Jinsi ya kuondoa au kupunguza mafuta tumboni kwa wanawake (Vitambi vya kike)

Jinsi ya kuondoa au kupunguza mafuta tumboni kwa wanawake (Vitambi vya kike)

Tumbo kubwa huwa linahifadhi mafuta tu. Tumbo linakera si kwa mwanamke wala mwanaume. Unanunua nguo ya gharama lakini ukiwa na tumbo nguo haipendezi maungoni.

Njia za kuondoa tumbo badala ya mazoezi na diet kuna gastric bypass operation ya kupunguza mfuko wa chakula tumboni.

Kuna kumeza baloon. Hili huvimba tumboni na matokeo yake huwezi kula chakula kingi.

Kufanyiwa operation ya kuondoa mafuta. Liposuction, mafuta yakishaondolewa plastic surgeon inabidi arekebishe ngozi I nayo hang.

Hii ninayoiongelea leo ni tummy massage. Unalala chali na kufanyiwa massage ya tumbo. Zoezi hili huchukua zaidi ya dakika 60. Massage hii huhitaji mchanganyiko wa mafuta ya Vaseline na olive.

Anaefanyiwa ajiandae kwa kuvaa pichu disposable au nappy. Baada ya dakika 60 hali ya haja kubwa hutokea ghafla.

Ukifanya kwa siku saba utaona matokeo.
Gastric bypass.
Big boy wa neighbourhood before na after gastric bypass.
20181114_061626.png


20181114_061652.png


20181114_061611.png
 
Tumbo kubwa huwa linahifadhi mafuta tu. Tumbo linakera si kwa mwanamke wala mwanaume. Unanunua nguo ya gharama lakini ukiwa na tumbo nguo haipendezi maungoni.

Njia za kuondoa tumbo badala ya mazoezi na diet kuna gastric bypass operation ya kupunguza mfuko wa chakula tumboni.

Kuna kumeza baloon. Hili huvimba tumboni na matokeo yake huwezi kula chakula kingi.

Kufanyiwa operation ya kuondoa mafuta. Liposuction, mafuta yakishaondolewa plastic surgeon inabidi arekebishe ngozi I nayo hang.

Hii ninayoiongelea leo ni tummy massage. Unalala chali na kufanyiwa massage ya tumbo. Zoezi hili huchukua zaidi ya dakika 60. Massage hii huhitaji mchanganyiko wa mafuta ya Vaseline na olive.

Anaefanyiwa ajiandae kwa kuvaa pichu disposable au nappy. Baada ya dakika 60 hali ya haja kubwa hutokea ghafla.

Ukifanya kwa siku saba utaona matokeo.
Mbona ushauri wako umeuacha hewani!? Si ungesema huduma hii inapatikana wapi!!? Na gharama zake je!!? Contacts etc
 
Unakula maparachichi majani mayai nyamachoma unaacha pombe mpaka pale utapofikia malengo yako then tizi kidogo...utakua lean faster sana
Hii ndo njia pekee yenye uhakika.... hizo zingne ni mbwembwe tuu hasa hizo massage, pia kibongobongo haiko feasible kabisa.
 
Tumbo kubwa huwa linahifadhi mafuta tu. Tumbo linakera si kwa mwanamke wala mwanaume. Unanunua nguo ya gharama lakini ukiwa na tumbo nguo haipendezi maungoni.

Njia za kuondoa tumbo badala ya mazoezi na diet kuna gastric bypass operation ya kupunguza mfuko wa chakula tumboni.

Kuna kumeza baloon. Hili huvimba tumboni na matokeo yake huwezi kula chakula kingi.

Kufanyiwa operation ya kuondoa mafuta. Liposuction, mafuta yakishaondolewa plastic surgeon inabidi arekebishe ngozi I nayo hang.

Hii ninayoiongelea leo ni tummy massage. Unalala chali na kufanyiwa massage ya tumbo. Zoezi hili huchukua zaidi ya dakika 60. Massage hii huhitaji mchanganyiko wa mafuta ya Vaseline na olive.

Anaefanyiwa ajiandae kwa kuvaa pichu disposable au nappy. Baada ya dakika 60 hali ya haja kubwa hutokea ghafla.

Ukifanya kwa siku saba utaona matokeo.


Hii ni ngumu sana kwa matumbo yetu ya kiafrika labda kwa ngozi nyeupe, ukitaka kuondoa kitambi/unene usiohitajika dawa ni kudeal na cause/kisababishi ambacho mara nyingi ni ulaji wa ovyo, ukifanikiwa kula chakula kulingana na ratio ya mwili wako basi hutaona unene kamwee.
 
Hii ni ngumu sana kwa matumbo yetu ya kiafrika labda kwa ngozi nyeupe, ukitaka kuondoa kitambi/unene usiohitajika dawa ni kudeal na cause/kisababishi ambacho mara nyingi ni ulaji wa ovyo, ukifanikiwa kula chakula kulingana na ratio ya mwili wako basi hutaona unene kamwee.
Hii unafanyiwa na wife kabla hujalala na carbohydrate mwisho saa moja usiku.
 
Hizi ndiyo faida za kuoa, yanayoendelea chumbani ni mengi.
Ngoja nifunge ndoa na huyu Mama Mtoto kisha nione kama atakua tayari kunifanyia Full Body massage ( sio kwa ajili ya kupunguza kitambi lakini )

Pia ungeweka njia nzuri ya kunenepa na kuongeza uzito haraka ingependeza pia
 
Ngoja nifunge ndoa na huyu Mama Mtoto kisha nione kama atakua tayari kunifanyia Full Body massage ( sio kwa ajili ya kupunguza kitambi lakini )

Pia ungeweka njia nzuri ya kunenepa na kuongeza uzito haraka ingependeza pia
Mkuu ukiwa na hela na uwezo wa kula unachotaka unene utakuja tu
 
Back
Top Bottom