RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Niamini tu pacha siwezi kukudanganya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niamini tu pacha siwezi kukudanganya.
Ni kweli.hali ya hewa safi na ya kutosha ni zaidi ya ulivyo tajwa hapo juu
Daah...huo uvivu ni too much [emoji23]Mkuu wengine kukojoa chumani ni uvivu....kama mimi binafsi choo ni cha ndani ila ninalala na kopo la kukojolea...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mudy S.A.W mbakaji wa mtoto Aisha alipewa sumu na mchepuko wake yule wa kiyahudi.Yesu alisahau panga na nondo, wakamuotea....akaishia kutundikwa !
Ugonjwa wangu huoNakupa Like kwasababu ya no.3 tu hapo
Umesahau jembe kwanja na chepe chini ya uvungu! Akifa panya unaomba off kazini utafute alipofia[emoji3] [emoji3] [emoji3]hayo mambo ni huko kwenu upanga sijui mbezi beach. Sisi kwetu tandale chumba kina ndoo, majaba ya kutosha, jiko la gesi na mkaa, mswaki na ndoo la kuogea, na bodaboda yangu nailaza ndani yani kwa ufupi chumba changu kina kila kitu.
Duh aisee! Kila mtu na vipaumbele vyake[emoji3] [emoji3] ndio maana nyie wanaume mnakufaga mapema hampendi rahaMen only need a fresh smelling woman in bed the rest we dont care.
Mimi geto kwangu nikiwa na Mziki ni zaidi ya hivyo vyote ulivyo vitaja! Hata kama nalala chini
Sent using Jamii Forums mobile app
....jamaa walimnyang'anya nguo, kisha wakamtundika na nepi tu ....duuh, ati mwana wa mungu !Mudy S.A.W mbakaji wa mtoto Aisha alipewa sumu na mchepuko wake yule wa kiyahudi.
Una ugonjwa mzuriUgonjwa wangu huo
Huo mzee baba hata demu akijaa alfu nmenogewa FIFA simfuatiUna ugonjwa mzuri
Saafi mamaaWakristo wenzangu,muwe na Bible kabla ya vingine hivyo
Hahahaha na ni kipimo cha upendo hicho chief, na mm ilikua ukinikuta na FIFA afu akaja sijapause wala nini basi ajue hana chake......Huo mzee baba hata demu akijaa alfu nmenogewa FIFA simfuati
Alfu unakuta uko bize demu anakuuliza vitu vya kijinga unaweza hata kumuuaHahahaha na ni kipimo cha upendo hicho chief, na mm ilikua ukinikuta na FIFA afu akaja sijapause wala nini basi ajue hana chake......
HahahahahaAlfu unakuta uko bize demu anakuuliza vitu vya kijinga unaweza hata kumuua
Huyo nakaa kimya tu maa hawa viumbe jau sanaHahahahaha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] tena nilisahau ipo na bodaboda ya kaka yako