ,gairo kala chips na mishikaki 5 + soda+maji , msamvu kala juice ya 1 lta ya azam na biscut ya choclate, mizani ya mikese kanunua korosho za buku 3 ,chalinze kanununua mahind ya kuchoma na pepsi baridi wakati tunafika maili moja huyu mheshimiwa kanununua mayai 2 na maji hiv wana jf kweli vitambi vitapungua??
hahaha,huo sio ulaji ni ulafi.acha upuzi wako wakati unaona hujapelekwa beg party?? Anyway cha msingi subiri mkeo apate serengeti boys ukimfumania tuu kitambii automatic kitaisha , pia wewe unaonekana mrafi sana punguza kula kula ovyo kwa mfano juz tumetoka dom njian jamaa mmoja ni afisa wa serikali alitoka dom amekunywa mchemsho wa kuku na chapati tatu ,soda na maji ya uhai lita 1 ,gairo kala chips na mishikaki 5 + soda+maji , msamvu kala juice ya 1 lta ya azam na biscut ya choclate, mizani ya mikese kanunua korosho za buku 3 ,chalinze kanununua mahind ya kuchoma na pepsi baridi wakati tunafika maili moja huyu mheshimiwa kanununua mayai 2 na maji hiv wana jf kweli vitambi vitapungua??
sijui yanapatikana wapi ila nakushauri usitumie sababu utaishia kuharisha tu.tumia maji moto glass nne kila siku uamkapo kabla hujatia kitu mdomoni,hata mswaki usipige,kunywa hayo maji kisha uaweza kuswaki. Yatakusaidia sana.namefanya hivyo na sasa naona majibu yake.mwanzoni yatakuchefua lakini baadae utazoea. Yangu ni hayo tu.wakuu naomba kujua wapi naweza kupata majani ya chai kwa ajili ya kupunguza kitambi.
Nasikia kuna chai za kichina ukinywa tumbo linapungua.
Nipo jijini dsm.