Jinsi ya kuondoa au kupunguza mafuta tumboni kwa wanawake (Vitambi vya kike)

Jinsi ya kuondoa au kupunguza mafuta tumboni kwa wanawake (Vitambi vya kike)

unapenda dawa za kichina eeeh? hongera! najua ukifanikiwa utaanza kuulizia na dawa ya kuongeza makalio umpelekee mkeo au uitumie mwenyewe!!

Kama unakuwa huna la kujibu au hujui cha kujibu ni bora ukabaki kimya kuliko kuonyesha pumba zako na ufinyu wa uelewa!
 
Hamna majani ..
Sex is perfect exercise ..

Una uhakika hamna hayo majani? Sex utafanya mara ngapi? kila kitu kina kiasi hata hiyo sex ina kiasi sio ndo itumike kama dawa... Usiendekeze ngono ndugu yangu nayo si nzuri ikizidi
 
Changanya mdalasini kijiko kimoja, pilipili manga nusu kijiko, iliki unga nusu kiijiko, tangawizi unga nusu kijiko, ukwaju fumba, Chai i Kilimanjaro kijiko kimoja, mwarubaini maji nusu kikombe na pilipili kichaa nusu kikombe. Weka maji vikombe viwili chemsha na kunywa kijiko kikubwa kutwa mara mbili.:deadhorse:

Du! AU siriaz?
 
Ok, anaetaka anitumia email yake. Nitamtumia maelezo. Apime mwenyewe. kama atahitaji atapatiwa." Akili za kuambiwa changanya na za kwako"

Hivyo wale wanaotaka maelezo nitawapa, ili wachuje wenyewe kama watahitaji au la
 
NENDA PALE UBUNGO PLAZA NYUMA KARIBU NA KANISA LA KKT KUNA DUKA LA TIENS ULIZA HII KITU:


TIENS Anti Lipid Tea and Slim Tea

Want to lose weight by only the slimming tea

And it is a treasure for Smokers

This tea helps fight poor health and enhances the general well being of all the organs. Detoxification enhances your health. This tea is a good detoxifier and it enhances the ability of the liver to cleanse out toxins.
Due to the amount of liquid in our bodies, this tea is easily absorbed and the medicinal functions show up faster. The tea is nicknamed “Miracle Tea” or “Magic Tea” by the public, because of the functions it performs in their bodies.

FUNCTIONS
  • It breaks and cleanses cholesterol from the blood vessels
  • It fights free radicals and detoxifies the body
  • It invigorates the spleen and the stomach, promoting healthy digestion and efficient waste excretion
  • It helps with lowering lipids
  • It reduces fever
  • It boosts the immune system and internal energy levels
  • It helps the central nervous system to function properly
  • It helps relieve alcoholism and its effects
  • It has laxative properties, making bowel movements easy
  • It is very effective in treating stomach ulcers
  • It helps fight viral and bacterial infections
 
Achana na mavitu ya kichina utajapata cancer ya utumbo bure we CHUKUA MDALASINI VIJIKO 2 CHANGANYA NA ASALI MBICHI VIJIKO 2 KULA MCHANGANYIKO HUO ASUBUH KABLA HUJAPIGA MSWAKI NA JIONI KABLA HUJALA TUMBO LITAPUNGUA HARAKA NA HUTAPATA MADHARA YYT ZAID YA KUIMARISHA KINGA YA MWILI. kila la kheri

Dada Msoffe hiyo dawa ni stimulant ya ikulu au unafanya kwa kujua au humtakii mema mkewe huyu jamaa na kama hana mke unamtafutia mwenzio kesi ya ubakaji.
 
Mie nimeomba nielekezwe wapi naweza pata hizo majani ya chai.hayo ya jogging,maji ya moto sio ninachokitaka.
Acha ubishi,mie mwenyewe nilishatafuta hayo majani ila kabla ya kutumia nikam consult Dr kwanza akasema hayo majani sio ya kujinywea tu lazima ujue ingredients zilizotumika na blood group lako km vnaendana na mambo mengi tu ambayo siyakumbuki so acha ubishi ndugu na hyo mijani ya kichina
 
Acha upuzi wako wakati unaona hujapelekwa beg party?? Anyway cha msingi subiri mkeo apate serengeti boys ukimfumania tuu kitambii automatic kitaisha , pia wewe unaonekana mrafi sana punguza kula kula ovyo kwa mfano juz tumetoka dom njian jamaa mmoja ni afisa wa serikali alitoka dom amekunywa mchemsho wa kuku na chapati tatu ,soda na maji ya uhai lita 1 ,gairo kala chips na mishikaki 5 + soda+maji , msamvu kala juice ya 1 lta ya azam na biscut ya choclate, mizani ya mikese kanunua korosho za buku 3 ,chalinze kanununua mahind ya kuchoma na pepsi baridi wakati tunafika maili moja huyu mheshimiwa kanununua mayai 2 na maji hiv wana jf kweli vitambi vitapungua??
basi mjomba,inatosha!hahahaa
 
Mimi nilianza kutembea 7miles kama miezi mitatu iliyopita. Nilikuwa sijui hii shule na wala sijawahi kusoma ni jinsi gani zoezi la kutembea lianafanya kazi.. ILA NIMEFANIKIWA KUKATA 12POUNDS KWA MIEZI MITATU.. NA GRAPH INAENDELEA KATIKA MWENDO CHANYA.. NIA NI KUKATA 25POUNDS
 
Mimi nilianza kutembea 7miles kama miezi mitatu iliyopita. Nilikuwa sijui hii shule na wala sijawahi kusoma ni jinsi gani zoezi la kutembea lianafanya kazi.. ILA NIMEFANIKIWA KUKATA 12POUNDS KWA MIEZI MITATU.. NA GRAPH INAENDELEA KATIKA MWENDO CHANYA.. NIA NI KUKATA 25POUNDS

safi Sirghanam, miezi mitatu si mchezo!!!, ikiwa utahitaji maelezo na msaada zaidi unaweza kunitumia PM, but keep it up.
 
Tumia Forever Living products kama Aloe Vera Gel ya kunywa na kuna vidonge maalum tunavyo.

Approved by World Scientific Laboratory, no side effects.

Mimi mwenyewe nimetumia

Mimi ni Approved Distibuter.

Na wewe pia unaweza kuwa distributor kama unapenda

Visit traveltipsam.blogspot.com

or NI PM
Kaka angalie usije kuwa soko!!!
 
Nadhaani watu mnalazimisha na mnapena vitu vya haraka haraka, why msifanye mazoezi lakini???hiv why mtuutumie dawa za kichina na unajwa kabisa kwamb sio nzuri nahazifai kabisa??mpaka utumie dawa?nenda gym kaue hicho kitambi na tafuta sx pack na achana na bia na kitimoto, zitakusaidia sana tena sana
 
punguza kula fanya mazoezi na ukiweza kunywa maziwa ya mgando sana and mayai ya kuchemshwa vinasaidia kwa asilimia80
 
Acha upuzi wako wakati unaona hujapelekwa beg party?? Anyway cha msingi subiri mkeo apate serengeti boys ukimfumania tuu kitambii automatic kitaisha , pia wewe unaonekana mrafi sana punguza kula kula ovyo kwa mfano juz tumetoka dom njian jamaa mmoja ni afisa wa serikali alitoka dom amekunywa mchemsho wa kuku na chapati tatu ,soda na maji ya uhai lita 1 ,gairo kala chips na mishikaki 5 + soda+maji , msamvu kala juice ya 1 lta ya azam na biscut ya choclate, mizani ya mikese kanunua korosho za buku 3 ,chalinze kanununua mahind ya kuchoma na pepsi baridi wakati tunafika maili moja huyu mheshimiwa kanununua mayai 2 na maji hiv wana jf kweli vitambi vitapungua??

Sidhani toka mwaka huu uanze nimecheka hivi mwe!
 
acha upuzi wako wakati unaona hujapelekwa beg party?? Anyway cha msingi subiri mkeo apate serengeti boys ukimfumania tuu kitambii automatic kitaisha , pia wewe unaonekana mrafi sana punguza kula kula ovyo kwa mfano juz tumetoka dom njian jamaa mmoja ni afisa wa serikali alitoka dom amekunywa mchemsho wa kuku na chapati tatu ,soda na maji ya uhai lita 1 ,gairo kala chips na mishikaki 5 + soda+maji , msamvu kala juice ya 1 lta ya azam na biscut ya choclate, mizani ya mikese kanunua korosho za buku 3 ,chalinze kanununua mahind ya kuchoma na pepsi baridi wakati tunafika maili moja huyu mheshimiwa kanununua mayai 2 na maji hiv wana jf kweli vitambi vitapungua??
hahaha,huo sio ulaji ni ulafi.
 
wakuu naomba kujua wapi naweza kupata majani ya chai kwa ajili ya kupunguza kitambi.
Nasikia kuna chai za kichina ukinywa tumbo linapungua.
Nipo jijini dsm.
sijui yanapatikana wapi ila nakushauri usitumie sababu utaishia kuharisha tu.tumia maji moto glass nne kila siku uamkapo kabla hujatia kitu mdomoni,hata mswaki usipige,kunywa hayo maji kisha uaweza kuswaki. Yatakusaidia sana.namefanya hivyo na sasa naona majibu yake.mwanzoni yatakuchefua lakini baadae utazoea. Yangu ni hayo tu.
 
Back
Top Bottom