Jinsi ya kupakua videos za YouTube | How to download YouTube videos

Jinsi ya kupakua videos za YouTube | How to download YouTube videos

Google "freecorder" afu download,thn install,after finished restart your browser,eg mozilla,ukifungua 2 video za utube esp unayoitaka itakuletea optn ya download thn chuz wht format,thn u r done!enjy
 
download add.on za firefox youtube downloader au download direct ukiwa na maxthon browser

Hii maxthon nna was was nayo sana ni spyware ina upload data bila ruhusa. Nenda windows resource monitor utaona mx.exe inavokula bandwitch
 
Asanteni wote, nazifanyia kazi hizo zote, I will come back to u 4 the feed back Inshaallah.
 
naomba msaada kudownload video katika youtube nitafanya ili niweze kudownload video jamani naombeni msaada wenu jamani
 
Mbona Kitu kama hiki kipo humu. Jamani msiwe wavivu kubonyeza SEARCH hapo juu...... Uwe unaangalia. Zinachosha thread za aina moja
 
Yuko mtaalam mmoja alitoa maelekezo ya kudownload kitu chochote kwenye youtube.
1. Play video unaayotaka kudownload.
2. Wakati video inaplay nenda pale juu kwenye link yake inayoanzia na http//:www.youtube..........
3.Futa hizi http//:www.
4.Weka ss hapo mwanzo iwe hivi, ssyoutube............
5. Bonyeza ENTER, hapo itadownload kiulainiiiiii
naomba msaada kudownload video katika youtube nitafanya ili niweze kudownload video jamani naombeni msaada wenu jamani
 
Wala huhitaji program yeyote. Fungua youtube na utafute video unayoitaka then nenda kwenye address bar, futa www. alafu weka ss yani kama Wellington Silva - Arsenal's Future - YouTube unafuta inabaki ssyoutube.com/watch?v=aJze590ssyM&feature=g-vrec kisha bonyeza ENTER. Itafunguka website kwa ajili ya kuidownload hiyo video utaiona inaitwa save from net.

Kwenye page ya 'save from net' utakuta option upande wa kushoto mfano: mp4, flv, 3gp.. Chagua format unayotaka na video itaanza kudownload. Huhitaji ku'install program ingine yeyote. You can do it from the web.

kaka kweli JF ni darasa huru,thanks big kiongozi!
Watu kama nyie ndo ndo akina steve jobs wa TZ!
Vp kuhusu video zilizopo facebook?nazo nazidownload vipi kaka?
Msaada
 
kama unataka kuziplay utaweza lakini sio ku download..kwa sasa zimewekewa kizingiti kwa sababu ya copy rights, na piracy laws.zamani kunako mwaka jana kurudi nyumba ilikuwa unaweza ku download na ko copy na convert kwenda version nyengine lakini sasa wla usihangaike.hata real player ukiwa nayo basi huwezi .

acha uwongo ukiadd ssyoutube, badala ya www.youtube una download kama kawa.
 
kaka kweli JF ni darasa huru,thanks big kiongozi!
Watu kama nyie ndo ndo akina steve jobs wa TZ!
Vp kuhusu video zilizopo facebook?nazo nazidownload vipi kaka?
Msaada

zinakubali hadi za fb, ukiwa una2mia cm unaweza kudownload moja kwa moja fb hawana option ya kustream kwenye cm.
 
hali zenu wataalami
nauliza hivi... unawezaje kusave nyimbo kutoka youtube kwenda kwenye simu... awali nilisearh youtube video downloader mpaka nikainstall kwenye simu ila nilivvyorudi tena youtube haikunipa option ya kusave..
msaada tafadhali
 
Kama unatumia android smart phones ,,google software iitwayo tubemate for android then install it...iyo ina interact directly na youtube n u can download any vid pale
 
Back
Top Bottom