Jinsi ya kuondoa au kupunguza mafuta tumboni kwa wanawake (Vitambi vya kike)

Jinsi ya kuondoa au kupunguza mafuta tumboni kwa wanawake (Vitambi vya kike)

Kitambi, unene, utipwatipwa au uzito kupita kiasi ni tatizo linalosumbuwa watu wengi karibu kote duniani. hata mimi nimewahi kuwa na kitambi na kusema ukweli kilinisumbuwa sana lakini sasa sina kitambi tena na hakitanipata tena. Mtaani kila mmoja ana majibu yake. Mi nilifanya karibu kila aina ya mazoezi, kila aina ya kufuatilia chakula, lakini bado kitambi hakikunitoka. Nilifanyaje sasa?, mwili umebuniwa kujiendesha wenyewe, hauhitaji askari au risasi au mabomu kutoka kwingine, mwili wenyewe!. Fanya hivi leo, pima uzito wako na uandike tarehe na uzito na uhifadhi. Kuanzia kesho tembea kwa miguu lisaa limoja bila kusimama kutoka kituo A mpaka B, tembea spidi tu ya kawaida usijitese ili mradi bila kupumzika toka A mpaka B. Unapotembea kwa miguu saa moja bila kusimama unakuwa umekiamsha kimeng'enya (enzyme) cha kuchoma mafuta mwilini kiitwacho 'lipase' ambacho huamshwa kuanza kazi hiyo baada ya mwendo wa miguu wa saa moja na hubaki kikichoma mafuta kwa masaa 12. kwahiyo ikiwa utatembea lisaa limoja asubuhi na jingine jioni utakuwa umekiamsha kimeng'enya hiki kufanya kazi kwa masaa 24 (siku nzima)!! na kwa kuongeza, kimeng'enya hiki huondoa pia taka za kolesteroli. kwa hiyo kiamshe! kiamshe! kiamshe!. kumbuka pia kunywa maji glasi 2 (ml 500) kila nusu saa kabla ya kula chochote, punguza vyakula vya kukaanga katikati ya mafuta kama vile chips au maandazi na vingine vinavyopikwa kwa staili hiyo. Anza kesho kutembea na baada ya wiki mbili nitafute 0769779533 na usisahau kusoma: uzito, utipwatipwa/unene kupita kiasi | maajabu ya maji. ukifanikiwa wajurishe wengine.


mkuu umetoa ushauri wa maana sana,mimi nilikuwa na kitambi na hapa ninapoishi kuna mlima mkali,kila siku asubuhi na jioni nilikuwa naenda kupanda ule mlima na nilikuwa natumia lisaa limoja kupanda tu
sina kitambi kabisa na nasema wazi shemeji yenu ndiye anayefaidi tukiwa kwenye ile shunguli yetu
huyu jamaa aliyeomba ushauri afate hilo
 
Acha upuzi wako wakati unaona hujapelekwa beg party?? Anyway cha msingi subiri mkeo apate serengeti boys ukimfumania tuu kitambii automatic kitaisha , pia wewe unaonekana mrafi sana punguza kula kula ovyo kwa mfano juz tumetoka dom njian jamaa mmoja ni afisa wa serikali alitoka dom amekunywa mchemsho wa kuku na chapati tatu ,soda na maji ya uhai lita 1 ,gairo kala chips na mishikaki 5 + soda+maji , msamvu kala juice ya 1 lta ya azam na biscut ya choclate, mizani ya mikese kanunua korosho za buku 3 ,chalinze kanununua mahind ya kuchoma na pepsi baridi wakati tunafika maili moja huyu mheshimiwa kanununua mayai 2 na maji hiv wana jf kweli vitambi vitapungua??
<br />
<br />
Ndio maana JF NI PAHALA NISIPOPENDA KUKOSA, umevunja mbavu zangu.
 
Eeeee,huyu tena
Acha upuzi wako wakati unaona hujapelekwa beg party?? Anyway cha msingi subiri mkeo apate serengeti boys ukimfumania tuu kitambii automatic kitaisha , pia wewe unaonekana mrafi sana punguza kula kula ovyo kwa mfano juz tumetoka dom njian jamaa mmoja ni afisa wa serikali alitoka dom amekunywa mchemsho wa kuku na chapati tatu ,soda na maji ya uhai lita 1 ,gairo kala chips na mishikaki 5 + soda+maji , msamvu kala juice ya 1 lta ya azam na biscut ya choclate, mizani ya mikese kanunua korosho za buku 3 ,chalinze kanununua mahind ya kuchoma na pepsi baridi wakati tunafika maili moja huyu mheshimiwa kanununua mayai 2 na maji hiv wana jf kweli vitambi vitapungua??
<br />
<br />
 
Achana na mavitu ya kichina utajapata cancer ya utumbo bure we CHUKUA MDALASINI VIJIKO 2 CHANGANYA NA ASALI MBICHI VIJIKO 2 KULA MCHANGANYIKO HUO ASUBUH KABLA HUJAPIGA MSWAKI NA JIONI KABLA HUJALA TUMBO LITAPUNGUA HARAKA NA HUTAPATA MADHARA YYT ZAID YA KUIMARISHA KINGA YA MWILI. kila la kheri
 
Thanx,jf the best skul
Achana na mavitu ya kichina utajapata cancer ya utumbo bure we CHUKUA MDALASINI VIJIKO 2 CHANGANYA NA ASALI MBICHI VIJIKO 2 KULA MCHANGANYIKO HUO ASUBUH KABLA HUJAPIGA MSWAKI NA JIONI KABLA HUJALA TUMBO LITAPUNGUA HARAKA NA HUTAPATA MADHARA YYT ZAID YA KUIMARISHA KINGA YA MWILI. kila la kheri
<br />
<br />
 
unapopatwa na tatizo, kwanza fikiri wewe binafsi unaweza kufanya nini kuondokana na tatizo hilo kabla ya kumtafuta daktari. unaweza kuacha kwanza soda ya aina yeyote, juice yeyote ya kiwandani, punguza vyakula vinavyopikwa katikati ya mafuta mengi staili kama ya chipsi au maandazi, usinywe kahawa au chai ya rangi au kinywaji chochote chenye kaffeina, punguza vyakula vya wanga(carbs) na ule zaidi matunda na mboga za majani (asilimia 80 ya mlo wako wa siku iwe matunda+majani), tembea lisaa limoja bila kusimama kutoka kituo A mpaka B(uwe na saa kabisa),kunywa maji ya kawaida katika joto la kawaida ml 500 kila nusu saa kabla ya kula, usikae muda mrefu katika kiti. mwisho, kajisomee: uzito, utipwatipwa/unene kupita kiasi | maajabu ya maji
 
Acha upuzi wako wakati unaona hujapelekwa beg party?? Anyway cha msingi subiri mkeo apate serengeti boys ukimfumania tuu kitambii automatic kitaisha , pia wewe unaonekana mrafi sana punguza kula kula ovyo kwa mfano juz tumetoka dom njian jamaa mmoja ni afisa wa serikali alitoka dom amekunywa mchemsho wa kuku na chapati tatu ,soda na maji ya uhai lita 1 ,gairo kala chips na mishikaki 5 + soda+maji , msamvu kala juice ya 1 lta ya azam na biscut ya choclate, mizani ya mikese kanunua korosho za buku 3 ,chalinze kanununua mahind ya kuchoma na pepsi baridi wakati tunafika maili moja huyu mheshimiwa kanununua mayai 2 na maji hiv wana jf kweli vitambi vitapungua??

Sasa mkuu huyu akinyamba si tunapata MW 200 kabisa na mgao unaisha?!!! manake hii tena ni hatari sana
 
Ndugu zangu wana jf kama mjuavyo kitambi sio kizuri wala kuendekeza. Miaka ya karibuni tunashuhudia watu wakiburst vitambi wake kwa waume. Na matokeo yake ni maradhi na wengine wameshindwa kutimiziana haja zao za ndoa coz tumbo ni kubwa na linakuwa kero kwa maana ya kukosekana flexibility ya mwili. Hoja yangu naweza kutumia strategy zipi kuondo kabisa kitambi. Sio kupunguza, nataka kifutike kabisa.

Humu kuna wataalam, plz naombeni msaada, kitambi ni kero mno. Gym sometimes ni miyeyusho na hela inapotea bila mafanikio! Niliwai kusoma huku kuwa kuna mtu alikua anaenda gym matokeo yake mwalim wa gym akaanza kumtaka kimapenzi. Kwangu mimi ni changamoto, hainipi shida. What I want is to take off my obesity.

Kama hautaki gym basi option zilizobaki ni hizi :-

- funga ndoa na kicheche
- hamia uswahilini
- ingia jukwaa la siasa JF
- pekua simu ya mwenza wako
- Shabikia Arsenal

Kama hazijatosha nijulishe nikupatie za ziada.
 
Kama hautaki gym basi option zilizobaki ni hizi :-<br />
<br />
- funga ndoa na kicheche<br />
- hamia uswahilini<br />
- ingia jukwaa la siasa JF<br />
- pekua simu ya mwenza wako<br />
- Shabikia Arsenal<br />
<br />
Kama hazijatosha nijulishe nikupatie za ziada.
<br />
<br />
Hapo umeona umeongea cha maana sana yani,duuh
 
Kama hautaki gym basi option zilizobaki ni hizi :-<br />
<br />
- funga ndoa na kicheche<br />
- hamia uswahilini<br />
- ingia jukwaa la siasa JF<br />
- pekua simu ya mwenza wako<br />
- Shabikia Arsenal<br />
<br />
Kama hazijatosha nijulishe nikupatie za ziada.
<br />
<br />/-Naona we ndg yangu uchizi unakuanza mambo ya vitambi na arsenal wapi na wapi kwa taarifa yako babu kakufuka
 
<br />
<br />/-Naona we ndg yangu uchizi unakuanza mambo ya vitambi na arsenal wapi na wapi kwa taarifa yako babu kakufuka

nilijua tu mtavamia! hapa tunatoa tiba bana! kanisubiri jukwaa la sports ukitaka ufafanuzi.
washabiki wa goonerz bana!
 
Kama hautaki gym basi option zilizobaki ni hizi :-

- funga ndoa na kicheche
- hamia uswahilini
- ingia jukwaa la siasa JF
- pekua simu ya mwenza wako
- Shabikia Arsenal

Kama hazijatosha nijulishe nikupatie za ziada.



we mchawi?
 
Kama hautaki gym basi option zilizobaki ni hizi :-

- funga ndoa na kicheche
- hamia uswahilini
- ingia jukwaa la siasa JF
- pekua simu ya mwenza wako
- Shabikia Arsenal

Kama hazijatosha nijulishe nikupatie za ziada.
kwenye red mkuu!
 
Kama hautaki gym basi option zilizobaki ni hizi :-

- funga ndoa na kicheche
- hamia uswahilini
- ingia jukwaa la siasa JF
- pekua simu ya mwenza wako
- Shabikia Arsenal

Kama hazijatosha nijulishe nikupatie za ziada.


Kaka! kaka! kaka! kaka!! utani mwingine angalia????!!!!!
 
Back
Top Bottom