Jinsi ya kupata kazi TISS

Wadada wanatafuta kazi wanapatikana

Isabella ana diploma ya administration πŸ“ž +255 754 773 072 ( stationary+ office attendant ) na etc


Catherine form 4
(Kuuza duka + saloon za kiume+ shell)
πŸ“ž +255 678 166 843

Kwa mwenye uwezo wasiliana nao
Ahsante
 
A PART FROM B.O.T IKULU SEHEMU YINGINE KULIKO JAA NYOKA NI JWTZ
 
Jana nimekutna na demu Happ sinza bamaga analalamika kuwa jama wa mzena pale kamnyanga vitu alivyo mnunulia vya stationary kisa na mkasa jama alimduakua akamkuta demu anadate na wanaume wengine
 
Urojo kuwa UVCCM na connection over.
 
Jana nimekutna na demu Happ sinza bamaga analalamika kuwa jama wa mzena pale kamnyanga vitu alivyo mnunulia vya stationary kisa na mkasa jama alimduakua akamkuta demu anadate na wanaume wengine

Wakuchora huyo
 
Jana nimekutna na demu Happ sinza bamaga analalamika kuwa jama wa mzena pale kamnyanga vitu alivyo mnunulia vya stationary kisa na mkasa jama alimduakua akamkuta demu anadate na wanaume wengine
Demu mwenyewe sio wewe?
 
Sio kwamba hawajui kusoma au kuandika huwa ni zuga tu

Mimi shemeji yangu kaishi na sister miaka 11 tukijua hajui kusoma wala kuandika mara nyingi nilikuwa namsomea sms zake na most zilikuwa ni za mitandao yenyewe

End of the day Tukashangaa JPM kamteua kuwa mkuu wa pccb mkoa fulani kusini huko tukaona yupo anasoma hutuba mbele ya waandishi wa habari
 
Yule jamaa ni shem wako kumbe [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hayo ni mambo ya kawaida ambayo binadamu wa kawaida anapaswa kuwa nayo, si kwa ajili ya kuajiriwa sijui na Tiss
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Hapo ndiyo ulijua kumbe ulikuwa hujui kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…