Jinsi ya kupata chakula bure zaidi ya Mara 10 kila mwaka

KingOligarchy Mrusi wa Bongo, Mbona huu msosi uliojaa mbalaga inaonekana Kama unasindikizwa na kamyama fulani amazing๐Ÿฝ๐Ÿท๐Ÿฝ๐Ÿท
Hahahahhahah, Kule russia tunatumia neno ะขัƒัˆะตะฝะฐั ะบะฐะฟัƒัั‚ hii nikimaanisha side dish ya cabbage + Kurnik huyu ni kuku wa kirusi.
ukishiba tunaenda kurelax pale Tsaritsyno Park, kwenye jiji la moscow huku tukipata Stolichnaya Eli au Beluga au drova vodka safi sana hizi za kirussia.
 
Watu wataona umeandika ujinga ila mimi nakupongeza.
Kila kitu kinaanzia kwenye chakula..
Afya bora-chakula
Maradhi-chakula
Elimu-chakula
Biashara-chakula

Kila tunachofanya ni kwa ajili ya tumbo kwanza..
Hata hawa wadada ukiwataka lazima uanze na outing nzuri nzuri za vyakula na vinywaji...
 
Hahahahahah, Tatizo linakuja ule muda wa kupledge sasa.... kile chakula cha kikao kinalipiwa kile! msosi mwingine ni kuhudhuria msibani
Misosi ya Msibani hakunaga Kuku, ni mwendo wa Maharage au Nyama moja tu. Ila utakula bure bila kulipia.

Na kama limeletwa sinia kubwa wenzio wanawahi nyama kwanza wewe unaambulia ubwabwa tu.
 
Eat more food the slogan say...... Hahahahhah
 
KingOligarchy hii inaitwa nguvu ya hisa[emoji23][emoji23]. Japo bado najiulza umefikiria kitu gan kufanya relation ya hisa na menu.
 
Nauli je, na kupiga pasi na kiwi viatu? Hapo labda kusocialize sawa.
Hii nguo pasi vipo kila siku, nauli ya nini ni mguu ili uwe na njaa kali ya kufidia! wakati wa kurudi ntaomba lifti
 
KingOligarchy hii inaitwa nguvu ya hisa[emoji23][emoji23]. Japo bado najiulza umefikiria kitu gan kufanya relation ya hisa na menu.
Nimetoa Elimu kwa njia nyepesi, Haki za mwanahisa! As a Russian Corporate Trainer nina wajibu wa kufanya delivery ya message kwa lugha nyepesi! welcome to ั„ะธะฝะฐะฝัั‹ hii tunaiita finansy kwa kirusi! Hashtag ัะบะพะฝะพะผะธั‡ะตัะบะธะน (matamshi "ekonomicheskiy") Hitman
 
Kaka umeongea kimafumbo lakini una point sana wengine wataona msosi tu lakini mimi nimeona kupitia kuhudhuria annual general meeting za makampuni makubwa itakupa fursa kukutana na watu watakao kuinspire na kunapossibility ya kufunguliwa fursa nyingi za kiuchumi. Big up mzee idea yako nmeielewa sana
 
Mkuu umetumia akili kubwa sana kuandika huu uzi,
Nimetabasamu muda wote niliokuwa napitia uzi huu๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
Kupitia uzi huu watu watanunua hisa (itawasaidia kujiongezea kipato)
Wataongeza nafasi ya kukutana na watu mbali mbali hii ni fursa
Watakula bure pia kama jina la uzi linavyosema
Asante sana !!!
 
Nilikiwa naupita tu huu uzi, ila kuna point nyingi tu za kuchukua, kula tano๐Ÿ‘
 
Sisi tulio mikoan wataturejeshea nauli zetu?
 
Ila we jamaa utakuwa na happy life u r so funny aisee umewaza Nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ