RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Kila mtu anaingia....hii ndio bedroom,sitting room,kitchen,store.......🙂🙂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila mtu anaingia....hii ndio bedroom,sitting room,kitchen,store.......🙂🙂
Acha ulongo[emoji13] [emoji13]Kila mtu anaingia....hii ndio bedroom,sitting room,kitchen,store.......🙂🙂
Uongo wangu nini? Hujui wengine tunaishi stoo.
Sawa pacha ngoja niashum kweli usemayoUongo wangu nini? Hujui wengine tunaishi stoo.
Icho co chumba cha kulala ni stoo mkuuhayo mambo ni huko kwenu upanga sijui mbezi beach. Sisi kwetu tandale chumba kina ndoo, majaba ya kutosha, jiko la gesi na mkaa, mswaki na ndoo la kuogea, na bodaboda yangu nailaza ndani yani kwa ufupi chumba changu kina kila kitu.
Siyo lazima. Dawa ya mbu ni BARIDI tu. Ukiwa na A.C inatoshaUmesahau mosquito net
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] aitseee.....hayo mambo ni huko kwenu upanga sijui mbezi beach. Sisi kwetu tandale chumba kina ndoo, majaba ya kutosha, jiko la gesi na mkaa, mswaki na ndoo la kuogea, na bodaboda yangu nailaza ndani yani kwa ufupi chumba changu kina kila kitu.
Kwani ni kibiti hukoVyote ivyo ila umesahau panga,kipisi cha nondo na pistol.
Ili la msingi binafsi priority ivyo vitu vyote vinaweza kunyima hewahali ya hewa safi na ya kutosha ni zaidi ya ulivyo tajwa hapo juu
TRA watajua showroom ya furniture hahahKwa usawa huu ukiwa na hivyo vitu jiandae kufwatwa na TRA na kubambikiziwa kesi umekwepa kodi...
[emoji23][emoji28][emoji23][emoji28][emoji23] hahahahaha Aiseee.!!hayo mambo ni huko kwenu upanga sijui mbezi beach. Sisi kwetu tandale chumba kina ndoo, majaba ya kutosha, jiko la gesi na mkaa, mswaki na ndoo la kuogea, na bodaboda yangu nailaza ndani yani kwa ufupi chumba changu kina kila kitu.
Nakupa Like kwasababu ya no.3 tu hapo1. CONDOM DOZEN
2. SIME
3.PS3 FIFA 17
4.SAFARI BEER KRETI
Hyo ni vitu vya msingi na muhimu sana kwangu
Watanzania Walio wengi wana lala store
hahahaa unamuaibisha kaka angu jomon[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mkuu nimecheka sana maana chumba changu kama chako sema mi bodaboda sina
Sent using Jamii Forums mobile app