Jinsi ya kupangalia chumba cha kulala kiwe na mvuto zaidi

Jinsi ya kupangalia chumba cha kulala kiwe na mvuto zaidi

it's our wishes kulala sehemu kama hope mungu atakufungulia milango muda ukifika uku tunapambana ila kwa sasa acha tulale store tu
 
hayo mambo ni huko kwenu upanga sijui mbezi beach. Sisi kwetu tandale chumba kina ndoo, majaba ya kutosha, jiko la gesi na mkaa, mswaki na ndoo la kuogea, na bodaboda yangu nailaza ndani yani kwa ufupi chumba changu kina kila kitu.
Icho co chumba cha kulala ni stoo mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hayo mambo ni huko kwenu upanga sijui mbezi beach. Sisi kwetu tandale chumba kina ndoo, majaba ya kutosha, jiko la gesi na mkaa, mswaki na ndoo la kuogea, na bodaboda yangu nailaza ndani yani kwa ufupi chumba changu kina kila kitu.
[emoji23][emoji28][emoji23][emoji28][emoji23] hahahahaha Aiseee.!!
 
33b101081ec70e6038d59acda8442973.jpg


Plan kama hii inafaa kwa vijana tunaoanza maisha ila maBachelor tu.
 
Back
Top Bottom