ankol
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 2,355
- 4,260
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kwani chumba chako kiko mbugani auVyote ivyo ila umesahau panga,kipisi cha nondo na pistol.
Kuna ambao wanaona wanaona nisawa ila asilimia kubwa ya ambao nafahamiana nao wanaona sio sawa TV kuwepo chumbani
Nazungumzia watu ambao hawapendi kuishi stoo. Mtu anayelala na ndoo za maji na jiko na kitanda hapohapo hicho sio chumba ni stoo mkuuUnazungumzia vyumba vya watu nje ya wanadaresalama bila shaka kama nao inawahusu ujawatendea haki utakuwa umesahau ndoo za maji chumvi na ya kunywa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kifaa ni mandhari au muonekano. rangi za ukutani, mashuka, mapazia hapo zinahusika#2 ndo kifaa gani? Sijakielewa
UMESAHAU MKUU.hayo mambo ni huko kwenu upanga sijui mbezi beach. Sisi kwetu tandale chumba kina ndoo, majaba ya kutosha, jiko la gesi na mkaa, mswaki na ndoo la kuogea, na bodaboda yangu nailaza ndani yani kwa ufupi chumba changu kina kila kitu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo maisha ya huku sweken hasa sehem nying za dari salamahayo mambo ni huko kwenu upanga sijui mbezi beach. Sisi kwetu tandale chumba kina ndoo, majaba ya kutosha, jiko la gesi na mkaa, mswaki na ndoo la kuogea, na bodaboda yangu nailaza ndani yani kwa ufupi chumba changu kina kila kitu.
Nami nakubaliana na wewe, si sawa TV Chumbani,Kuvuta usingizi Bible au kitabu chochote kinafaa.Kuna ambao wanaona wanaona nisawa ila asilimia kubwa ya ambao nafahamiana nao wanaona sio sawa TV kuwepo chumbani
Una PhD ya uvivu.....Mkuu wengine kukojoa chumani ni uvivu....kama mimi binafsi choo ni cha ndani ila ninalala na kopo la kukojolea...
Sent using Jamii Forums mobile app
Yesu alisahau panga na nondo, wakamuotea....akaishia kutundikwa !mbushuu kwanza pole sana halafu huyu zomboko ni mkristo kwa hiyo panga lake na nondo ni YESU
Daah sifanyi hiyo kitu mimi niogope nini labda. Na nikigundua mtu anafanya hivyo huwa naona kinyaa sitokaa ninywe hata maji kwakeNa lile kopo la kukojolea usiku umesahau....si huwa unaogopa kutoka nje eti...??
Unata kumpiga nani? Amesahau bia au konyagi au wineVyote ivyo ila umesahau panga,kipisi cha nondo na pistol.