Jinsi ya kupata chakula bure zaidi ya Mara 10 kila mwaka

Jinsi ya kupata chakula bure zaidi ya Mara 10 kila mwaka

KingOligarchy

Senior Member
Joined
Sep 28, 2013
Posts
139
Reaction score
375
🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂
Funny Facts!
Ukiingia kwenye soko la hisa la dar es salaam, idadi ndogo ya hisa za kununua ni hisa 10,
thamani ya hisa moja kwa makampuni kwa report ya jana ni kama ifuatavyo
1634037169874.png

1634037208609.png


Sasa Njia za kupata msosi ziko hivi, kwa sheria ya soko la hisa la Dar es salaam, kila mwaka kila kampuni lazima lifanye Annual General Meeting (AGM). ambapo ni mkutano mkuu wa wanahisa. Ukiachana na baadhi ya makampuni yanafanya online bado mchakato wa face to face upo kwahyo nunua hisa 10 mfano crdb 240*10 =2,400 so roughly kama 2,500 baada ya hapo mwanawani kila mwaka agm ukiitwa kama mwanahisa ni kupiga msosi tu, hahhahahah! (NAMAANISHA BAADA YA MKUTANO WANATOA MSOSI)
sasa funny facts ni kwamba tunachagua kampuni nyingi kama kumi mfano ,kwa hyo tarehe zinakuwa tofauti za msosi (kuku haikosekanikagi hapa) 🙂🙂🙂🙂🙂🙂
lwahyo kila mwaka unaenda kwenye mkutano unagonga menu tu, huu nao ni UWEKEZAJI na Matunda ya PESA YAKO UTAYAONA

kumbuka mwanawani wanahisa mara nyingi wanajipakulia

sizzler-alley-1920x1440.jpg



🙂😀😀😀😀😀😀😀😀 dotnt take it too serious, at the end of the day atleat umejua bei za hisa za sokoni na pia kwamba kila mwaka lazimakuwe na mkutano mkuu wa mwaka
na MSOSI PIA.
1634037767016.jpeg
C-4-1024x683.jpg


WENGINE WANATOA HADI VIPARCEL FLANI AMAZING

E3qemRBWUAMNGUv.jpg


😛😛😛😛😛
CRDB-AGM.jpg
 
🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂
Funny Facts!
Ukiingia kwenye soko la hisa la dar es salaam, idadi ndogo ya hisa za kununua ni hisa 10,
thamani ya hisa moja kwa makampuni kwa report ya jana ni kama ifuatavyo
View attachment 1971999
View attachment 1972001

Sasa Njia za kupata msosi ziko hivi, kwa sheria ya soko la hisa la Dar es salaam, kila mwaka kila kampuni lazima lifanye Annual General Meeting (AGM). ambapo ni mkutano mkuu wa wanahisa. Ukiachana na baadhi ya makampuni yanafanya online bado mchakato wa face to face upo kwahyo nunua hisa 10 mfano crdb 240*10 =2,400 so roughly kama 2,500 baada ya hapo mwanawani kila mwaka agm ukiitwa kama mwanahisa ni kupiga msosi tu, hahhahahah! (NAMAANISHA BAADA YA MKUTANO WANATOA MSOSI)
sasa funny facts ni kwamba tunachagua kampuni nyingi kama kumi mfano ,kwa hyo tarehe zinakuwa tofauti za msosi (kuku haikosekanikagi hapa) 🙂🙂🙂🙂🙂🙂
lwahyo kila mwaka unaenda kwenye mkutano unagonga menu tu, huu nao ni UWEKEZAJI na Matunda ya PESA YAKO UTAYAONA

kumbuka mwanawani wanahisa mara nyingi wanajipakulia

sizzler-alley-1920x1440.jpg



🙂😀😀😀😀😀😀😀😀 dotnt take it too serious, at the end of the day atleat umejua bei za hisa za sokoni na pia kwamba kila mwaka lazimakuwe na mkutano mkuu wa mwaka
na MSOSI PIA.
View attachment 1972014
C-4-1024x683.jpg


WENGINE WANATOA HADI VIPARCEL FLANI AMAZING

E3qemRBWUAMNGUv.jpg


😛😛😛😛😛
CRDB-AGM.jpg
Kama akili za watanzania nika kama zako ni haki CCM kuendelea ku tutawala......
 
Kama akili za watanzania nika kama zako ni haki CCM kuendelea ku tutawala......
hhahahahahahhahah mpaka umeona nimeandika hivi jua nina IQ kubwa sana😁😁😁😁😁 123 IQ nimekuwa categorized kwenye Group la kuwa Gifted, Duniani tupo asilimia 6.4% tu ya total population. Eat some food if you can invest
 
🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂
Funny Facts!
Ukiingia kwenye soko la hisa la dar es salaam, idadi ndogo ya hisa za kununua ni hisa 10,
thamani ya hisa moja kwa makampuni kwa report ya jana ni kama ifuatavyo
View attachment 1971999
View attachment 1972001

Sasa Njia za kupata msosi ziko hivi, kwa sheria ya soko la hisa la Dar es salaam, kila mwaka kila kampuni lazima lifanye Annual General Meeting (AGM). ambapo ni mkutano mkuu wa wanahisa. Ukiachana na baadhi ya makampuni yanafanya online bado mchakato wa face to face upo kwahyo nunua hisa 10 mfano crdb 240*10 =2,400 so roughly kama 2,500 baada ya hapo mwanawani kila mwaka agm ukiitwa kama mwanahisa ni kupiga msosi tu, hahhahahah! (NAMAANISHA BAADA YA MKUTANO WANATOA MSOSI)
sasa funny facts ni kwamba tunachagua kampuni nyingi kama kumi mfano ,kwa hyo tarehe zinakuwa tofauti za msosi (kuku haikosekanikagi hapa) 🙂🙂🙂🙂🙂🙂
lwahyo kila mwaka unaenda kwenye mkutano unagonga menu tu, huu nao ni UWEKEZAJI na Matunda ya PESA YAKO UTAYAONA

kumbuka mwanawani wanahisa mara nyingi wanajipakulia

sizzler-alley-1920x1440.jpg



🙂😀😀😀😀😀😀😀😀 dotnt take it too serious, at the end of the day atleat umejua bei za hisa za sokoni na pia kwamba kila mwaka lazimakuwe na mkutano mkuu wa mwaka
na MSOSI PIA.
View attachment 1972014
C-4-1024x683.jpg


WENGINE WANATOA HADI VIPARCEL FLANI AMAZING

E3qemRBWUAMNGUv.jpg


😛😛😛😛😛
CRDB-AGM.jpg
KingOligarchy Mrusi wa Bongo, Mbona huu msosi uliojaa mbalaga inaonekana Kama unasindikizwa na
 
🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂
Funny Facts!
Ukiingia kwenye soko la hisa la dar es salaam, idadi ndogo ya hisa za kununua ni hisa 10,
thamani ya hisa moja kwa makampuni kwa report ya jana ni kama ifuatavyo
View attachment 1971999
View attachment 1972001

Sasa Njia za kupata msosi ziko hivi, kwa sheria ya soko la hisa la Dar es salaam, kila mwaka kila kampuni lazima lifanye Annual General Meeting (AGM). ambapo ni mkutano mkuu wa wanahisa. Ukiachana na baadhi ya makampuni yanafanya online bado mchakato wa face to face upo kwahyo nunua hisa 10 mfano crdb 240*10 =2,400 so roughly kama 2,500 baada ya hapo mwanawani kila mwaka agm ukiitwa kama mwanahisa ni kupiga msosi tu, hahhahahah! (NAMAANISHA BAADA YA MKUTANO WANATOA MSOSI)
sasa funny facts ni kwamba tunachagua kampuni nyingi kama kumi mfano ,kwa hyo tarehe zinakuwa tofauti za msosi (kuku haikosekanikagi hapa) 🙂🙂🙂🙂🙂🙂
lwahyo kila mwaka unaenda kwenye mkutano unagonga menu tu, huu nao ni UWEKEZAJI na Matunda ya PESA YAKO UTAYAONA

kumbuka mwanawani wanahisa mara nyingi wanajipakulia

sizzler-alley-1920x1440.jpg



🙂😀😀😀😀😀😀😀😀 dotnt take it too serious, at the end of the day atleat umejua bei za hisa za sokoni na pia kwamba kila mwaka lazimakuwe na mkutano mkuu wa mwaka
na MSOSI PIA.
View attachment 1972014
C-4-1024x683.jpg


WENGINE WANATOA HADI VIPARCEL FLANI AMAZING

E3qemRBWUAMNGUv.jpg


😛😛😛😛😛
CRDB-AGM.jpg
KingOligarchy Mrusi wa Bongo, Mbona huu msosi uliojaa mbalaga inaonekana Kama unasindikizwa na kamyama fulani amazing🐽🐷🐽🐷
 
Minimum requirement ya Kuhudhuria mkutano Mkuu ni shares 10 ?

By the way mara nyingi Bure sio Pesa tu hata Muda (unaweza ukakaa pale ukapigwa Porojo hata hicho chakula kisifidie njaa utakayopata na kero)
 
🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂
Funny Facts!
Ukiingia kwenye soko la hisa la dar es salaam, idadi ndogo ya hisa za kununua ni hisa 10,
thamani ya hisa moja kwa makampuni kwa report ya jana ni kama ifuatavyo
View attachment 1971999
View attachment 1972001

Sasa Njia za kupata msosi ziko hivi, kwa sheria ya soko la hisa la Dar es salaam, kila mwaka kila kampuni lazima lifanye Annual General Meeting (AGM). ambapo ni mkutano mkuu wa wanahisa. Ukiachana na baadhi ya makampuni yanafanya online bado mchakato wa face to face upo kwahyo nunua hisa 10 mfano crdb 240*10 =2,400 so roughly kama 2,500 baada ya hapo mwanawani kila mwaka agm ukiitwa kama mwanahisa ni kupiga msosi tu, hahhahahah! (NAMAANISHA BAADA YA MKUTANO WANATOA MSOSI)
sasa funny facts ni kwamba tunachagua kampuni nyingi kama kumi mfano ,kwa hyo tarehe zinakuwa tofauti za msosi (kuku haikosekanikagi hapa) 🙂🙂🙂🙂🙂🙂
lwahyo kila mwaka unaenda kwenye mkutano unagonga menu tu, huu nao ni UWEKEZAJI na Matunda ya PESA YAKO UTAYAONA

kumbuka mwanawani wanahisa mara nyingi wanajipakulia

sizzler-alley-1920x1440.jpg



🙂😀😀😀😀😀😀😀😀 dotnt take it too serious, at the end of the day atleat umejua bei za hisa za sokoni na pia kwamba kila mwaka lazimakuwe na mkutano mkuu wa mwaka
na MSOSI PIA.
View attachment 1972014
C-4-1024x683.jpg


WENGINE WANATOA HADI VIPARCEL FLANI AMAZING

E3qemRBWUAMNGUv.jpg


😛😛😛😛😛
CRDB-AGM.jpg
nimecheka sana kiasi cha kukubali kukununulia hisa za bank 2 kwa thamani ya buku 5
 
Jamaa ww noma sana, Yani unafunga safari toka Dodoma hadi kwenye kikao Arusha kwa ajili ya kufuata Ubwabwa na kuku?

Kisha wiki inayofuata utatoka Arusha kwenda kwenye kikao kingine cha ubwabwa Dar!
 
Jamaa ww noma sana, Yani unafunga safari toka Dodoma hadi kwenye kikao Arusha kwa ajili ya kufuata Ubwabwa na kuku?

Kisha wiki inayofuata utatoka Arusha kwenda kwenye kikao kingine cha ubwabwa Dar!
kuwa mjanjaaaa...chagua sehemu ambayo ina vikao vingi! kama unaishi dar focus na mpango wa dar! nina hisa kama 450,000 za DSE! nimepiga mpunga nimeondoka!mchezo nimeanza mwaka 2001, nina miaka 20 napiga misosi tu na kula dividend
 
kuwa mjanjaaaa...chagua sehemu ambayo ina vikao vingi! kama unaishi dar focus na mpango wa dar! nina hisa kama 450,000 za DSE! nimepiga mpunga nimeondoka!mchezo nimeanza mwaka 2001, nina miaka 20 napiga misosi tu na kula dividend
Pia uwe unakwenda kwenye vikao vya kwanza vya maandalizi ya Harusi , nako kunakuwaga na Vyuku vya kushiba.
 
kuwa mjanjaaaa...chagua sehemu ambayo ina vikao vingi! kama unaishi dar focus na mpango wa dar! nina hisa kama 450,000 za DSE! nimepiga mpunga nimeondoka!mchezo nimeanza mwaka 2001, nina miaka 20 napiga misosi tu na kula dividend
Chief mfumo wa uendeshaji ukoje na vipi suala la gawio linakuaje?
 
Pia uwe unakwenda kwenye vikao vya kwanza vya maandalizi ya Harusi , nako kunakuwaga na Vyuku vya kushiba.
Hahahahahah, Tatizo linakuja ule muda wa kupledge sasa.... kile chakula cha kikao kinalipiwa kile! msosi mwingine ni kuhudhuria msibani
 
Back
Top Bottom