bloggerboy
JF-Expert Member
- Nov 13, 2017
- 568
- 1,217
- Thread starter
- #41
nitafute nikuambieUnanifahamu vipi?😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nitafute nikuambieUnanifahamu vipi?😂
We sema tu usiogopenitafute nikuambie
ni kinyume na sheria za nchi kumtambulisha humu mtu aliejificha kwa identy flaniWe sema tu usiogope
Sio kwelikwenye kila kitu kuna njia, ukiangalia watu wanaofanya kazi TISS 90% ni vipanga ,wachcahe sana ndio waingia kwenye hilo kundi lingine..
hawa jamaa hawachukui mbumbumbu
NIMEKURUHUSU!ni kinyume na sheria za nchi kumtambulisha humu mtu aliejificha kwa identy flani
Hahaha kuna kazi kuzifanya ni sawa na kusaliti utu wako.1.vaa shati la kijani
2.piga mpinzani hadi umsababishie kilema
3.kuwa mjinga-mjinga
4.jiunge na praise team mstari wa mbele kabisa
Yote sawa ila ninachosema mkuu umekielewa.hivi unajiuliza kwa nini nimekuita kizazi cha mwendazake? ni kwa sababu tu..nahisi umeanza shuhudia haya mambo wakati wa utawala wa mwendazake
Vipanga unakusudia nini ?kwenye kila kitu kuna njia, ukiangalia watu wanaofanya kazi TISS 90% ni vipanga ,wachcahe sana ndio waingia kwenye hilo kundi lingine..
hawa jamaa hawachukui mbumbumbu
Tell herAcheni kudanganyana wazee.
Sifa ambazo unatakiwa kuwa nazo ili uwe polisi,jeshi nk ndizo sifa hizo hizo mtu anatakiwa kuwa nazo ili awe usalama.
Sema kimtaamtaa tunalishana sumu sana wazee.
Hakuna kitu special sana ambacho unatakiwa kuwa nacho ili uwe katika idara ya usalama.
kwani kujiendeleza kielimu huna akili? mimi nina ushahidi nA PROF ALIENIFUNDISHA ALIANZIA CHETI MPAKA KUWA PROFVipanga unakusudia nini ?
Kwa sababu tunawajua watu walikuwa kawaida tu darasani na wamepata kazi huko,kikubwa huko uwe na cheti cha form four na uwe na akili timamu kama watu wengine.
Kipanga vigezo uwe na div 1,2 or 3 ?
Wakati huo huo TISS kibao sasa hivi wapo mavyuoni wanajiendeleza kielimu kwa maana hawakuingia na elimu kubwa,wewe unasemaje ?
Au kipanga uwe umefanya vumbuzi gani ili uwe TISS ?
NJOO INBOXWe sema tu usiogope
Sasa unaposema kuwa TISS uwe kipanga huo ukipanga unapimwaje ili uchaguliwe Tiss ?kwani kujiendeleza kielimu huna akili? mimi nina ushahidi nA PROF ALIENIFUNDISHA ALIANZIA CHETI MPAKA KUWA PROF
HaaKumbe ni hivyo tu.. enhe baada ya hapo?
HaaMbona kuna kazi nzuri tu huko nje ambazo hazihitaji kuwa mmbea?
Tufanye kazi tutafute hela tutaheshimika kuliko hata Tiss sijui jeshi sijui nn.
Wapo kwenye taasisi zote za serikali unazozijuwa wewe, TRA, BOT, TPA and likes.Nje ya mada.
Wakuu naomba niulize swali,hivi tiss awahusiki kwenye kunusa au kufanya ushushu kwenye utoroshwaji wa rasilimali za nchi,au wao ni mambo ya usalama wa nchi tu?