Jinsi ya kupangalia chumba cha kulala kiwe na mvuto zaidi

Jinsi ya kupangalia chumba cha kulala kiwe na mvuto zaidi

Mie hapa ghetto kwangu, kwanza kuna buti zinanuka, pili ndizi huwa hazikatiki , tatu kuna baiskeli, nne Panga , tano magunia ya mahindi sita juu ya dari nimetundika mahindi.

Kuna mtungi , kwa chini nmeweka udongo hivyo maji muda wote ni ya baridi
 
hayo mambo ni huko kwenu upanga sijui mbezi beach. Sisi kwetu tandale chumba kina ndoo, majaba ya kutosha, jiko la gesi na mkaa, mswaki na ndoo la kuogea, na bodaboda yangu nailaza ndani yani kwa ufupi chumba changu kina kila kitu.
Umesahau jembe kwanja na chepe chini ya uvungu! Akifa panya unaomba off kazini utafute alipofia[emoji3] [emoji3] [emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mudy S.A.W mbakaji wa mtoto Aisha alipewa sumu na mchepuko wake yule wa kiyahudi.
....jamaa walimnyang'anya nguo, kisha wakamtundika na nepi tu ....duuh, ati mwana wa mungu !
 
Huo mzee baba hata demu akijaa alfu nmenogewa FIFA simfuati
Hahahaha na ni kipimo cha upendo hicho chief, na mm ilikua ukinikuta na FIFA afu akaja sijapause wala nini basi ajue hana chake......
 
Hahahaha na ni kipimo cha upendo hicho chief, na mm ilikua ukinikuta na FIFA afu akaja sijapause wala nini basi ajue hana chake......
Alfu unakuta uko bize demu anakuuliza vitu vya kijinga unaweza hata kumuua
 
Back
Top Bottom